Kampuni ya PAF Promotion yampeleka Mahakamani Mwakinyo, yamdai fidia ya mamilioni

Kampuni ya PAF Promotion yampeleka Mahakamani Mwakinyo, yamdai fidia ya mamilioni

Hawa waliofungua kesi ni wajinga, yaani mtu umemlipa dola 3000 halafu unataka akurejeshee dola 50,000+ hapo wataambulia Dola 3000 tu na gharama za kesi, waache utapeli na wakumbuke kesi ya Madai hafungwi mtu, na kila biashara inapaswa iwe na Bima kuensure unforeseen liabilities kama hizi, kwahiyo wakawadai kampuni yao ya Bima.
AY & MwanaFa walilipwa na Tigo ,almost billion 3 kwa Tigo kutumia ringtone ya muziki wao,Kama Mwakinyo alivunja mkataba na waliomshitaki wana mawakili wa uhakika watapata hela ya kutosha
 
Hawa waliofungua kesi ni wajinga, yaani mtu umemlipa dola 3000 halafu unataka akurejeshee dola 50,000+ hapo wataambulia Dola 3000 tu na gharama za kesi, waache utapeli na wakumbuke kesi ya Madai hafungwi mtu, na kila biashara inapaswa iwe na Bima kuensure unforeseen liabilities kama hizi, kwahiyo wakawadai kampuni yao ya Bima.
Kwamba ikiwa na bima ndio atakayefanya uharibifu hupaswi kumshtak???
 
Sheria haiko hivyo mkuu lazima alipe cost zote ambazo kampuni imeingia
Kama akishindwa na wao wakadhibitisha kuwa hayo mapato yangelipatikana kwani kuna previous records za hayo makadilio na pia mapato yalilipiwa kodi kwa mujibu wa sheria.
 
Duuuh kumbe maisha ni magumu kote kote aseeeh, mtu kama Mwakinyo na CV yake nzito vile anapigana pambano kwa 3000 USD?! Sasa hawa mabondia wengine wa chini yake wanalipwaje?! Yani hela ya kulipia ukumbi ni kubwa (8M) kuliko anayolipwa Mwakinyo?!
Labda ilikuwa advance baada ya pambano ndio angemaliziwa

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Hawa waliofungua kesi ni wajinga, yaani mtu umemlipa dola 3000 halafu unataka akurejeshee dola 50,000+ hapo wataambulia Dola 3000 tu na gharama za kesi, waache utapeli na wakumbuke kesi ya Madai hafungwi mtu, na kila biashara inapaswa iwe na Bima kuensure unforeseen liabilities kama hizi, kwahiyo wakawadai kampuni yao ya Bima.

Kesi ya madai unafungwa, rejea kesi ya Mtikila. Unafungwa kwa gharama za mdai. Ila ni mpaka ukose Mali ya kuuzwa kufidia hasara uliosababisha.
 
😂😂😂
Thamani ya mkataba million 6.
Fidia unataka karibu Nusu billion
Tuache masihara kama Mwakinyo wanampa million 6, hao mabondia wengine wanapewa Tsh ngapi?
Magumi yote yale?

Kesi ni ya kuvunja mkataba. Kwa hivyo kisheria inaangaliwa hasara zote zinazoamabatana na kuvunjiwa kwa mkataba.
 
Kutokana na janja janja za bongo Itakua ngumu kuproove kwamba wanaoiwezo wakuingiza hela zote hizo, hapo itaombwa financial statement ya hiyo kampuni na mwenendo wao wa kulipa kodi unakuta hawajawahi kudeclare profit wala kuingiza zaidi ya Million 50.

Sidhani Kama wanaangalia statement za Kodi maana mambo ya Kodi yana kesi zake maalum. Hapo itaangaliwa hasara zote ilizopata kampuni kwa Mwakinyo kuvunja mkataba.
 
Tatizo hiyo fidia ni exaggerated mtu umemuona anathamani ya USD 3,000 unawezaje kuprove kwamba amekutia hasara ya zaidi ya Dollar 50,000/= hawa jamaa ni wanyonyaji kishenzii na hapa wakakutana na kichwa cha mwenda wazimu...tukae kwa kutulia tuone Kesi itakavyoenda.

Hiyo ni advance alilipwa Kama walivyokubaliana na baada ya pambano angelipwa Tena. Halafu kwenye kesi ya madai kinachoangaliwa ni hasara uliosababisha kwa kukiuka makubaliano na sio kiasi unachopokea. So mwakinyo alikuwa alipwe milioni 30 kwa pambano ila kutokana na kuvunja mkataba kampuni imepata hasara ya milioni 3000,000,000 mia tatu. Akipatikana na kosa atatakiwa alipe millioni mia tatu na thelethini.
 
Back
Top Bottom