Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,302
- 4,603
Wanaoimaliza ni viongozi wetu wenyewe wenye tamaa za mali, wasiojali kuhusu tanzania, wasikuwa na uzalendo. Hao wa asia tutawaonea bure, kwani mtu akikuletea jambo la hovyo ambalo litaumiza wananchi kuna ulazima ukubali, kwani waziri alishikiwa bunduki.Wa-Asia wataimaliza hii nchi
Emergency ina procedure zake,hivi umesoma Ushahidi uliotolewa mwanzo mwisho,si upo hapa jukwaani?,Issue imetokea ni dharura tusubiri mpaka bunge likae ni lini meanwhile kuna bodi ya sukari na vyombo husika .. Luhanga mpina anatumiwa na wale watu saba ambao wanataka ku control soko la sukari na kuumiza watanzania.. kwa ufupi mnaopinga bashe mna maslahi yenu binafsi na mlitaka sukari ifike hadi elfu 20 kwa kilo. FICHA UJINGA WAKO
Achana na Ile rubbish .. ipo kwa maslahi ya watu Saba tu , nimeuliza swali simple sukari walileta au hawakuleta.. na kama walileta bei ilishuka au haikushukaEmergency ina procedure zake,hivi umesoma Ushahidi uliotolewa mwanzo mwisho,si upo hapa jukwaani?,
Au unajizimia data?
Tena Zombie; anayewaza through assholeWe ni Moja ya Raia tahira anayeiishi bila kua na Purposes.
Ongea taratibu mkuu mahali hapa ni "panene" sana!Kampuni ya Yasser Provision Store (ZANZIBAR)
4 Kampuni ya ZENJ GENERAL MERCHANDISE COMPANY LIMITED(ZANZIBAR)
MmilikiKuna Kashfa kubwa ya Kampuni 4 ambazo zimepewa vibali vya kuagiza sukari huku zikiwa hazina sifa wala uzoefu wa biashara ya Sukari Je ni nani wamiliki wa makampuni haya yenye nguvu kubwa hadi Waziri Bashe akaruhusu wapewe vibali vya kuagiza Tani 410,000 za sukari nje ya nchi?
Kampuni hizo zinazotajwa ni
1. ITEL EAST AFRICA LIMITED ambayo 49% ya hisa zake zinamilikiwa na raia wa India (DAR ES SALAAM)
2. Kampuni ya J SQUARE INVESTMENT GROUP COMPANY LIMITED (DAR ES SALAAM)
3 Kampuni ya Yasser Provision Store (ZANZIBAR)
4 Kampuni ya ZENJ GENERAL MERCHANDISE COMPANY LIMITED(ZANZIBAR)
Mkuu kuna mambo hapa Bongo mpaka unajiuliza hivi hawa watu hawana hata uchungu na huu umasikini uliokithiri mitaani? Inasikitisha sanaMimi bado namshangaa mteule wa Bashe kwa nini bado Bashe anaendelea kuwa Waziri wa Kilimo. Ripoti hii inatisha sana. Kampuni ya stationery, Kampuni ambayo kisheria ya Brela hairuhusiwi kufanya biashara na Serikali, Kampuni toka Zanzibar kuruka kuja Tanzania Bara kupewa vibali. Hii inatisha sana.
Aisee!!! Abudul? Ni hatari sana!Mtoto wa Rais
Wewe ndio unajielewa!!! Majitu mengi ni machawa mapuuzi sana!!!Mkuu kuna mambo hapa Bongo mpaka unajiuliza hivi hawa watu hawana hata uchungu na huu umasikini uliokithiri mitaani? Inasikitisha sana
3.3.4 Kampuni ya ZENJ GENERAL MERCHANDISE COMPANY LIMITED
Kampuni hii ilipewa kibali No. SR No. 3925349484 cha kuingiza sukari nchini tani 60,000 tarehe 30 Aprili 2024 (Kiambatisho 24)
Baada ya kufanya upekuzi wa BRELA (Kiambatisho Na. 25) tarehe 10 Juni 2024 ilibainika yafuatayo:-
Kampuni hii haijawasilisha BRELA Financial Statements tangu mwaka 2016 hadi 2023 miaka 8 sasa. Kiufupi kampuni hili haliko hai na haliwezi kufanya biashara na Serikali.
Kampuni hii imesajiliwa Zanzibar lakini haijahuisha taarifa zake katika Mfumo wa Online Registration System (ORS) wa BRELA.
Kampuni hii imepewa vibali zaidi ya viwanda vyote 5 vinavyozalisha sukari nchini ambavyo vilipewa tani 10,000 kila kiwanda. Lakini pia uwezo wa kifedha wa kampuni hii ni wa kutilia mashaka kupewa kazi ya zaidi ya Bilioni 160.
nasikia wamo wabunge na vigogo wengine wakubwa ndani ya chamaKuna Kashfa kubwa ya Kampuni 4 ambazo zimepewa vibali vya kuagiza sukari huku zikiwa hazina sifa wala uzoefu wa biashara ya Sukari Je ni nani wamiliki wa makampuni haya yenye nguvu kubwa hadi Waziri Bashe akaruhusu wapewe vibali vya kuagiza Tani 410,000 za sukari nje ya nchi?
Kampuni hizo zinazotajwa ni
1. ITEL EAST AFRICA LIMITED ambayo 49% ya hisa zake zinamilikiwa na raia wa India (DAR ES SALAAM)
2. Kampuni ya J SQUARE INVESTMENT GROUP COMPANY LIMITED (DAR ES SALAAM)
3 Kampuni ya Yasser Provision Store (ZANZIBAR)
4 Kampuni ya ZENJ GENERAL MERCHANDISE COMPANY LIMITED(ZANZIBAR)