Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

Bazuu washawasha.. Nairobi/Dar-es-salaam...
Zainabu Mbeya. Iringa. Songea.. Hizi gari Mungu ndio anajua maana baadhi zilikuwa zinaungua..
 
born cost ( dar -mtwara)
tawakali ( dar - lindi )
 
Wewe kama si wa Lizaboni, au Mateka basi wa Matalawe wewe...!!! ahahaha huwezi kutaja hivyo banaa...!!! Kwacha stendi ilikuwa kwa mama Sabena au sisi kwa sisi pale... Siku hizi soko la manzese
aaaaa acha bwana nilisoma songea enzi hizo tokea primary hadi a level kwa babu na bibi likizo narudi dar.
 
Musoma express (musoma) tunasubir tusubir uwamuz ea mahakama tujue hatima ya iveco zake
 
Sio wote wana ndagu ila 99.9999% ni washrikina kupita maelezo
Yup wanapenda sana ulozi,halafu wengi walikuwa ni waarabu sijui kwa sasa.Ila kwa wale wamiliki waliokuwa wanatoka Iringa wengi ni wakinga.
Abood mwarabu
Sumry mwarabu
Hood mwarabu
Aly said mwarabu
Tawaqal mwarabu
Shabiby mwarabu
Scandinavia alikuwa mwarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…