Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

Kampuni za mabasi zilizotamba na kupotea

Sijui ni Mimi tu? Mbona huwa nikifikiria au kukumbukia vitu vya Zamani naona kama Zamani nchi ilikua imeendelea sana kuliko sasa?
Imagine Zamani kulikua na viwanda vingi na mabasi ktk kila kampuni na viwanda hapa Dar..... Wafanyakazi walikuwa hawapandi dala dala
Urafiki textiles
Besco
Tipper
Bima
Uhamiaji
Wazo Hill
Bora shoes
General Tyre
Chuo kikuu
Nasaco
Tanzania Breweries
Tanzania Elimu supply
Akiba
Tafico
R. T. D
UFI
Police
Jwtz
Air Tanzania,
Sukita
Sungura textiles
Tanzania Railway
Tanganyika Packers
Muhimbili... Na wizara zote pamoja na taasisi
Ubinafsishaji umemaliza taasis zote mkuu
 
Sijui ni Mimi tu? Mbona huwa nikifikiria au kukumbukia vitu vya Zamani naona kama Zamani nchi ilikua imeendelea sana kuliko sasa?
Imagine Zamani kulikua na viwanda vingi na mabasi ktk kila kampuni na viwanda hapa Dar..... Wafanyakazi walikuwa hawapandi dala dala
Urafiki textiles
Besco
Tipper
Bima
Uhamiaji
Wazo Hill
Bora shoes
General Tyre
Chuo kikuu
Nasaco
Tanzania Breweries
Tanzania Elimu supply
Akiba
Tafico
R. T. D
UFI
Police
Jwtz
Air Tanzania,
Sukita
Sungura textiles
Tanzania Railway
Tanganyika Packers
Muhimbili... Na wizara zote pamoja na taasisi
Nakumbuka wakati ule kiwanda cha nguo cha MWATEX kipo vizuri, kwa haraka haraka, kulikuwa na mabasi si chini ya saba ambayo yalikuwa barabarani, kwa njia zifuatazo, ili kuwafuata/kuwarudisha wafanyakazi: -

1:KIRUMBA

2😛ASIANSI

3:BUGANDO

4:IGOGO

5:IGOMA mawili

6:KISESA
 
Unapinga nini wewe! Mwenye mamlaka ya kuteua ndio anamamlaka ya kukutengua,wewe unapinga nini au ulikua mnufaika wa ukuu wa Mkoa wake mrija umekatwa eeh. The president has just exercise his power legally. Any way pole
Punguza hasira mkuu! Hapa yanajadiliwa mabus.. itakuwa umechanganya nyuzi
 
Mbona shabiby yupo miaka nenda rudi kama ni biashara kichaa?
Kilimo kinalipa mzee Ila lazima uwe na misuli

Zana za kisasa kuanzia kulima hadi kuvuna na eneo kubwa sana

Sumry sijui Kama ana hamu na hio biashara ya usafirishaji Tena

Na Kama akirudi Basi for show off maana Ni biashara kichaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom