ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Hakuna kitu kama hicho kwamba kama hauja wahi kushika million 10 huwezi kufungua kesi ya madai ya 10M? vipi kama hio ndio biashara yako ya kwanza ulikua unaenda kushika hio pesa?Kutokana na janja janja za bongo Itakua ngumu kuproove kwamba wanaoiwezo wakuingiza hela zote hizo, hapo itaombwa financial statement ya hiyo kampuni na mwenendo wao wa kulipa kodi unakuta hawajawahi kudeclare profit wala kuingiza zaidi ya Million 50.