seyayi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 683
- 811
Marehemu na kaburi lilishapotea hahaaa yeye na Sinai busAhahahahaha... Hivi Tanganyika Bus bado yupo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marehemu na kaburi lilishapotea hahaaa yeye na Sinai busAhahahahaha... Hivi Tanganyika Bus bado yupo?
Hivi Hood imepotea siku hizi??Scandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Sabco (Moro)
Islam (Moro)
Sadick Bus (Moro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Super Star (Dodoma)
Matema Beach (Mbeya)
Kiswele (Songea)
No Challenge
Safina
Inter City
Zafanana (Korogwe)
Air Msae
Blue Ship
Amiti
Wifi Nae
Central Line
Hawa wawekezaji walikwama wapi, mbona kama walikuwa na Mitaji mikubwa, saivi kuna kampuni mpya tena ndogo na zinapambana hatari.
Ongeza unazozijua
Ally's iko vizuri sanaMombasa raha,Ally's
SUBIRI KIDOGO
Hapo sawaTawaqal
Masiha
Air shengena
Scandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Sabco (Moro)
Islam (Moro)
Sadick Bus (Moro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Super Star (Dodoma)
Matema Beach (Mbeya)
Kiswele (Songea)
No Challenge
Safina
Inter City
Zafanana (Korogwe)
Air Msae
Blue Ship
Amiti
Wifi Nae
Central Line
Hawa wawekezaji walikwama wapi, mbona kama walikuwa na Mitaji mikubwa, saivi kuna kampuni mpya tena ndogo na zinapambana hatari.
Ongeza unazozijua
Kapote mazimaHivi Hood imepotea siku hizi??
Ngoja nigugo 😎Ivi zuberi ni mali ya zitto ?
Ila ilikuwa ya bongo per se alipoingia Jiwe jamaa aka diversifyInterpetro ni Burundi na rwanda
Urafiki coach dar-dodoma via morogoroMbona shabiby yupo miaka nenda rudi kama ni biashara kichaa?
Duuu we jamaa umenikumbusha mbali sana!!!Njuweni bus (Fiat) Dar to Tanga...
Saiz yuko sumbawanga analima mahindiIla sumry sumry halipo kweli?
Fresh ya shamba.Scandinavia (Dar)
Metro (Dar)
Sumry (Sumbawanga)
Mohamed Trans (Shinyanga)
Hood (Morogoro)
Sabco (Moro)
Islam (Moro)
Sadick Bus (Moro)
Lupelo Inv. (Iringa)
Super Service (Singida)
Super Star (Dodoma)
Matema Beach (Mbeya)
Kiswele (Songea)
No Challenge
Safina
Inter City
Zafanana (Korogwe)
Air Msae
Blue Ship
Amiti
Wifi Nae
Central Line
Hawa wawekezaji walikwama wapi, mbona kama walikuwa na Mitaji mikubwa, saivi kuna kampuni mpya tena ndogo na zinapambana hatari.
Ongeza unazozijua
Umenikumbusha mkuu,mwanahapa bus nilipata nayo ajari ,natokea mbeya mwaka 2003,saa nne usiku ,ile tumeimaliza mikumi tu,taili ya mbele ikapasuka,ajali ilikuwa mbaya sana,nashukuru nilichubuka kidogo tu mkononi,lakini walikufa watu na kukatika viungo,Cha kusikitisha zaidi mpaka ajari inatokea mzee nilikuwa namnawa manzi,nashtuka tupo porini gari miguu juu.namshukuru sana mungu na sitakagi Tena kukaa na demu safarini.Satelite, Zamoyoni, Simba Mtoto, Air Shengena, Mbaruku, (Tanga moja), Sharuks, Dar Oyee, Baraka Trans, AlJabry (Ifakara Dar), Moro Best, Islam, Sadiq line (Moro Dar), Akamba bus (Dar Arusha Nairobi)
Mwanahapa coach (Arusha Mbeya) miaka hiyo! Hakuna cha tochi wala trafiki barabarani. Jamaa walikuwa wanajiachia tu.