Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

Mbona wapo sana, tufanye siku twen'zetu Tanga my mdogo!
Mpaka wiki jana hawakuwepo.
Walisimama sababu ya corona.

Lakini makonda na wakata tikect wote wamehamia kampuni mpya inaitwa Nacharo.

Sasa was curious kama wameanza au bado au bado?
 
KABANDORE.
LUSHANGA.
ZACHARIA.
BUNDA BUS.
TAWFIQ.
Najiuliza financial intelligence ya wabongo ikoje,hata haya mashule ya binafsi bila raisi kufanya uamuzi wa kufungua shule yangepotea kabisa,yangefungwa hata mwaka wangeuza mpaka madawati.
 
Mpaka wiki jana hawakuwepo.
Walisimama sababu ya corona.

Lakini makonda na wakata tikect wote wamehamia kampuni mpya inaitwa Nacharo.

Sasa was curious kama wameanza au bado au bado?
Ooh sawa!
 
Mbona mmesahau hizi:-
  • KAMATA miaka ya 1970s
  • Ndomi ( musoma)
  • J4 (mwanza)
  • Bunda bus nae tunamzika taratibu
Titkoo... Songea - Mbambabay...
Matimbula Bus Service - SOngea Peramiho
Litunu - Songea Magagula
 
Ngorika Express
Buffalo Coach
Meridian Express
Shabaha Coach
 
Matema Beach
Kiswele
AirMsae.......hii nadhani mtaelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…