Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,211
- 3,611
- Thread starter
-
- #61
اللعنةMkuu mbona una makasiriko sana yasiyo na msingi, heshimu basi hata umri wako kama wewe binafsi umeshindwa kujiheshimu. Eti umepewa ticket inayosema Msamvu to Shekilango, una akili kweli wewe? Then unakuja kulia humu huku ukidai kuwa wengine hatujawahi kusafiri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Chizi wewe
Nimemwambia kuwa ni mjinga lakini hataki kukubali.Nimesoma huu uzi wako wote na kuhitimisha kwa kusema WEWE NI MPUMBAVU NA HUJITAMBUI. Mwisho wa basi ni Magufuli na ili kutimiza ahadi yao ndo maana wakaweka magari mengine ya kuwafaulisha kwenda Shekilango. Huo utaratibu nilishawahi kuona kwa RATCO.. walikuwa wana minibus za kuwachukua watu kutoka Ubungo hadi Magomeni na KKOO. Kuhusu mizigo ni wajibu wako kuhakikisha inashushwa pale Magufuli na kuingia nayo kwenye minibus ya kwenda Shekilango.
Halafu ninakereka sana kuona big thinker kama wewe huwezi kusimama kwenye haki zako hadi kila unapoenda unaishia kudharaulika. Kukalishwa masaa mawili kwenye ofisi za BM ni kosa lako.
Upumbavu wangu umefichua rushwa mnazokula/mnazotoa ili muendeleze uovu na uoza wenu huu, ni upumbavu mzuri huu basi. Na kama wewe ni abiria unatetea hujuma hizi basi you rank quasi idiot with standard deviation above 15.Nimesoma huu uzi wako wote na kuhitimisha kwa kusema WEWE NI MPUMBAVU NA HUJITAMBUI. Mwisho wa basi ni Magufuli na ili kutimiza ahadi yao ndo maana wakaweka magari mengine ya kuwafaulisha kwenda Shekilango. Huo utaratibu nilishawahi kuona kwa RATCO.. walikuwa wana minibus za kuwachukua watu kutoka Ubungo hadi Magomeni na KKOO. Kuhusu mizigo ni wajibu wako kuhakikisha inashushwa pale Magufuli na kuingia nayo kwenye minibus ya kwenda Shekilango.
Halafu ninakereka sana kuona big thinker kama wewe huwezi kusimama kwenye haki zako hadi kila unapoenda unaishia kudharaulika. Kukalishwa masaa mawili kwenye ofisi za BM ni kosa lako.
Inakutengenezea addiction/uraibu. Ukoo wako wakuchangie urudishwe kwenu Ukuntuni.Hata nikifanyiwa hivyo still haiondoi ujinga uliyobeba
Kushindwa kuhimili hisia zako ni dalili za upumbavu pia. Huo uzi wako umeita watu manamba na kwenda mbali zaidi kutaka wakenya waajiriwe.. hizo ni hasira za kipumbavu zinazokufanya uropoke. Nashangaa hao wazazi waliokuamini uwasafirishie watoto wao.Upumbavu wangu umefichua rushwa mnazokula/mnazotoa ili muendeleze uovu na uoza wenu huu, ni upumbavu mzuri huu basi. Na kama wewe ni abiria unatetea hujuma hizi basi you rank quasi idiot with standard deviation above 15.
Kumbe hujapona fistula plus [emoji955]!!!?
Umetawadha chini kwanza? Tigo siingizi mkonga wangu [emoji16]Nimemwambia kuwa ni mjinga lakini hataki kukubali.
Filosofia ya Rorya njoo kuna jambo lako
Inakera sana kuona mambo madogo madogo kama haya mtu anashindwa kuyashughulikia na kukimbilia kuandika uzi. Watu wa stendi ni washenzi ila wakigundua hutaki mchezo kwenye haki yao huwa wananywea kabisa na kufanya wajibu wao.Nimemwambia kuwa ni mjinga lakini hataki kukubali.
Filosofia ya Rorya njoo kuna jambo lako
Mtu yeyote yule ambaye kwa makusudi ya dhamira anatenda kinyume na matarajio ya kiapo chake anaitwaje? Na anastahili hatua gani? Una ubongo wa kitimoto kwa 90.5120% difficult to craft you anew!Kushindwa kuhimili hisia zako ni dalili za upumbavu pia. Huo uzi wako umeita watu manamba na kwenda mbali zaidi kutaka wakenya waajiriwe.. hizo ni hasira za kipumbavu zinazokufanya uropoke. Nashangaa hao wazazi waliokuamini uwasafirishie watoto wao.
