Kampuni ya YAS ni failure katika huduma zao hasa Mix by YAS

Kampuni ya YAS ni failure katika huduma zao hasa Mix by YAS

Ni kweli ukinunua umeme token inachelewa sana, ila kinachonikera zaidi ni kunipangia matumizi ya mb zangu kwa kuzigawa ziwe za whatsapp kisha zinazobaki ziwe za shughuli nyinginezo. Sasa nina gb za kutosha za whatsapp ambazo siwezi kuzimaliza na upande wa pili zile mb zinazobaki zinakatika haraka... nonsense Yasintha, wamekuja kuharibu majina mazuri ya wasichana wetu.
 
Upo sahihi mtoa mada.
Sishauri kabisa mtu yeyote kufanya malipo kutoka Yass kwenda taasisi nyingine. Pesa wanakata na hazifiki kabisa unakolipia na mbaya zaidi hawarudishi pesa hii ni wiki sasa tangu nifanye malipo kutoka Mixx by Yass kwenda Air Tanzania na malipo hayakufika ila pesa wamekula.

Wapuuzi sasa hawa Yass
 
Ndugu mteja, Muamala umesitishwa. Pesa zako zimerudishwa kwenye akaunti yako ya Mixx by Yas Muamala umesitishwa. Tafadhali wasiliana na huduma kwa wateja kwa maelezo zaidi
Jana wamefanya nishindwa kuwapa watu zawadi za miamala kwa huu ujinga wao. App yao sio reliable kbs. Huu mtandao tunautumia kwa mazoea tu. Binafsi nimeshaanza kuwa na mbadala. Soon nitaacha 5% kwao
 
Habari

Nimetumia mtandao huu takribani miaka 15 na hata baada ya kubadilishwa jina na umiliki kutoka tiGO kuwa YAS bado nilibaki kuwa mteja wao.

Kwa muda mchache niliotumia mtandao huu nimetokea kuchukia sana huduma zao hasa huduma yao ya Mix by YAS, hii imetokea baada ya uvumilivu wa muda mrefu mpaka leo hii nimeamua kuja hapa jukwaani.

Nimenunua umeme leo hii ni takribani siku ya tano sijapata token ya umeme huo na kila nikiwapigia simu wananiambia nisubiri. Kusubiri nitasubiri mpaka lini? Siku ya tano nikae na kiza na wasubiri nyinyi? Who is accountable?

Nawakumbusha tu FIRST IMPRESSION IS THE LAST IMPRESSION, msipokuwa makini mtapoteza wateja wengi sana kama mimi mlivyonipoteza.
Ww na Yass nani tajiri!???
 
Habari

Nimetumia mtandao huu takribani miaka 15 na hata baada ya kubadilishwa jina na umiliki kutoka tiGO kuwa YAS bado nilibaki kuwa mteja wao.

Kwa muda mchache niliotumia mtandao huu nimetokea kuchukia sana huduma zao hasa huduma yao ya Mix by YAS, hii imetokea baada ya uvumilivu wa muda mrefu mpaka leo hii nimeamua kuja hapa jukwaani.

Nimenunua umeme leo hii ni takribani siku ya tano sijapata token ya umeme huo na kila nikiwapigia simu wananiambia nisubiri. Kusubiri nitasubiri mpaka lini? Siku ya tano nikae na kiza na wasubiri nyinyi? Who is accountable?

Nawakumbusha tu FIRST IMPRESSION IS THE LAST IMPRESSION, msipokuwa makini mtapoteza wateja wengi sana kama mimi mlivyonipoteza.
mwanzo una changamoto zake gentleman,

ni muhimu kuwapa muda kidogo 🐒
 
Habari

Nimetumia mtandao huu takribani miaka 15 na hata baada ya kubadilishwa jina na umiliki kutoka tiGO kuwa YAS bado nilibaki kuwa mteja wao.

Kwa muda mchache niliotumia mtandao huu nimetokea kuchukia sana huduma zao hasa huduma yao ya Mix by YAS, hii imetokea baada ya uvumilivu wa muda mrefu mpaka leo hii nimeamua kuja hapa jukwaani.

Nimenunua umeme leo hii ni takribani siku ya tano sijapata token ya umeme huo na kila nikiwapigia simu wananiambia nisubiri. Kusubiri nitasubiri mpaka lini? Siku ya tano nikae na kiza na wasubiri nyinyi? Who is accountable?

Nawakumbusha tu FIRST IMPRESSION IS THE LAST IMPRESSION, msipokuwa makini mtapoteza wateja wengi sana kama mimi mlivyonipoteza.
Nishauhama kitambo
 
Pia ukitumia tigopesa yao ambayo kwa sasa ndiyo inaitwa Miss Bayas sijui kutuma muamala kwenye namba nyingine watakutumia ma Sms kibao ya kukera kama sita hivi kwa muamala mmoja. Utapokea sms tofauti kutoka Miss Bayas, Yas packs, Yas Magifts na nyinginezo. Ni kero kwa kweli. Ni bora wangetulia na kuandaa sms moja kwa muamala mmoja ambayo itakuwa imebeba ujumbe unaowasilisha hizo sms zote sita tofauti zinazotumwa kwa mteja.
 
Back
Top Bottom