bwege nazi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2018
- 700
- 904
Akida bus mtwara
Chiku bus Songea
Kwacha transport
Bwana bwana bwana! Swahili niliipenda sana climber yao badae walienda kujaribu mtwara sijui kama bado wapo.
Zuberi pale Mwanza anatoa malazi bure kwa abiriaZuberi na Najimunisa wana mabasi ya Scania- ANDARE marcopolo za mitumba wanachechemea ila bado wapo
Zipo ila zinakodishwa! Hazipigi ruti.Super Sami bado zipo?
Iveco amenunua sabuni inatembea now.Musoma express (musoma) tunasubir tusubir uwamuz ea mahakama tujue hatima ya iveco zake
Scandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Sabco (Moro)
Islam (Moro)
Sadick Bus (Moro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Super Star (Dodoma)
Matema Beach (Mbeya)
Kiswele (Songea)
Zafanana (Korogwe)
Air Msae
Blue Ship
Amiti
Wifi Nae
Central Line
Hawa wawekezaji walikwama wapi, mbona kama walikuwa na Mitaji mikubwa, saivi kuna kampuni mpya tena ndogo na zinapambana hatari.
Ongeza unazozijua
Njuwen huyu boss wa Kibaha maili moja?Ndege mnana
Siri yako
Mkwema
Njuweni
Zakaria hadi akina George town wanamvimbia, kule baba Lao ni batcozakaria yupo ndo anakimbiza barabara ya mza-sirari, ndugu unaandika ukiwa wapi
Mkuu naizungumzia dar express hii,au kuna nyingine huko nachingwea?View attachment 1481350View attachment 1481351View attachment 1481352View attachment 1481353
ZainabsFazili Mawese
Zainabus
Kiswele
Yapo haya magari mzeeKuna route moja hamjaitaja ya Mwanza -Kigoma, nilipita miaka ya nyuma kidogo kuna machata kama:
SARATOGA
ADVENTURE
sijajua kama yako road bado ama la.
They ll always brings u homeNgorika yupo kwa jina la Capricorn,tena karudi kwa Moto mkali
Tena tulikuwa tunasafiri usikuBasi jamaa ni wabishi! Kwa mara ya kwanza nilipanda basi lao mwaka 1989 pale Segera. Enzi hizo ni zile basi za Leyland! Hatari sana.
Siri Yako ilikuwa Small [emoji536] ya mheshimiwa Lion of Jude (r.i.p) awamu ya Kwanza ilipopota nae akapita.Siri yako, comfort coach
muraa, uku kwetu taarabu za pwani hatuna. Ni lala niku lengekama zakaria atakuwa bado ni mshindani na mbabe kama ilivyokuwa miaka ninayoijua mimi,basi ntakuwa naandikia kwenye tundu la nyuma yako.
OTC niliwahi kulipa nauli ya Pesanane (Senti kumi na tano) enzi zileeOTC, Roadways Nyanza!
muraa, uku kwetu taarabu za pwani hatuna. Ni lala niku lenge