Kampuni ya Sola ya Mysol ni Majambazi, Wananchi iogopeni kama UKIMWI

Pole kwa kupigwa. Wakati mwingine ingia dukani, tafuta fundi akakufungie. Achana na mambo ya mikopo.
 
Ulifikili mkuu kutangaziwa biashara kwenye tv ni ubora? Hiyo ni mind control, matangazo yote ni Mind control.
Mind control ni kuingiza wazo usilolitaka kichwani bila kutegemea
 
Poa
 
Business model ngumu sana kwa sababu africa watu sio waaminifu
 
Kuuchezea ni dakika 0 tu na hautasoma kwenye GPS tena,nitakupa Elimu ya jinsi ya kuuchezea badae kidogo maana naingia kikaoni ofisini
Gps zinakaa wapi...kwenye battery au solar pale...

Huku za barabaran wanaiba kweli nawaza wanapanda sa ngapi pale juu
 
Huyu hajazungumzia KUSUMBUA,kasema tangu afungiwe HAIJAWAHI kuwaka hivyo inaonekana ina HITILAFU!!Nilishafanya kazi na hiyo Kampuni kwa miaka 6 hivyo naifahamu A to Z na jinsi inavyowanyonya Wananchi
Labda kwa kuwa uliachana nao tena kwa ubaya unataka kuwaharibia kwa wateja, who knows!
 
Mm ningebypass umeme niendlee tumia
 
MREJESHO BAADA YA KUTOA TAARIFA YA UTAPELI WA KAMPUNI YA SOLA YA MYSOL:
Kama nilivyoripoti asubuhi kuhusu kutapeliwa na Kampuni ya Sola ya MySol kwa kunifungia Sola ambayo haijafanya kazi(kuwaka)tangu walivyoifunga tarehe 27 Mei. Baada ya Mkubwa MBUZIMAWE99 kunipa ushauri wa kuing'oa na kuiuza nilifanya hivyo na hakika sijajutia. Niliifungua na kuja nayo Babati Mjini,nilimfuata fundi umeme mmoja wa mtaani ambaye aliifungua Betri na kuiunganisha Direct hivyo akawa ameichomoa ile GPS yao na hivyo Betri ikawa inafanya kazi bila GPS kusoma. Kuifungua na kuichokonoa ni zoezi lililodumu dakika 10 na nikampoza Fundi kwa Tsh.10,000. Nikaenda kuuza kifaa kimojakimoja kama ifuatavyo:
TV Flat Inch 43 nimeiuza Tsh.350,000
Battery nimeiuza Tsh.270,000
Panel nimeiuza Tsh.180,000
Nyaya za Wiring na Taa jumla Tsh.20,000
JUMLA KUU nimepata Tsh.820,000
Nikitoa 285,000 kwa 820,000 maana yake nina faida ya Tsh 535,000
ASANTE MKUBWA MBUZIMAWE99,nakuja PM unipe namba nikutumie walau 50,000 USAFISHE MOYO
Itabidi nikusanye vijana 10 maeneo tofautitofauti niwape deal hii,mimi nawapa Pesa kianzio wao wanafanya maombi,wakifungiwa tu naenda kung'oa Mtambo wangu wao nawapoza kwa Laki Moja Moja,hata nikipata faida ya Tsh Laki Nne kwa kila Mtambo maana yake ni kwamba sitakosa Milioni Nne kwa MITAMBO KUMI. Hakika Mjini mipango,naanza zoezi hilo mapema kesho
 
Watanzania sielewagi tupoje..!! Watu wanapigwa kila kukicha na makampuni mbalimbali, lakini wapo tu..!! Nimekumbuka DECI jinsi watu walivyopigwa na baadaye waliendelea kupigwa na wanaofanana na DECI. Hata hawa yatakuwa hayo hayo tu
 
Tangu niliponusurika KUBAKWA na Mkurugenzi Mkuu wa hiyo Kampuni ya MySol Godfrey Mugambi ofisini kwake sina hamu nayo. Na Mkuu wa HR Veronika Kahama akishirikiana na kijana wa IT Dishoni Eseka wakatoa CCTV Camera ili kuficha Ushahidi sina hamu kabisa. Nami naungana na muanzisha huu Uzi NAWAONYA WATANZANIA WENZANGU KUKATAA NA KUOGOPA KUTUMIA BIDHAA ZA KAMPUNI HII KAMA WANAVYOUOGOPA UGONJWA WA UKIMWI,Ni Kampuni ya KIJINGA NA KIPUUZI iliyojaa WIZI na UNYONYAJI mkubwa kwa maskini,SHIME SHIME WATANZANIA ACHENI KUTUMIA BIDHAA ZA KAMPUNI HII YA SOLA YA MYSOL ILIYO NA MAKAO MAKUU VIWANJA VYA NANE NAME ARUSHA NI MAJIZI NA MATAPELI WAKUBWA,MSIBABAISHWE NA MATANGAZO YAO YA KWENYE TV ,TAFADHALINI IOGOPENI KAMA MNAVYOUOGOPA UGONJWA WA UKIMWI
 
Tuhadithie ilikuwaje
 
Mkuu Sio risk LAKINI!!!?
 
Wewe utakuwaa ulikuwa mwajiriwa waoo

Wakakufanya kitu mbayaa tulia broo

Sio kilamtu ana roho ya unyang'anyi kama wewe


Mind you Kama una negativity mindset do not trying insert to other.

Stop this

Advice people for goodeness.
 
Wewe utakuwaa ulikuwa mwajiriwa waoo

Wakakufanya kitu mbayaa tulia broo

Sio kilamtu ana roho ya unyang'anyi kama wewe


Mind you Kama una negativity mindset do not trying insert to other.

Stop this

Advice people for goodeness.
Nilifuata Ushauri huu nikauza Sola yao mwezi wa Tano na nikapata faida nzuri tu,hii Kampuni ya ENGIE Mysol ni MAJIZI sana na matapeli, nimekuwa nahamasisha wanakijiji wenzangu kung'oa na kuuza mitambo yao WEZI hawa,wiki iliyopita walikuja Maofisa wao wanne tukawakimbiza na mapanga wakakimbia,hatutaki hata kuwaona kijijini kwetu matapeli na majizi hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…