Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Wametubwaga, faini ni USD 71 BillionNitafurahi sana tukibwagwa huko kwenye mahakama za kimataifa. Na tupigwe faini ya 2 billion usd!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wametubwaga, faini ni USD 71 BillionNitafurahi sana tukibwagwa huko kwenye mahakama za kimataifa. Na tupigwe faini ya 2 billion usd!
zitto junior huyo bush lawyer Stroke je bado yupo?Kunapotokea marekebisho ya sheria(amendment) hakuwezi kuwa na conflict of clauses kwakua amendment huwa inafanyika kwa a specific clause inamaana sasa ile clause ya zamani inakuwa repealed and replaced by the new clause.
In cases ya mikataba ya uwekezaji baina ya nchi na makampuni ya nje huwa kunakuwa na clauses zinaitwa freezing clauses hizi zikiwa na lengo la kulinda mikataba hiyo na mabadiliko ya sheria kipindi cha mkataba, hii ni kwa ajili ya kuwapa uhakika wawekezaji wa usalama wa kile walichokubaliana kufanya na nchi husika.
Sasa kama hizo freezing clauses zipo kwenye mkataba nchi ikifanya mabadiliko ya sheria hazita athiri mikataba iliyokuwepo.
Kama freezing clauses hazitakuwepo basi kanuni ya utambuzi wa haki ya nchi kufanya mabadiliko katika Sheria inatumika.
kesi tutashinda tu, hawawezi kutushinda kame tumemzimisha Amsterdam mnafiki tutamshindwaje huyo.
Hapana ina maana wakishindwa kesi wanabeba liability ya CCM, hiyo mikataba mingi ina nature ya rushwa na vifungu vibovu je Lissu na Kibatala watakua tayari kutetea kwa kukubaliana na madhaifu yote ya mkataba ulivyosainiwa awali?Hizi ndizo kesi akina Kibatala na Lissu walitakiwa wazinunue ili wanusuru nchi kupoteza pesa zote hizo, na hii ingewaongezea mileage kwenye kazi zao na Hata kisiasa!!! Najaribu kuwaza kwa HERUFI kubwa, msinipopoe mawe 😄😄😄
====
Copy and paste!
Alafu unakuta hawa ndio mawakili tunawatuma kunegotiate mikataba ya uchimbaji gesi!?zitto junior huyo bush lawyer Stroke je bado yupo?
Uliona mbali mkuuSerikali ijayo itashtakiwa sawa kwa maovu ya awamu hii, kuvunja mikataba, kubomoa nyumba za watu,kutofata sheria
Waharishe CCM na kina Lissu ndiyo wazoe uharo wao? CCM wakiri kwanza wameshindwa wawaachie watu wengine.Hizi ndizo kesi akina Kibatala na Lissu walitakiwa wazinunue ili wanusuru nchi kupoteza pesa zote hizo, na hii ingewaongezea mileage kwenye kazi zao na Hata kisiasa!!! Najaribu kuwaza kwa HERUFI kubwa, msinipopoe mawe 😄😄😄
====
Copy and paste!
Sasa wataaminikaje kama wanauwezo wakati hawataki kuonyesha uwezo wao kutatua changamoto zinazowakabili wananchi moja kwa moja? Na hawa wananchi ndiyo wapiga kura....wameshindwa wawaachie watu wengine.
Kwa hiyo wapo tayari Taifa letu lichomwe kiberiti na tuwe majibu kisa tu changamoto iliyopo imetokea wakati CCM ipo madarakani!!! Sasa Tukisha kuwa Majivu wao wataongoza nini wakati na wao ni Majivu? Mimi nilitegemea wasaidie kunusuru nchi ili Hata wao wakipewa dhamana ya kuiongoza nchi wasipaye changamoto kubwa!!!!Hapana ina maana wakishindwa kesi wanabeba liability ya CCM,
Kwanza serikali ya CCM haiwezi kuthubutu kuwapa na pili ni ulaji kwa hiyo lazima wapewe machawa!Hizi ndizo kesi akina Kibatala na Lissu walitakiwa wazinunue ili wanusuru nchi kupoteza pesa zote hizo, na hii ingewaongezea mileage kwenye kazi zao na Hata kisiasa!!! Najaribu kuwaza kwa HERUFI kubwa, msinipopoe mawe 😄😄😄
====
Copy and paste!
waliingia mikata mibovu kupata hela za Uchaguzi sasa wana hahaNaona Mabeberu yameingia kazini tena.
Kampuni ya Montero imeazimia kuishitaki serikali ya Tanzania ikikusudia kudai fidia kutokana na kupoteza mradi wake wa utafiti wa madini wa Wigu Hill uliotokana na mabadiliko ya sheria ya madini ya mwaka 2010 iliyofuta baadhi ya leseni zilizokuwa zikitolewa hapo awali kampuni hiyo ikiwa mhanga.
Fedha za kuendesha kesi hiyo zimetolewa na kampuni ya Omni Bridgway ya Canada.
Huu utakua ni muendelezo wa makampuni ya Canada kuishambulia serikali kwa madai mbali mbali.
----
Montero secures US$2.32 million for battle with Government of Tanzania
Montero has advised that it has completed a Litigation Funding Agreement with Omni Bridgeway Canada, an affiliate of the Litigation Funder.
