Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
Katika uzi huu nitataja kampuni mbalimbali zilizokimbia soko la tanzania huku sababu kuu zikiwa, soko kutokuwa na faida , kufeli kwenye operation (wafanyakazi wasio na weledi) kujikita kwenye masoko yenye faida zaidi.
1. Mkeka bet
2. Winprinces (online operation)
3. Princes bet
4. Michezobet
5. Wakabet
6. Tbet
7. Gobet (hawa waliingia vibaya) 🤣
8. Mojabet
9. 22bet
10. 10bet
Wawekezaji wanapaswa kufanya utafiti wa maana kabla ya kuwekeza kwenye hii tasnia pamoja na kutafuta wafanyakazi bora
1. Mkeka bet
2. Winprinces (online operation)
3. Princes bet
4. Michezobet
5. Wakabet
6. Tbet
7. Gobet (hawa waliingia vibaya) 🤣
8. Mojabet
9. 22bet
10. 10bet
Wawekezaji wanapaswa kufanya utafiti wa maana kabla ya kuwekeza kwenye hii tasnia pamoja na kutafuta wafanyakazi bora