Kampuni ya Precision Air ifungiwe na ifutwe, imejaa Damu na Dhuluma

Kampuni ya Precision Air ifungiwe na ifutwe, imejaa Damu na Dhuluma

Kwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.

Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.

Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.

Precision is pure evil!

Ndio mlipanga hivyo? Subirini ukweli utakuwa wazi.
 
Kwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.

Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.

Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.

Precision is pure evil!
Huna unachojua, madhara ya kutochamba vizuri haya
 
Kwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.

Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.

Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.

Precision is pure evil!
Hujielewi wewe...concord na boeing sio air liners. So unataka kusema Ethiopian airways na Air France walifungiwa?
 
Lissu alishasema wakimaliza na CHADEMA watawafuta nyie. Nimeanza kuelewa Leo mnataka Presicion Air ifutwe kisa na mkasa mamlaka ya ndege bukoka ilishauri ndege itupwe ziwani watakuja kuwaokoa na kumbe Wala hawakuwa na huo mpango.
 
Kwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.

Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.

Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.

Precision is pure evil!
Umetumia kichwa au makalio?
 
Lakini Precision imepata ajali na kuuwa na kulemaza watu, jambo la kwanza kufanyika na hili hufanyika Dunia nzima ni kusimamisha aidha Kampuni au ndege zote Type ya hiyo iliyopata ajali mpaka ukweli ujulikane kulinda Watanzania, ukiniuliza mimi it’s over kwa hiyo kampuni tayari ina hati chafu hata nje ya nchi!
Yani usimamishe ATR-42 zote kwa ajili ya moja kupata ajali 😁

Hawa ndege expert balaa tupu
 
Kwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.

Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.

Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.

Precision is pure evil!
Kwa bandiko lako hili unatoa kiashiria kuwa ajali hii ni hujuma ili muifute Precision
 
Kwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.

Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.

Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.

Precision is pure evil!
Taarifa zinaonesha watu 2 kuzidi ndani ya ndege!!!

Je walioshika Bomba kama daladala za mbagala au Kuna Mahali tunadanganywa?
 
Taarifa zinaonesha watu 2 kuzidi ndani ya ndege!!!

Je walioshika Bomba kama daladala za mbagala au Kuna Mahali tunadanganywa?
Hivi kwenye ndege mtu hawezi kupanda bila ticket.? Tunafanya hivyo kwenye mabasi mtu anaweza akasafiri bure bila kuwa na ticket.
 
Hivi mamlaka ya hali hewa TZ huwa kazi yake nini?
NDEGE ilipo kuwa inaondoka DAR ES SALAAM kuelekea BUKUBA MARUBANI hawa kuwa na Update yoyote ya hali hewa ?
 
Lakini Precision imepata ajali na kuuwa na kulemaza watu, jambo la kwanza kufanyika na hili hufanyika Dunia nzima ni kusimamisha aidha Kampuni au ndege zote Type ya hiyo iliyopata ajali mpaka ukweli ujulikane kulinda Watanzania, ukiniuliza mimi it’s over kwa hiyo kampuni tayari ina hati chafu hata nje ya nchi!
Mkuu, aina ya ndege iliyopata ajali haiwezi kusimamishwa kufanya safari maana ndege iliyopata ajali Jana ni aina ya ATR, ni zaidi ya miaka 20 ATR zipo, safari zingesimamishwa iwapo tu aina ya ndege iliyopata ajali ni aina mpya kwenye aviation industry na imepata ajali Mara nyingi tangu muda mchache wa kuundwa kwake

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Taarifa zinaonesha watu 2 kuzidi ndani ya ndege!!!

Je walioshika Bomba kama daladala za mbagala au Kuna Mahali tunadanganywa?
Jina la ndege model umepewa jarbu kugoogle Basi Kwanza inabeba abiria wangap
 
Kwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.

Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.

Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.

Precision is pure evil!
Umenifungua macho;
1. Mlianza kwa kutabiri ajali

2. Ikatokea mkagoma kuokoa badala yake
Wananchi wenye uchungu na ndugu zao
Wakajitosa kuokoa

3. Mnaanza kutimiza azma yenu ya hujuma hii.
 
Unajua maana ya watu kuzidi?

Mf abiria waingie 10, wafariki 8 na majeruhi 4.

Utaamini taarifa unazopewa?
Kwan bus haliwezi beba watu 30 likapata ajali vifo 10 majeruhi 22 au wanatangazwa waliokuwa kwenye bus tu aliedhurika akiwa nje ya bus Yani hakupanda hausiki?
 
Back
Top Bottom