Tetesi: Kampuni ya Yapi Merkezi kuchunguzwa kwa rushwa na kuingilia mambo ya ndani Tanzania

Hii kampuni baadhi ya wafanyakazi wake kutoka huko Uturuki, wana mambo ya kishenzi na kikatili sana nyuma ya pazia! Na hasa kwa watoto wetu wadogo wa kike, tena ambao bado ni wanafunzi.

Ni basi tu nchi yetu ina kawaida ya kuwalea na kuwafumbia macho wahalifu kutoka nje. Kungekuwepo na intelijensia ya kueleweka, mpaka muda huu Waturuki wengi wangekuwa wameshahukumiwa jela kwa makosa ya ubakaji, ulawiti na udhalilishaji.
 
Raia wanje hawezi kufanya mambo yote hayo bila ya kuwa na mwenyeji wake hapa nchini.
Na panapofuka moshi kuna moto.
Uturuki wanajuikana kwa uanaharakati wa chinichini.

Vile vile si rahisi kumlaumu mkandarasi wakati wasimamizi wa mradi wapo hapo hapo kazini.
Kama wanasiasa wamehongwa kunyamazishwa basi hili nalo lichunguzwe.
 
Halafu anaitupia mzigo serikali ya jpm utadhani hakuwa ndani ya serikali hiyo. Madam president amekuwa mlalamishi kuliko hata sisi wananchi. So pathetic.
Kwani hamkumbuki JPM alisema kwa mdomo wake kuwa hashauriki?
Na kwamba maamuzi ni ya kwake tu.
Mnashau kuwa huu mradi uliasisiwa na JPM, tena kwa msukumo wake-Reli kwenda karibu na kwao.
 
Huko uarabuni hakuna mito, milima na misitu.

..hakuna ujenzi usiokuwa na changamoto.

..mkandarasi hukagua changamoto zote ikiwemo mito, milima, etc na kuzijumuisha ktk gharama za ujenzi na makadirio ya myda wa kukamilisha mradi.
 
..hakuna ujenzi usiokuwa na changamoto.

..mkandarasi hukagua changamoto zote ikiwemo mito, milima, etc na kuzijumuisha ktk gharama za ujenzi na makadirio ya myda wa kukamilisha mradi.
Ujenzi wa miradi Tanzania una changamoto nyingi sana zinazogubikwa na siasa, mjenzi hujikuta anajenga huku amezungurukwa na makazi holela na wafanyabiashara ambao hawako tayari kuupisha ujenzi wa mradi, serikali huwa haiko tayari kuwaondoa wananchi kwenye eneo la ujenzi badala yake inamuachia mjenzi awaondoe! Tumeshuhudia magreda yakichimba mita moja toka kwenye bidhaa wanazopanga wamachinga huku wamschinga wakiangalia tu bidhaa zao ziguswe walianzishe! Uarabuni hakuna upuuzi huo. Mjenzi akifuma nondo kwa ajili ya kimwagia zege usiku zinang'olewa na vibaka wanaojifanya wamachinga huku mjenzi huyohuyo anapambana na wafanyakazi wanao muibia mafuta, simenti na nondo, tulishuhudia Morogoro ambako waya za umeme zilizotandikwa kwenye SGR zikiibwa kwa kuzikata, pamoja na vyuma ya reli kwa ajili ya kuuza vyuma chakavu, kufanya kazi ya ujenzi Tanzania ni ngumu sana.
 
Uko sahihi kabisa. Kuna jamaa yangu yuko Dodoma, amenisimulia tabia za hawa washenzi! Kiukweli nimejisikia vibaya sana.

Watoto wa shule ya sekondari wa miaka 16, 17, na 18 wanakusanyana kupitia hayo magroup ya whatsapp! Halafu wanaenda kwa hao Waturuki, wanafanyishwa ngono haram za makundi! Yaani fala mmoja anawafanyia ukatili watoto wawili kwa wakati mmoja! Anawaingilia nyuma na mbele! Wanamnyonya sehemu zake za siri! Halafu akimaliza anawapa elfu 20 kila mmoja!

How come vyombo vyetu vya dola vinashindwa kugundua huu ukatili kwa watoto?
 
Leo ni mapumziko nenda pale bambalaga,rainbow,club seven utawakuta kibao na booking tayari bado k7lipia2 Af wanapenda Chuchu konz....wanavyodai wengi wa hao dada zetu UDOM....nkishagundua dem nnaefukuzia mturuk kapita aaaah namkwepa naanza sababu maana hachelew kkutegeshea mku.... Coz washazoea ...et Kaka kule kwao ni Jiran na sodoma???sjafuatilia aiseee .... Leo watapata tabu sana na zile lodge za bei kubwa ndio wanapenda sana coz Dada zetu hawajawahi ingia ndani wanaongea kwa injili tu.na nyama choma tunalia ndani na bia mix na vodka nn ile?Af nimesahau wanamix dak2 pombe zenyewe hajazoea anajisevia adi jicho/ndogo tunaitaka sie.ila kaka siwata nigndua navochana ???? Ww wasemaje????au ww ndio hr Af naona unavonichek...ngoja ninyamaze kama kawaida yangu maana.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…