Kingwendu mkubwa wewe.
Kila siku tunapandia na kushukia hapo Shekilango kwa mabasi ya BM Coach, New Force, Ally's Star, Marangu Coach, Kidinilo, Abood, Esther, Tilisho nk.
Au kwa vile huendi kwenu Matombo baada ya kutengwa na ukoo ulipolewa gongo tilalila na kumbaka shangazi yako mdogo na kumtia mimba!!!
Una habari kuna Terminal bubu hadi Gongolamboto, Kisarawe, Chanika, Mbagala, Mkuranga! (Kasoro Kigamboni wanakwepa ushuru wa daraja?)
Makampuni yenye Terminal bubu yanayojiheshimu ni Esther na Tilisho pekeeeeeeeeee.....
Unapandia popote gari lolote la makampuni ya Esther na Tilisho na ukifika Shekilango au Magufuli unaingia kwenye gari la route yako kwa tiketi ileile ya safari.
Wanakodishia abiria wao hata Coaster toka Magufuli hadi kuwapeleka kwenye Terminal zao Gongolamboto, Chanika, Kisarawe na Mkuranga.
Wale Wachaga wana akili za biashara za kumteka abiria kisaikolojia.
Abood unatoka nayo Mwanza hadi Dar km 853 hupewi hata maji wala pipi.
اللعنة