Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umejaa funza kichwani.Kwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.
Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.
Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.
Precision is pure evil!
Kwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.
Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.
Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.
Precision is pure evil!
Ndege na bus ni sawa?Kwan bus haliwezi beba watu 30 likapata ajali vifo 10 majeruhi 22 au wanatangazwa waliokuwa kwenye bus tu aliedhurika akiwa nje ya bus Yani hakupanda hausiki?
Move Yao nadhani Wangepora Bombardier zetu zipigwe RANGI ya Jangwani kunufaisha wahuni.Rostitamu amenunua kampuni ya ndege juzi tu.
Sasa unganisha dots, uanzia ajali ya precision air na haya maoni ya precision air kufungwa. Mimi sijasema chochote. Utakachowaza ni mawazo yako binafsi!
Kama ni kweli ajali ilisababishwa na hali mbaya ya hewa basi inaelekea rubani wa ndege hakuwa na ujuzi au uzoefu mkubwa. Ilitakiwa aendeshe kutumia geji zake na GPS (IFR) siyo kujaribu kuangalia kwa macho anatua wapi (VFR) maana huwezi kuona. Angalia marubani wanavyofanya hapa
Nakupa mfano ila akili yako inashindwa jiongeza labda iliangukia mtumbwi au waokoaji enyewe walizidiwa wakafaNdege na bus ni sawa?
Kwamba inawezekana hao waliozidi waligongwa wakiwa ndani ya nyungo za kichawi, au ni wavuvi sio?
Ni muhimu utoe ushahidi usiotiliwa shaka kuhusu tuhuma ulizotoa ambazo ni nzito kama Zina ukweli.Kwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.
Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.
Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.
Precision is pure evil!
Lakini Precision imepata ajali na kuuwa na kulemaza watu, jambo la kwanza kufanyika na hili hufanyika Dunia nzima ni kusimamisha aidha Kampuni au ndege zote Type ya hiyo iliyopata ajali mpaka ukweli ujulikane kulinda Watanzania, ukiniuliza mimi it’s over kwa hiyo kampuni tayari ina hati chafu hata nje ya nchi!
Umekuwa msemaji wa Serikali sasa.Nakupa mfano ila akili yako inashindwa jiongeza labda iliangukia mtumbwi au waokoaji enyewe walizidiwa wakafa
Tena ni mwanga aliye kubuhuMWANANGU KUWA MCHAWI SIYO LAZIMA UVAE IRIZI, HATA HIZI NI DALILI TOSHA ZA KUWA WEWE NI MWANGA
Hata maisha yakoUmekuwa msemaji wa Serikali sasa.
Hakuna kinachotokea bahati mbaya.Umenifungua macho;
1. Mlianza kwa kutabiri ajali
2. Ikatokea mkagoma kuokoa badala yake
Wananchi wenye uchungu na ndugu zao
Wakajitosa kuokoa
3. Mnaanza kutimiza azma yenu ya hujuma hii.
Utakuta huyo ni TAGA, hivyo anaona hao jamaa, wana VINASABA vya CDM, hivyo akiwaona angani tu, anajisikia KICHEFUCHEFU, yeye anajisikia raha akiziona zile zilizoandikwa "HAPA KAZI TU"!Tuwekee hapa ushetani wa Precision Air.
Usiwajibie hao, wanalipwa Kodi zetu, KAZI yetu kama wenye Nchi ni KUHOJI na kulazimisha majibu sahihi.Hata maisha yako
Una mtindio wa ubongoKwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.
Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.
Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.
Precision is pure evil!