Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wababe na wakongwe bado wapo wengi wanapambana kinoma, pia vijana nao wameingia kwenye ssoko kwa fujoHizo kampuni za zamani sana.
Wababe shabiby na ABC hawachuji hawa.
Siku hizi wachina ndio wanakimbiza Zhong Tong na Yutong.
Kufufuliwa kwa reli ndio kumewayumbisha zaidi.Meridian
Buffalo
Ngorika
Znachechemea na mguu mmoja kwa sasa
Wakongwe wengi sijui wanakwama wapi. Kuna kampuni mpya zinakimbiza ukipanda kama uko kwenye ndege😀😀Wababe na wakongwe bado wapo wengi wanapambana kinoma, pia vijana nao wameingia kwenye ssoko kwa fujo
Kabsa yani bus za kaskazinKufufuliwa kwa reli ndio kumewayumbisha zaidi.
Sahib bus service, ilikua Arusha inaenda singidaScandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Lupelo Inv. (Iringa)..
KISWELE NI SONGEA SIYO MBEYA,... alikuwa songea ligi na special sleeping coach. kabla ya Ruvuma tours line, Likungu, Tawaqal na hood, then Zainab na scand Chiku ...kilimanjaro...shabiby .. kabla ya Ufalme uliotukuka wa Mkinga Superfeo na selousScandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Ongeza na DAR EXPRESS ndio inaishiaScandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Super Star (Dodoma)
Matema Beach (Mbeya)
Kiswele (Mbeya)
Zafanana (Korogwe)
Air Msae
Blue Ship
Hawa wawekezaji walikwama wapi, mbona kama walikuwa na Mitaji mikubwa, saivi kuna kampuni mpya tena ndogo na zinapambana hatari.
Ongeza unazozijua
Hizo bas uwa zinanifurahisha yan mbele na nyuma panafana.Ndomana nikataka michango ya wahenga kama wewe 😎
najmnisa wakongwe na njia dar-mwanza saiv wana pia bunda-darScandinavia zilikuwaga basi aisee.
Tashriff za Tanga nazo sizioni road.
Hivi Zuberi na Najmunisa bado zipo?
Mbona wapo sana, tufanye siku twen'zetu Tanga my mdogo!RATCO wameshasnza safari?
Kiswele sio Songea/Ruvuma mdauScandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Super Star (Dodoma)
Matema Beach (Mbeya)
Kiswele (Mbeya)
Zafanana (Korogwe)
Air Msae
Blue Ship
Hawa wawekezaji walikwama wapi, mbona kama walikuwa na Mitaji mikubwa, saivi kuna kampuni mpya tena ndogo na zinapambana hatari.
Ongeza unazozijua
Huoni kwamba hili ni Jambo jema kwakuwa fedha nyingi zitabaki kwa wananchi ambao ni abiria tufauti na awali ambapo walionufaika zaidi walikuwa wamiliki wa mabasi na vituo vya mafuta?Kabsa yani bus za kaskazin
Naona znashika Tama sana
Wakat huu
Tena Bomberdier ina siti kama za fiati?Wakongwe wengi sijui wanakwama wapi. Kuna kampuni mpya zinakimbiza ukipanda kama uko kwenye ndege😀😀
Mtwara Raha,Alhandulilahi,Ng'itu,Somea,Akida,Wahidas,Tandahimba express,Hamanju n.kComfort....
Embakassy...
Wifi...
Everyday is Saturday....................... 😎
Exactly but pia inategemea na hyo nauli yaHuoni kwamba hili ni Jambo jema kwakuwa fedha nyingi zitabaki kwa wananchi ambao ni abiria tufauti na awali ambapo walionufaika zaidi walikuwa wamiliki wa mabasi na vituo vya mafuta?
Hawa tunawapa mda mchache tuMeridian
Buffalo
Ngorika
Znachechemea na mguu mmoja kwa sasa