Kwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.
Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.
Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.
Precision is pure evil!
Huna unachojua, madhara ya kutochamba vizuri hayaKwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.
Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.
Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.
Precision is pure evil!
Hujielewi wewe...concord na boeing sio air liners. So unataka kusema Ethiopian airways na Air France walifungiwa?Kwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.
Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.
Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.
Precision is pure evil!
Umetumia kichwa au makalio?Kwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.
Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.
Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.
Precision is pure evil!
Yani usimamishe ATR-42 zote kwa ajili ya moja kupata ajali 😁Lakini Precision imepata ajali na kuuwa na kulemaza watu, jambo la kwanza kufanyika na hili hufanyika Dunia nzima ni kusimamisha aidha Kampuni au ndege zote Type ya hiyo iliyopata ajali mpaka ukweli ujulikane kulinda Watanzania, ukiniuliza mimi it’s over kwa hiyo kampuni tayari ina hati chafu hata nje ya nchi!
Kwa bandiko lako hili unatoa kiashiria kuwa ajali hii ni hujuma ili muifute PrecisionKwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.
Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.
Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.
Precision is pure evil!
Taarifa zinaonesha watu 2 kuzidi ndani ya ndege!!!Kwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.
Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.
Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.
Precision is pure evil!
Hivi kwenye ndege mtu hawezi kupanda bila ticket.? Tunafanya hivyo kwenye mabasi mtu anaweza akasafiri bure bila kuwa na ticket.Taarifa zinaonesha watu 2 kuzidi ndani ya ndege!!!
Je walioshika Bomba kama daladala za mbagala au Kuna Mahali tunadanganywa?
Mkuu, aina ya ndege iliyopata ajali haiwezi kusimamishwa kufanya safari maana ndege iliyopata ajali Jana ni aina ya ATR, ni zaidi ya miaka 20 ATR zipo, safari zingesimamishwa iwapo tu aina ya ndege iliyopata ajali ni aina mpya kwenye aviation industry na imepata ajali Mara nyingi tangu muda mchache wa kuundwa kwakeLakini Precision imepata ajali na kuuwa na kulemaza watu, jambo la kwanza kufanyika na hili hufanyika Dunia nzima ni kusimamisha aidha Kampuni au ndege zote Type ya hiyo iliyopata ajali mpaka ukweli ujulikane kulinda Watanzania, ukiniuliza mimi it’s over kwa hiyo kampuni tayari ina hati chafu hata nje ya nchi!
Jina la ndege model umepewa jarbu kugoogle Basi Kwanza inabeba abiria wangapTaarifa zinaonesha watu 2 kuzidi ndani ya ndege!!!
Je walioshika Bomba kama daladala za mbagala au Kuna Mahali tunadanganywa?
Unajua maana ya watu kuzidi?Jina la ndege model umepewa jarbu kugoogle Basi Kwanza inabeba abiria wangap
Umenifungua macho;Kwanza ni kawaida Dunia nzima ndege ikipata ajali wa kwanza kuwajibishwa ni Kampuni ya ndege mara nyingi hiyo aina ya ndege huzuiwa kufanya kazi au Kampuni hutozwa faini kubwa, mwisho wa Concord ni ajali iliyotokea Atlantik hata Ethiopian iliyoanguka miaka 2 iliyopita Boeing waliitoa walishitakiwa.
Hivyo Kampuni ya Precision ifungiwe na ifutwe, ilianzishwa kifisadi kwa kuuwa Shirika letu la Umma kwa makusudi kama hiyo haitoshi inashirikiana Kenya Airways against Air Tanzania.
Poleni wafiwa na majeruhi nawatakieni quick recovery.
Precision is pure evil!
Kwan bus haliwezi beba watu 30 likapata ajali vifo 10 majeruhi 22 au wanatangazwa waliokuwa kwenye bus tu aliedhurika akiwa nje ya bus Yani hakupanda hausiki?Unajua maana ya watu kuzidi?
Mf abiria waingie 10, wafariki 8 na majeruhi 4.
Utaamini taarifa unazopewa?
Cc Sol de MayoTutafute hela tuache makasiriko kama haya