Kampuni ya Precision Air ifungiwe na ifutwe, imejaa Damu na Dhuluma

Kampuni ya Precision Air ifungiwe na ifutwe, imejaa Damu na Dhuluma

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Kwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.

Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.

Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.

Precision is pure evil!

Nyingine: Serikali isimamishe shughuli za Precision Air haraka
 
Ajali haina hodi na ikitokea au inataka kutokea pia haina kinga ni ishu ya seconds tu! Ishu ni kuchelewa kuokolewa anzia hapo na serikali ifutwe basi kama ndio hivyo maana wale mpaka wanaanza kuokolewa na mitumbwi wote walikua hai yaliyo jiri baada ya hapo ndio yaliyo wamaliza
 
Onyesha jinsi gani ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa shirika letu la ndege.

UDART, TANESCO, DAWASCO, NIDA, TPA n.k yanahujumiwa na nani?

Kuna tatizo gani Precision Air wakishirikiana na KQ? Unafahamu PA haiendeshwi kwa pesa za walipa kodi kama ATCL??
 
Kwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.

Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.

Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.

Precision is pure evil!
MWANANGU KUWA MCHAWI SIYO LAZIMA UVAE IRIZI, HATA HIZI NI DALILI TOSHA ZA KUWA WEWE NI MWANGA
 
Kwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.

Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.

Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.

Precision is pure evil!
Utakuwa umetoroka Mirembe!
 
Kama ni kweli ajali ilisababishwa na hali mbaya ya hewa basi inaelekea rubani wa ndege hakuwa na ujuzi au uzoefu mkubwa. Ilitakiwa aendeshe kutumia geji zake na GPS (IFR) siyo kujaribu kuangalia kwa macho anatua wapi (VFR) maana huwezi kuona. Angalia marubani wanavyofanya hapa

 
Kwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.

Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.

Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.

Precision is pure evil!
Upumbavu wa waafrika wengi ni huu na akili potofu za Magufuli na genge lake. Kama Magufuli alishindwa kuua Precision hataweza huyu dada kamwe.
 
Kwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.

Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.

Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.

Precision is pure evil!
Hapo ukute umekunywa chimpumu chako unakuja kuharisha hovyo hapa. Watanzania ni watu wa hovyo sana.
 
Upumbavu wa waafrika wengi ni huu na akili potofu za Magufuli na genge lake. Kama Magufuli alishindwa kuua Precision hataweza huyu dada kamwe.

Kwa nini inauwa na kulemaza watu?
Pure evil!
 
Hoja yako ina mashiko na inafikirisha lakini kiungwana hapa si mahali sahihi
 
Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.
unadhani hii ndo sababu ya ajali?
Monopoly ndio inayofanya mashirika mengine ya Umma yasi perform, hebu jaribu kufikiri kama Precision isingekuwepo nchini hasa kwa local routes hiv ATCL ingekuwaje, Nadhani wewe humjui Matindi na genge lake vzr, can u see siasa zinazoendela juu ya ATCL kumilikishwa ndege hizo kutoka umiliki wa TGFA ambao wanasimamia Aircraft Lease agreement kwa niaba ya serikali?

Unajua Mtaji Hasi wa ATCL unalozungumziwa na kina Jerry Silaa unatokana na nini? usiongee vitu usivyovijua my friend, ATCL ikiachwa yenyewe itabweteka na ndio maana serikali haitokuja kuimilikisha Ndege ATCL, Matindi full Ku-lobby na kuwatumia wana siasa ili apewe umiliki wa ndege lkn sababu ni ili atapanye hizo mali.
 
unadhani hii ndo sababu ya ajali?
Monopoly ndio inayofanya mashirika mengine ya Umma yasi perform, hebu jaribu kufikiri kama Precision isingekuwepo nchini hasa kwa local routes hiv ATCL ingekuwaje, Nadhani wewe humjui Matindi na genge lake vzr, can u see siasa zinazoendela juu ya ATCL kumilikishwa ndege hizo kutoka umiliki wa TGFA ambao wanasimamia Aircraft Lease agreement kwa niaba ya serikali?

Unajua Mtaji Hasi wa ATCL unalozungumziwa na kina Jerry Silaa unatokana na nini? usiongee vitu usivyovijua my friend, ATCL ikiachwa yenyewe itabweteka na ndio maana serikali haitokuja kuilikisha Ndege ATCL, Matindi full Ku-lobby ili apewe umiliki wa ndege lkn sababu ni ili atapanye hizo mali!!

Lakini Precision imepata ajali na kuuwa na kulemaza watu, jambo la kwanza kufanyika na hili hufanyika Dunia nzima ni kusimamisha aidha Kampuni au ndege zote Type ya hiyo iliyopata ajali mpaka ukweli ujulikane kulinda Watanzania, ukiniuliza mimi it’s over kwa hiyo kampuni tayari ina hati chafu hata nje ya nchi!
 
Back
Top Bottom