Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

Tash
Scandinavia zilikuwaga basi aisee.
Tashriff za Tanga nazo sizioni road.

Hivi Zuberi na Najmunisa bado zipo?
Tashreef yupo ameongeza ruti za kusini, Tanga, Dar.Ana basi za Scania Gemilong, Zhongtong na Yutong.

Najmunisa yupo anapiga ruti za Bunda- Dar (kupitia Bariadi) mabasi yake mengi ni Scania bodi za Dar coach na Marcopolo.

Zuberi yupo ndio mbabe wa njia ya Mwanza-Dar. Gari zake nyingine anaziita Kisesa.Pia anapiga ruti za Mwanza-Musoma. Ana Zhongtong, Higher-Tanzanite na Scania Andare ( Huwa anabadilisha badilisha)
 
kwa tanga
bembea
sadis
zafanana

morogoro
makundi
sharuksi

kusini
born cost
amwenye
akida
Umenikumbusha bembea ya dar-tanga, inaondoka saa 10 jioni ubungo ndani kuna vigoda vya kutosha muda wa kufika haufahamiki ni saa ngapi
 


Sumry aliuza Magari yote akahamia kwenye kilimo.
 
Kuna basi moja la mtumba lilikuwa linaitwa kikondo dar-mbeya lilivunja record ya kufika saa saba na nusu mbeya stend!
 
Kuna basi moja la mtumba lilikuwa linaitwa kikondo dar-mbeya lilivunja record ya kufika saa saba na nusu mbeya stend!
mwaka gani mkuu hebu nipe proximation ya speed maada Dar-Mbeya ni kama 830 km
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…