Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

Kuti kavu, shandallah, salmin,namgana magobore haya(dcm toyota)... dar... kongowe,mlandizi,ruvu,vigwaza,mbala,pingo,chalinze lugoba, msata, mbwewe, manga, mkata!😀 wapi kalia kitu na potenza hivi vipanya navyo vilikimbiza sana njia hiyo
 
Makete (Njombe)
 
Siri yako, comfort coach
Siri Yako ilikuwa Small [emoji536] ya mheshimiwa Lion of Jude (r.i.p) awamu ya Kwanza ilipopota nae akapita.
Scandinavia ilikuwa ya aliyekuwa mgombea uenyekiti kwenye saccos ya kaskazini, alikuwa halipi ushuru Wala Kodi ndo maana gari lilikuwa na uwezo wa kuondoka na abiria hata wawili dar Dom! Awamu yao ilipoisha na kampuni ikaisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…