Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni Moja ya Raia tahira anayeiishi bila kua na Purposes.Wenye sifa walipewa vibali hawakuleta hata kilo moja.. hao wasio na sifa walifanikiwa kuleta au hawakufanikiwa .. kama walifanikiwa sioni shida mwisho wa siku lengo ni kupunguza maumivu kwa mwananchi
Kuna Tycoon mpya anaitwa Abdul
Acha kutetea usichokijua.Wenye sifa walipewa vibali hawakuleta hata kilo moja.. hao wasio na sifa walifanikiwa kuleta au hawakufanikiwa .. kama walifanikiwa sioni shida mwisho wa siku lengo ni kupunguza maumivu kwa mwananchi
Wewe ndio umeleta maji taka. Maaana unajaribu kuzuia kashfa Kwa kutukana watu.Nchi ilikua na shida ya sukari, waliopewa vibali wameleta Sukari Bado inaonekana ni kashfa.
Msi ingize siasa zenu za majitaka kwenye maisha ya Watanzania.
Kamuulize basheJe hiyo/hizo kampuni zilifanikiw kuagiza Sukari?
Ona sasa hizi akili ndogo za maccmWenye sifa walipewa vibali hawakuleta hata kilo moja.. hao wasio na sifa walifanikiwa kuleta au hawakufanikiwa .. kama walifanikiwa sioni shida mwisho wa siku lengo ni kupunguza maumivu kwa mwananchi
Mtoto wa Rais Samiah, maana akili zenu zinawaza CCM na CHADEMA pekee, baadala ya maslahi ya nchi.Rafiki wa Tundu Lissu?
Mbona wanasiasa wenyewe wanafanya biashara? Au hairuhusiwi?Warudishe change ya sh 200 na 1000 waliyozidisha kwenye Bei ya sukari kuwahujumu Watanzania Ili wagawane Kwa RUSHWA. Imagine mwanasiasa tena kiongozi mkubwa anashiriki kuwahujumu anaowaongiza Ili apate faida binafsi.
Wanasiasa wafanye siasa, wasijiingize kwenye biashara.
Mwanasiasa akifanya biashara, atahujumu anaowaongoza Ili kupata faida ya kibiashara.
Hairuhusiwi kimaadili.Mbona wanasiasa wenyewe wanafanya biashara? Au hairuhusiwi?
Uongo na siyo KWELI hata kidogo.Hairuhusiwi kimaadili.
Kiongozi wa umma akiteuliwa, anatakiwa akabidhi biashara zake Kwa mtu mwingine na asijihusishe na biashara muda wote awapo kiongozi Ili kuepuka Conflict of interest.
Usiwe mbishi!!Uongo na siyo KWELI hata kidogo.
Inaruhusiwa, isipokuwa hairuhusiwi kufanya biashara na mwajiri wako katika Mazingira fulani fulani tu.
bosi wangu wa zamani mmoja kigogo alinidokeza Bashe alipewa maagizo kutoka juu na mtoto wa mama.Kamuulize bashe
Naendelea kukataa, siyo KWELI kuhusu hicho ulichoeleza. Hiyo ilikuwa ni Sera ya Utawala ktk Awamu ya Kwanza ya Mwl Nyerere akiwa na Azimio lake la Arusha. Hii ilikuwa miongoni mwa sababu kubwa Sana zilifanya Utawala wake kuchukiwa na Watu wengi, kwani kupitia Sera hiyo aliweza kutaifisha biashara nyingi sana za Watu binafsi na kusababisha anguko Kuu la uchumi hapa Tanzania. Wahindi wengi sana waliporwa biashara zao pamoja na Nyumba zao ambazo nyingi siku hizi zinamilikwa na NHC.Usiwe mbishi!!
Maadili ya viongozi kutojihusisha na biashara, mfano waziri wa nishati kuuza majenereta hiyo hairuhusiwi.Naendelea kukataa, siyo KWELI kuhusu hicho ulichoeleza. Hiyo ilikuwa ni Sera ya Utawala ktk Awamu ya Kwanza ya Mwl Nyerere akiwa na Azimio lake la Arusha. Hii ilikuwa miongoni mwa sababu kubwa Sana zilifanya Utawala wake kuchukiwa na Watu wengi, kwani kupitia Sera hiyo aliweza kutaifisha biashara nyingi sana za Watu binafsi na kusababisha anguko Kuu la uchumi hapa Tanzania. Wahindi wengi sana waliporwa biashara zao pamoja na Nyumba zao ambazo nyingi siku hizi zinamilikwa na NHC.