Hapa pamenichekesha sana🤣🤣🤣🤣🤣Kuna Supervisor wao pale Magufuli anaitwa sijui Hussein nadhani elimu yake kubwa kabisa ni ya Madrasa.
Wewe dawa yako wanayo watu wa stendi. Hapa una ushujaa feki kwasababu hatujuani. Siku nyingine kuwa makini unaposafiri.Mtu yeyote yule ambaye kwa makusudi ya dhamira anatenda kinyume na matarajio ya kiapo chake anaitwaje? Na anastahili hatua gani? Una ubongo wa kitimoto kwa 90.5120% difficult to craft you anew!
Now you sound mature in thinking comrade.Inakera sana kuona mambo madogo madogo kama haya mtu anashindwa kuyashughulikia na kukimbilia kuandika uzi. Watu wa stendi ni washenzi ila wakigundua hutaki mchezo kwenye haki yao huwa wananywea kabisa na kufanya wajibu wao.
Cheap labour, ili mwajiri amlipe kidogo na kumtishiatishia kuwa huna elimu (ujuwe wenye diploma wako nyumbani) kila mara akipeleka madai.Hapa pamenichekesha sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nalo neno!Wewe dawa yako wanayo watu wa stendi. Hapa una ushujaa feki kwasababu hatujuani. Siku nyingine kuwa makini unaposafiri.
Waliokuamini usafiri na hao watoto ndiyo wapumbavu, sorry siyo kosa lako.Inakutengenezea addiction/uraibu. Ukoo wako wakuchangie urudishwe kwenu Ukuntuni.
Kauli kama hizi still kuna watu wakakuamini usafiri na watoto waoUmetawadha chini kwanza? Tigo siingizi mkonga wangu [emoji16]
Yaani upumbavu wako na BM wako usababishe wenye mabasi na abiria wanaojitambua na kujiheshimu waache kutoa na kupata huduma bora tulizozoea turudi kukanyagana na wapiga debe wenu Mbezi hizo ni akili au tope?9. Ufumbuzi.
9.1 Terminal bubu zote ziondolewe mitaani waende wakashindane kwa haki Magufuli. Mbona serikali za mikoa ya Morogoro, Arusha, Mbeya na Mwanza zimeweza kuwabana kutumia terminal-rasmi badala ya terminal-bubu binafsi?
Hata hii SGR subiri ikamilike mtajuta kuifahamu. Ni bora wangejenga barabara 4 kwenda barabara zile kubwa mfano mpaka Tunduma, Namanga, Mwanza kwa kuanzia. Hao hao viongozi wana malori yao watahujumu train zitakosa mizigo.Serikali ikiwalea hawa nakuambia watakuja kuhujumu hata SGR ili tu magari yao yaendelee kuwakusanyia ela kwa ubazazi huo.
Si unaona wenye malori wameishahujumu TAZAMA haipampu tena mafuta ili malori yao yapeleke mafuta Zambia, Malawi na Congo waingize ela bila kujuwa wanaua barabara ya Tz1.
Hata Ohima Chongoliani Pipeline nayo wataihujumu tu na ndipo Museveni atazinduka kuwa bora angepeleka bomba Kenya kuliko Tz.
Itakuwa ni ajabu kwamba nchi moja hii hii TAZAMA ife alafu Ohima Chongoliani ifanye kazi!!!!
Taifa limekosa watu serious.
Yaani upumbavu wako na BM wako usababishe wenye mabasi na abiria wanaojitambua na kujiheshimu waache kutoa na kupata huduma bora tulizozoea turudi kukanyagana na wapiga debe wenu Mbezi hizo ni akili au tope?
Nilidhani utamshauri BM aache kufanya kazi na wajinga afanye kazi na wanaojitambua kuinusuru kampuni yake kwasababu siyo mara ya kwanza huduma za BM kulalamikiwa, huko nyuma alikuwa anasema mabasi yana AC, mnapanda bus anawasha AC mpaka Mlandizi au Mikese kama mmetokea Morogoro, anazima mnaambiwa fungueni madirisha mafuta yanakwisha amawaona wasafiri wote wajinga, kwahiyo wewe ndugu huenda ni miongoni mwa wale masalia wachache
UmejichanganyaKwangu mimi hakuna mpumbavu anayekufikia wewe bora usingezaliwa. Serikali ijenge stand kwa mabilioni ya kodi za watanzania leo unataka kila kampuni ya basi itafute uchochoro wake iwe ndiyo stand? Ru serious? Stand isipojengwa ni kuilaumu serikali si asubuhi, si mchana, si jioni. RU a human or just a robot? Shit man!