Kampuni za betting zilizokimbia soko la tanzania

Kampuni za betting zilizokimbia soko la tanzania

Hawajakimbia wamepiga pesa wamepata nauli za kuanzia maisha huko duniani
Hapana mkuu. Kwanza ili umiliki kampuni ya kubeti nilazima uwe na mpunga wa maana sio wakitoto. Kwasababu kodi yake tu na uendeshaji sio mchezo ndio mana sio biashara rahisi hata kwa wabongo kuanzisha. Wengi wamehamia masoko yenye faida kama, south africa, kenya, zambia, nigeria
 
We jamaa una akili
Wachezaji wengi tunapojiunga na kampuni ya kubeti huwa hatusomi vigezo na masharti.
Wanachoangalia ni mechi zipo kweli? Ndio ile unakuta mtu kakosa mechi 2 kwenye jackpot halafu anapata buku 3 anashangaa.

Au mtu ameshinda jackpot halafu anatakiwa akapigwe picha anashangaa kunani tena.
Kumbe jamaa wameshaweka kwenye masharti yao kwamba ukishinda jackpot unatakiwa upigwe picha na hiyo picha watakuwa na haki ya kuitumia kwenye matangazo kwa mwaka mzima.

Sasa sisi tunaobeti kwa siri kama madawa ya kulevya unabaki njia panda, je watu wajue kama nilikuwa mbetiji au wasijue na nikose hela.
 
Back
Top Bottom