Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu huo sasa ....akifanya abood au shabiby ni sawa akifanya ngozi nyeusi achunguzwe khaaa wivu mwingine duu
Wabongo tunaiga maisha ya mbele kiasi kwamba hatujali maadili tunajali kama mtu kafanikiwa ama la. So hata ukifanikiwa kwa maadili hasi wabongo wa kusema tutafute pesa hawakosekani
Leo shabbiby kaaingiza vyuma vipya 20 View attachment 2572362View attachment 2572363View attachment 2572364
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sion tatizo kwny alichosema,lazma utajiri wwte uchunguzwe muhimu kujua km ni utajir halali hufanyika dunian kote,CAG katoka kutema cheche watu wanachota tu afu we unadiss kuchunguzwa kwa kampuni iyo ya usafir,,unasema ni umaskini,acha kuna na kiherehere mzee hakuna tuzo za JF kwa wanaowahi kucomment
Sent using Jamii Forums mobile app
Endeleeni tu ooh sijui roho mbaya wakati watanzania wenzako wanaandaliwa kutolewa kafara kwenye hayo mabasi.Roho mbaya haijengi
Mhasibu hajichunguzi,ila yafaa achunguzwe,vipi kama hakuna wakumchunguza,ili hali Kibubu kabidhiwa mikononi mwake😂Kuna kampuni moja ya magari mabasi itwayo Ester tunaiomba serikali iichunguze kuhusu Kodi na utajiri wa ghafla leo inasemekana kashusha mabasi zaidi ya Mia mbili kutoka China je, Kodi ya bandarini imelipwa halali?
Endeleeni tu ooh sijui roho mbaya wakati watanzania wenzako wanaandaliwa kutolewa kafara kwenye hayo mabasi.
Una maana anafufuka Tanga nyika au?Rip Tanzania
Acheni mara moja kuwatoa kafara watanzania wenzenuNdiyo shida ya wasio na akili kama wewe mnaohisi kila aliyefanikiwa basi mchawi au mwizi
Kwani wewe konda,dereva au bosi mwenye 🤔Ndiyo shida ya wasio na akili kama wewe mnaohisi kila aliyefanikiwa basi mchawi au mwizi
Kwani wewe konda,dereva au bosi mwenye [emoji848]
Mhasibu hajichunguzi,ila yafaa achunguzwe,vipi kama hakuna wakumchunguza,ili hali Kibubu kabidhiwa mikononi mwake[emoji23]
Usiongee kama hivi banaUna akili za kimasikini sana. Tafuta pesa nawe ununue mabasi.
Afrika ukianza kuwa na mali nyingi wachawi wanakuwa wengi sana. Hutakiwi uwe na hela au mali nyingi Afrika.
Sasa katibu wa mwigulu,kwani we baba yako ana hela?au huyo mwigu yeye babake alikuwa na hela?si alizaliwa na mchunga ng'ombe tu 🤣🤣wizi unalipa🤣🤣Mwambie baba ako naye atafute pesa sio kufuatilia maisha ya watu mtachelewa
Wenye mawazo ya kimasikini ni wote ambao wana roho ya ubinafsi. Maana Tangu kuwapo kwa Tawala mbalimbali za Binadamu duniani na historia inashuhudia kwamba hakuna mtu aliyejifanikisha mwenyewe na familia na watu wa karibu asiishie kupotea. Na hiyo iwe kwa halali ama kwa Dhuluma ama ufisadi.Kwani umaskini ni sifa nzuri nayo and mnadhani Kiongozi au Mtendaji yeyote hawezi ku invest na akawa tajiri na kwa akili yako mbovu unaleta story za Nyerere kwenye mfumo wa maisha yetu Haya msichojua ni kwamba sifa mojawapo ya Kuwa Rais Marekani ni una utajiri kiasi gani acheni mawazo ya kimaskini