saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
inaonekan bado iko kichwaniJuzi nimelewa nikapanda Bm mpaka shekilango nashangaaa naambiwa nimefika na niliwaambia naenda Arusha ikanibidi nichukue gari lingine sikuwapa Bm hata 100 ila hizi pombe hizi
Mimi uzi wote navunjika mbavu na matusi yake..jamaa anajua vichambo aise🤣🤣🙌Hapa pamenichekesha sana🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna mabasi Mkuu ukiamua Kusafiri achana nayo.Utaishii kutia watu ngumi tu ..Kama hao Abood kwa Route ndefu..ni kama wamepakia mizukule hovyo hovyo.Kingwendu mkubwa wewe.
Kila siku tunapandia na kushukia hapo Shekilango kwa mabasi ya BM Coach, New Force, Ally's Star, Marangu Coach, Kidinilo, Abood, Esther, Tilisho nk.
Au kwa vile huendi kwenu Matombo baada ya kutengwa na ukoo ulipolewa gongo tilalila na kumbaka shangazi yako mdogo na kumtia mimba!!!
Una habari kuna Terminal bubu hadi Gongolamboto, Kisarawe, Chanika, Mbagala, Mkuranga! (Kasoro Kigamboni wanakwepa ushuru wa daraja?)
Makampuni yenye Terminal bubu yanayojiheshimu ni Esther na Tilisho pekeeeeeeeeee.....
Unapandia popote gari lolote la makampuni ya Esther na Tilisho na ukifika Shekilango au Magufuli unaingia kwenye gari la route yako kwa tiketi ileile ya safari.
Wanakodishia abiria wao hata Coaster toka Magufuli hadi kuwapeleka kwenye Terminal zao Gongolamboto, Chanika, Kisarawe na Mkuranga.
Wale Wachaga wana akili za biashara za kumteka abiria kisaikolojia.
Abood unatoka nayo Mwanza hadi Dar km 853 hupewi hata maji wala pipi.
اللعنة
Mkuu ni kweli lakini hakuna kitu inakera kama mtu akuone mjinga hasa hawa watu wa Mabasi.Sometimes a coward lives long kwa nchi kama hii.
Ila iko siku mtu atajitoa akili awabebeshe mihadarati na kuwachomea utambi; kama hawako tayari kubadilika.
Kuna sehemu anawakejeli Wazaramo na sehemu anawakejeli Waswahili (watu wa Tandika) ambao kimsingi hawajamfanya chochote.Pole kwa changamoto ila Kuna sehemu umezingua imenifanya nifikirie huenda ulikuwa na hasira kiasi wakishindwa kukuskiliza
1) maelezo yako: msimamizi wa magufuli terminal (Hussein) ni Hana kauli elimu yake ikizidi sana ni madrasa hapa una maana gani? Hii sio sahihi mkuu nadhani nimeeleweka
2)msimamizi wa kituo shekilango (msukuma) nae hovyo Yani Kuna vitu unahusianisha havina uhusiano kabila na tabia huku madrasa na elimu
Any way pole mkuu hizi changamoto kwa abiria kweli zipo Kuna muda abiria wanakosa wapi unaweza pata msaada
Mara nasoma na hii7. Kuna Supervisor wao pale Magufuli anaitwa sijui Hussein nadhani elimu yake kubwa kabisa ni ya Madrasa
Mara hiiWazaramo msiokuwa na shughuli wala ndugu mikoani mna mtindio wa ubongo kwelikweli.
Shida umezaliwa Tandika Zahanati, unaishi Tandika Maguruwe, umesoma Tandika S/M, umesoma Tandika Sekondari hadi F2, umeenda chuo cha ufundi mchundo Tandika, umeajiriwa Tandika garage, umepanga gheto Tandika Mahunda, unakula Tandika Magengeni.
Katawadhe kwanza wewe ndiyo uje kwa wanaume.
Unasema usilolijuwa.
Tiketi imeandikwa Msamvu Shekilango na pale Msamvu wanasisitiza mwisho wa gari ni Shekilango na hiyo ndiyo ilikuwa sababu ya mimi kukata tiketi ya BM badala ya Al Saed.
Umeona eeh hiyo ya wazaramo sikuoina bahati mbayaKuna sehemu anawakejeli Wazaramo na sehemu anawakejeli Waswahili (watu wa Tandika) ambao kimsingi hawajamfanya chochote.
Binafsi hapo mwanzo nili sympathise na yeye wakati nasoma uzi wake mpaka nilipofika hapa
Mara nasoma na hii
Mara hii
Naona nimuache tu na uzi wake.
Mawaziri wa fedha wa jumuia ya afrika masharikiBM njooni mjibu