amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
Mpaka wiki jana hawakuwepo.Mbona wapo sana, tufanye siku twen'zetu Tanga my mdogo!
Walisimama sababu ya corona.
Lakini makonda na wakata tikect wote wamehamia kampuni mpya inaitwa Nacharo.
Sasa was curious kama wameanza au bado au bado?