Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sportybet na betway.Kampuni nzuri na rahisi kutumia ya nje kwenye betting ni ipi
Wasafi bet na Parimatch bado wapo!?Katika uzi huu nitataja kampuni mbalimbali zilizokimbia soko la tanzania huku sababu kuu zikiwa, soko kutokuwa na faida , kufeli kwenye operation (wafanyakazi wasio na weledi) kujikita kwenye masoko yenye faida zaidi.
1. Mkeka bet
2. Winprinces (online operation)
3. Princes bet
4. Michezobet
5. Wakabet
6. Tbet
7. Gobet (hawa waliingia vibaya) 🤣
8. Mojabet
9. 22bet
10. 10bet
Wawekezaji wanapaswa kufanya utafiti wa maana kabla ya kuwekeza kwenye hii tasnia pamoja na kutafuta wafanyakazi bora
NdioWasafi bet na Parimatch bado wapo!?
888betSportybet na betway.
Zingine wana mtihani kwenye kuweka na kutoa.
Uwekaji na utoaji pesa ukoje? Sio complicated?888bet
Upumbavu bet... MkuuNimesahau ipi wadau
Helabet niliwapiga 1.3m nikatoa 1.2m nikaacha 130k kama mtaji. Kuja kuingia jamaa wameniblock siwezi kufanya chochote kwenye account na salio linasoma.Katika uzi huu nitataja kampuni mbalimbali zilizokimbia soko la tanzania huku sababu kuu zikiwa, soko kutokuwa na faida , kufeli kwenye operation (wafanyakazi wasio na weledi) kujikita kwenye masoko yenye faida zaidi.
1. Mkeka bet
2. Winprinces (online operation)
3. Princes bet
4. Michezobet
5. Wakabet
6. Tbet
7. Gobet (hawa waliingia vibaya) 🤣
8. Mojabet
9. 22bet
10. 10bet
Wawekezaji wanapaswa kufanya utafiti wa maana kabla ya kuwekeza kwenye hii tasnia pamoja na kutafuta wafanyakazi bora
Nilazima ufuate vigezo na masharti ya kampuni husika. Huenda system zao zilidetect fraudent activities kwenye account yako , hivyo nimuhimu kufanya kile unachoelekezwa hapo watu wamewekeza matrililion nilazima security iwe juuHelabet niliwapiga 1.3m nikatoa 1.2m nikaacha 130k kama mtaji. Kuja kuingia jamaa wameniblock siwezi kufanya chochote kwenye account na salio linasoma.
Kufuatilia wanataka documents (ID) mara NIDA nikawapa, haitoshi mara nitume passport mara nijirecord kwenye screen nikiwa nime log in nikaona huu ufala nikawatema mpaka leo ile account ipo hewani tu ila siwezi kufanya kitu na hela ipo.View attachment 3246518
Kwenye kuweka mkeka hizo habari za id hazipo ila ukiwala ndio wananzisha usenge wao..Helabet niliwapiga 1.3m nikatoa 1.2m nikaacha 130k kama mtaji. Kuja kuingia jamaa wameniblock siwezi kufanya chochote kwenye account na salio linasoma.
Kufuatilia wanataka documents (ID) mara NIDA nikawapa, haitoshi mara nitume passport mara nijirecord kwenye screen nikiwa nime log in nikaona huu ufala nikawatema mpaka leo ile account ipo hewani tu ila siwezi kufanya kitu na hela ipo.View attachment 3246518
Sio kweli mkuu , kampuni ikiondoka haiondoki ghafla na hela ya mtu nilazima watoe muda sio chini ya mwaka mmoja watu kutoa hela zao zote wewe ulisubiri miaka mingapi?ao 22bet washawahi nizingua sana 2021 nliwapiga kiasi ivi wakazuia withdraw na kwa TZ walikua hawana ofisi ofisi zipo kenya tu wakanikaziaga vijisent vyangu n nkaja kuona hawa fanyi tena kazi 255 sad story
Soma vigezo na masharti mkuu kabla ya kujiunga na kampuni yoyote ili baadaye usianze kulalalmikaKwenye kuweka mkeka hizo habari za id hazipo ila ukiwala ndio wananzisha usenge wao..
Ungefanya tu wanavyotaka wao. Kwenye T&Cs wamelieza hilo kwamba kuna wakati wanaweza kuhitaji hizo document kwa ajili ya uhakiki wa mchezaji. Na wana wajibu wa kushikilia hela endapo mteja hatatekeleza.Helabet niliwapiga 1.3m nikatoa 1.2m nikaacha 130k kama mtaji. Kuja kuingia jamaa wameniblock siwezi kufanya chochote kwenye account na salio linasoma.
Kufuatilia wanataka documents (ID) mara NIDA nikawapa, haitoshi mara nitume passport mara nijirecord kwenye screen nikiwa nime log in nikaona huu ufala nikawatema mpaka leo ile account ipo hewani tu ila siwezi kufanya kitu na hela ipo.View attachment 3246518
We jamaa una akiliUngefanya tu wanavyotaka wao. Kwenye T&Cs wamelieza hilo kwamba kuna wakati wanaweza kuhitaji hizo document kwa ajili ya uhakiki wa mchezaji. Na wana wajibu wa kushikilia hela endapo mteja hatatekeleza.
Hawajakimbia wamepiga pesa wamepata nauli za kuanzia maisha huko dunianiKatika uzi huu nitataja kampuni mbalimbali zilizokimbia soko la tanzania huku sababu kuu zikiwa, soko kutokuwa na faida , kufeli kwenye operation (wafanyakazi wasio na weledi) kujikita kwenye masoko yenye faida zaidi.
1. Mkeka bet
2. Winprinces (online operation)
3. Princes bet
4. Michezobet
5. Wakabet
6. Tbet
7. Gobet (hawa waliingia vibaya) 🤣
8. Mojabet
9. 22bet
10. 10bet
Wawekezaji wanapaswa kufanya utafiti wa maana kabla ya kuwekeza kwenye hii tasnia pamoja na kutafuta wafanyakazi bora
Jana haikua siku nzuri kubet. Nimepa Arsenal nikamnyima Man U. Kilichotokea.Jana nimewachangia laki 4 na elfu 15