The Agreement provides for funds to be drawn from a financing facility to meet all fees and expenses relating to the pursuit of certain claims against the Government of Tanzania for the illegal expropriation and loss of the Project, including all costs associated with legal proceedings and, if necessary, enforcement, of any awards.
Montero has retained Thierry Lauriol and his team at Jeantet AARPI as highly experienced legal counsel in international arbitration with a track record of success for its clients in Africa.
Dr Tony Harwood, President of Montero, comments:
“Montero’s legal representatives, Jeantet, backed by the financial support of the Litigation Funder Omni Bridgeway, have been engaged to aggressively pursue compensation for the illegal activities of the Government of Tanzania in expropriating the Wigu Hill rare earth element Project.”
Montero is not able to make any comment in relation to the potential quantum of any claim for compensation at this point.
As background, on 17 January, 2020 Montero delivered a Notice of Intent to Submit a Claim to Arbitration to the Attorney General of Tanzania in accordance with the 2013 Agreement for the Promotion and Reciprocal Protection of Investments in the Bilateral Investment Treaty (BIT) between Canada and the United Republic of Tanzania.
The dispute arises out of certain acts and omissions of the United Republic of Tanzania in breach of the BIT and international law, relating to Montero’s investment in the Wigu Hill rare earth element project located in Tanzania.
Montero commenced exploration activities on the Wigu Hill project in March 2008 when it was held under Prospecting License. Montero subsequently, on advice from the Mining Commissioner, applied for a Retention License in 2014 and this was granted in 2015 valid for a period of five years.
In 2017 the Government of Tanzania announced amendments to the Mining Act 2010, which, inter alia, abolished the legislative basis for the Retention License classification with no replacement classification.
On 10 January 2018 the Government published the Mining Regulations 2018 which under Regulation 21 cancelled all Retention Licenses issued prior to that date, which would cease to have any legal effect.
The rights to all areas under Retention Licenses were immediately transferred to the Government of Tanzania.
On December 19th, 2019 the Mining Commission of Tanzania announced a public invitation to tender for the joint development of areas previously covered by Retention Licenses, including the area of the Wigu Hill Retention License.
The abolition of the Wigu Hill Retention License and the removal of the various rights to the minerals conferred by this licence has rendered the Wigu Hill project valueless to Montero.
Therefore, as a direct consequence of the legislative, regulatory and other measures made by the Tanzanian Government, Montero has lost completely its investment.
The Notice of Intent is necessary in order to preserve Montero’s rights to initiate arbitration should a resolution with the Tanzanian Government not be reached.
The filing of the Notice of Intent initiates a six-month consultation period between the parties during which time no attempt was made by the Tanzanian Government to amicably settle the dispute.
Montero has initiated international arbitration proceedings in accordance with the BIT between Canada and the United Republic of Tanzania. Compensation being sought for expropriation of the Wigu Hill rare earth element Project may include, but will not be limited to, the value of the historic investment made by Montero in Tanzania, the value of the project at the time that tenure was expropriated and damages the Company has suffered as a result of Tanzania’s acts and omissions.
Source: Montero secures US$2.32 million for battle with Government of Tanzania
Kwanza sio kila wakili anaweza sikiliza mashauri hayo wamebobea kwenye Arbitration na settlement na pia wana uelewa wa sheria za mikataba vitu ambavyo sio Lissu au Kibatala wamesomea so hilo sio eneo lao. So ni lazima serikali iingie mfukoni ipate mawakili wazuri kutoka law Chambers za hao hao wazungu au lobbyists waliojazana Brussels!!hiyo wapo tayari Taifa letu lichomwe kiberiti na tuwe majibu kisa tu changamoto iliyopo imetokea wakati CCM ipo madarakani!!! Sasa Tukisha kuwa Majivu wao wataongoza nini wakati na wao ni Majivu? Mimi nilitegemea wasaidie kunusuru nchi ili Hata wao wakipewa dhamana ya kuiongoza nchi wasipaye changamoto kubwa!!!!
Mbona waliwahi toa ushauri mapema mfano hizo sheria za mapato ya gesi na mafuta Lissu hadi alifukuzwa bungeni kisa kupinga vifungu vyenye loopholes ila leo hii wakaishia kufanya ammendments zile zile walizoonywa tena ni baada ya hasara kadhaa!!Mimi nilidhani hii ni fikira saidizi....lakini kama nao hawataki kunusuru inaonekana na wao wanania ovu dhidi ya Watanzania!!!
Huoni Lissu aliponea kuuawa kwa kusema ukweli kuhusu hiyo mikataba mibovu? Mikataba mingi hata ukiwapa wanasheria bora kabisa duniani hawatashinda kwa sababu CCM iliingia mikataba mibovu ili wapate rushwa.Sasa wataaminikaje kama wanauwezo wakati hawataki kuonyesha uwezo wao kutatua changamoto zinazowakabili wananchi moja kwa moja? Na hawa wananchi ndiyo wapiga kura
Hao matapeli ya kisiasa huwezi yaona hapa.Hizi ndizo kesi akina Kibatala na Lissu walitakiwa wazinunue ili wanusuru nchi kupoteza pesa zote hizo, na hii ingewaongezea mileage kwenye kazi zao na Hata kisiasa!!! Najaribu kuwaza kwa HERUFI kubwa, msinipopoe mawe 😄😄😄
====
Copy and paste!