Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
huyu ambaye anajua haya ni sehenu yake ya ugaliVijana wa Kenya na Uganda wanaweza kujadili ishu kama hizi?
Umeongea kitu cha msingi sanahuyu ambaye anajua haya ni sehenu yake ya ugali
pengine ni agent au kondkta au drev ambapo mtu wa nje hawwezi jua haya
so heshimu tu
Hivi mnajuaje ? Inatusaidia nini ? Uchawa au ?Wakurugenzi walioleta mabasi mengi zaidi mpaka sasa kwa mwaka 2023
1. Abood kaleta basi 36
2. Shabiby 30
3. BM 22
4. Kimbinyiko 10
5. Kisire Luxury 6
6. ?
Mmiliki wake hadi aibe hela huko Serikalini leo,sijaona namba E ya gari hz kwa kweliKwa hiyo Ester hajaleta hata 7?
Great Thinkers tujadili Kampuni iliyoleta mabasi mengi kweli??inamsaidia nini Bibi yangu kule KIJIJINI??Wakurugenzi walioleta mabasi mengi zaidi mpaka sasa kwa mwaka 2023
1. Abood kaleta basi 36
2. Shabiby 30
3. BM 22
4. Kimbinyiko 10
5. Kisire Luxury 6
6. ?
Vijana wa Kenya na Uganda wanaweza kujadili ishu kama hizi?
Kabisa . Watu wanaongea bila kujuahuyu ambaye anajua haya ni sehenu yake ya ugali
pengine ni agent au kondkta au drev ambapo mtu wa nje hawwezi jua haya
so heshimu tu
Umewahi ishi Kenya?Vijana wa Kenya na Uganda wanaweza kujadili ishu kama hizi?
410ml kuendelea. Bei inaongezeka kutokana na vitu unavyotaka viwepo. Kwa gari za kichina haswa yutongMkuu basimoja linauzwa beigani
hata hizi yutong zinafika mil 400 nilikuwa najua mil 250.410ml kuendelea. Bei inaongezeka kutokana na vitu unavyotaka viwepo. Kwa gari za kichina haswa yutong
Sent using Jamii Forums mobile app
Angesema ni supplier wa matairi kwenye kampuni hizo eti 😄 🤣Vijana wa Kenya na Uganda wanaweza kujadili ishu kama hizi?
Vijana kama ninyi ni aibu kwa Taifa na Hasara kubwa sana.Wakurugenzi walioleta mabasi mengi zaidi mpaka sasa kwa mwaka 2023
1. Abood kaleta basi 36
2. Shabiby 30
3. BM 22
4. Kimbinyiko 10
5. Kisire Luxury 6
6. ?
Huyo Tilisho na Warembo kavunja rekodi.Mitano Tena Kwa Tilisho.Basi chache warembo wengii TILISHO apewe mitano tena.
Warembo Tik tokers na kujisnap snap safari nzima wakware ndio tunapenda
Yeye mwenyewe hayupo nyuma kwa kujiphotoa. Wamiliki wengine wa mabasi hata sura zao hatuzijui mfano akina superfeo.Huyo Tilisho na Warembo kavunja rekodi.Mitano Tena Kwa Tilisho.