Mpaka wiki jana hawakuwepo.Mbona wapo sana, tufanye siku twen'zetu Tanga my mdogo!
Bunda ilikuwa inaenda pia Mwanza na kufika mpaka Mara.Bunda,hamanju,Amwenye hizi zote kusini
Poa mkuu ngoja ni-editKiswele sio Songea/Ruvuma mdau
Ooh sawa!Mpaka wiki jana hawakuwepo.
Walisimama sababu ya corona.
Lakini makonda na wakata tikect wote wamehamia kampuni mpya inaitwa Nacharo.
Sasa was curious kama wameanza au bado au bado?
Nauli za treni zipo chini ukilinganisha na za basi.Exactly but pia inategemea na hyo nauli ya
Tren ndo pesa ibak kwa mwananchi
Ally's yupo Tabora kaikamataMombasa raha,Ally's
SUBIRI KIDOGO
Bunda bus tunazeeka naeMbona mmesahau hizi:-
- KAMATA miaka ya 1970s
- Ndomi ( musoma)
- J4 (mwanza)
- Bunda bus nae tunamzika taratibu
BinCleb Bus Service almaarufu BBS Songea to Dar ikishindana na KisweleScandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Shabaha Moshi-Dar ilikuwa balaa... Yaani asubuhi ya saa 12 ikitoka Moshi, Saa 7 Tupo DarShabaha
Ngorika
Titkoo... Songea - Mbambabay...Mbona mmesahau hizi:-
- KAMATA miaka ya 1970s
- Ndomi ( musoma)
- J4 (mwanza)
- Bunda bus nae tunamzika taratibu
Tawaqal Songea DarTawaqal
Masiha
Air shengena