Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

Sasa aliona ni ujinga kununja bas 300ml na ukalilipia kodi kubwa, bado barabaran mlogane akaamua aende kwenye kilimo kule unanunua mashine hailipiwi kodi na faida unapata kubwa.
Kweli uliona ile clip ya mahojiano yake
 
Scandinavia zilikuwaga basi aisee.
Tashriff za Tanga nazo sizioni road.

Hivi Zuberi na Najmunisa bado zipo?
Zuberi na Najimunisa wana mabasi ya Scania- ANDARE marcopolo za mitumba wanachechemea ila bado wapo
 
Zuberi na Najimunisa wana mabasi ya Scania- ANDARE marcopolo za mitumba wanachechemea ila bado wapo
Hizo kampuni za zamani sana.
Wababe shabiby na ABC hawachuji hawa.

Siku hizi wachina ndio wanakimbiza Zhong Tong na Yutong.
 
Back
Top Bottom