EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #501
Huyu kapoteaga kitambo saanaSiri yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu kapoteaga kitambo saanaSiri yako
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] tuacheni jamanibora pesa zibaki kwa wafanya biashara kuliko kwenye zikae tu kwenye taasisi za serikali zikawanufaisha viongozi wakubwa wa serikali
Yeah zimepotea ila wanajipangaga upya ipo.siku watakushangazauko njombe napo kulikuwaga na vyuma kama Grazia na Upendo
Sumry ni sahihi ila kwa Scandinavia siyo kweli mkuu, green star ilikuwa ni kampuni ya mdogowe, ila kaka mtu aliingia kwenye biashara ya kusafirisha mafuta kupeleka DRC na ndiye alikuwa agent mkuu wa mabasi ya Yutong Tanzania.Sumry kabadili biashara kajikita kwenye kilimo hule Katavi Scandnavia alibadili jina na kuwa Green star
Soma comments za juu kuna mdau kaeleza kama mimi.Sumry ni sahihi ila kwa Scandinavia siyo kweli mkuu, green star ilikuwa ni kampuni ya mgogowe, ila kaka mtu aliingia kwenye biashara ya kusafirisha mafuta kupeleka DRC na ndiye alikuwa agent mkuu wa mabasi ya Yutong Tanzania.
Hapo kabla ya watanzania kwenda direct kiwandani, Basi lolote lenye nembo kwa nyuma BENBROS hujue limepitia kwa huyo jamaa
[emoji1309][emoji1309][emoji1319][emoji1319]Tanganyika bus
Trans United
Bukwaya
Chacha manko
Shukrani best
Lake zone hizi hapa.
Mkongwe wa Kanda amebakia Zakaria nimemsikia nikiwa mdogo mpaka saivi nazeeka
[emoji1303][emoji1303][emoji1303]Mamba Safari-Musoma
Farai coach-Musoma
KimotcoWewe siyo wa siku nyingi...huijui super najimunisa?? Aisee
Hahahaaa Mpaka Takrim unaikumbuka we mhenga kweliTawfiq
Takrim
Ni black nyau enzi hizo Moshi to Mwanza 90sBreak nyau
Tashrif ana chuma za maana Dar TaScandinavia zilikuwaga basi aisee.
Tashriff za Tanga nazo sizioni road.
Hivi Zuberi na Najmunisa bado zipo?
Nacharo inamwaga Moto balaaaMpaka wiki jana hawakuwepo.
Walisimama sababu ya corona.
Lakini makonda na wakata tikect wote wamehamia kampuni mpya inaitwa Nacharo.
Sasa was curious kama wameanza au bado au bado?
Green Star haikudumu barabarani hata miaka mitatu na ilianza kabla ya Scandinavia kutoweka, green star haikuwa kampu.i ya MO aliyekuwa mmiliki wa scandi.Soma comments za juu kuna mdau kaeleza kama mimi.
NIMEKUJIBU ISSUE YA GREEN STAR MKUU
Ni kama vile HOME SHOPPING CENTER ilivyojifilisi na kuibuka kama GSM
WENYE AKILI TUNAJUA
Inasemekana Air Msae ndiyo ilikuja kuwa Metro Coach (baada ya ile ajali ya Chalinze). Na Shengena ikaja kuwa Tashirif (baada ya ajali ya Muheza).Mkuu AirMsae na Shengena zimeacha Historia ya majonzo balaa ,
Grazia injini nyumauko njombe napo kulikuwaga na vyuma kama Grazia na Upendo