Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zafanana (Gonja -Kisiwani)Scandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Huyu scandinavia sijui alikumbwa na balaa ganiScandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Lupelo Inv. (Iringa)...
Sasa aliona ni ujinga kununua bas 300ml na ukalilipia kodi kubwa, bado barabaran mlogane akaamua aende kwenye kilimo kule unanunua mashine hailipiwi kodi na faida unapata kubwa.keshapotea karudi kwenye kilimo, kuna kipindi aliyojiwa na Ayo TV akasema kapumzika kwanza
Naski jamaa kahamia kwenye kusafilisha mizigo sahv ana miliki trucks tuHuyu scandinavia sijui alikumbwa na balaa gani
Hii ya wapi?Break nyau
Wapo hawaRATCO wameshasnza safari?
AlifilisikaHuyu scandinavia sijui alikumbwa na balaa gani
Kweli mku Zainab nae kafuliaZainab
Tanganyika bus
Kweli uliona ile clip ya mahojiano yakeSasa aliona ni ujinga kununja bas 300ml na ukalilipia kodi kubwa, bado barabaran mlogane akaamua aende kwenye kilimo kule unanunua mashine hailipiwi kodi na faida unapata kubwa.
Ndomana nikataka michango ya wahenga kama wewe 😎Mbona mmesahau hizi:-
- KAMATA miaka ya 1970s
- Ndomi ( musoma)
- J4 (mwanza)
- Bunda bus nae tunamzika taratibu
Zuberi na Najimunisa wana mabasi ya Scania- ANDARE marcopolo za mitumba wanachechemea ila bado wapoScandinavia zilikuwaga basi aisee.
Tashriff za Tanga nazo sizioni road.
Hivi Zuberi na Najmunisa bado zipo?
Hizo kampuni za zamani sana.Zuberi na Najimunisa wana mabasi ya Scania- ANDARE marcopolo za mitumba wanachechemea ila bado wapo