Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Kwenye alieleta basi 10 4 ni za Estherš¤£Kwa hiyo Ester hajaleta hata 7?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye alieleta basi 10 4 ni za Estherš¤£Kwa hiyo Ester hajaleta hata 7?
Nahisi anafanya mwenyewe usaili ikiwemo practicals za ujuzi wao.Basi chache warembo wengii TILISHO apewe mitano tena.
Warembo Tik tokers na kujisnap snap safari nzima wakware ndio tunapenda
Inasaidia vijana wanaosaka fursa.Hivi mnajuaje ? Inatusaidia nini ? Uchawa au ?
4. Kimbinyiko 10Wakurugenzi walioleta mabasi mengi zaidi mpaka sasa kwa mwaka 2023
1. Abood kaleta basi 36
2. Shabiby 30
3. BM 22
4. Kimbinyiko 10
5. Kisire Luxury 6
6. ?
Zimepanda kutoka na kupanda kwa usd lkn zilikua hazifiki mil 400 hata hivyo hazifiki 400hata hizi yutong zinafika mil 400 nilikuwa najua mil 250.
Bei ya gari inategemea na specification sasa sjui unaulizia scania ipi au faw ipi ila kwa hiz faw za china inaenda kwenye mil 100 hapo bila trailer na zile faw za south africa ni mil 130roli nazo vipi zinaendaje?faw Scania nk
HakikaVijana kama ninyi ni aibu kwa Taifa na Hasara kubwa sana.
Tz hakuna gari ya bilioni moja gari za bei mbaya kwa hiz truck ni scania volvo benz iveco mani Daf na hiz ziwe mpya zero km mfano scania NTG G 460 ni inafika mil 300 hapo ni unit peke yake ukichukua na trailer km ni doll ni mil 70 kwa flat na mil 100 kwa tanker so scania NTG mpk ipo barabarani inafika mil 400 na km scania ni mtumba wa UK kwa hiz R 400 ni mil 120 kwa unit peke yake na ukipata trailer la mtumba la UK ni mil 35hizi hizi ulizo taja basi Mimi nilijuwa zinagonga bilioni kwamoja mkuu
Ukiona gari ya china lorry ipo barabarani pamoja na trailer lake tena vyote viwe zero km sio mtumba haizidi mil 200hizi hizi ulizo taja basi Mimi nilijuwa zinagonga bilioni kwamoja mkuu
Nani mwenye gari ndogo ya bilioni moja hiyo range na bmw?dah Mimi ninezoea magari haya madogo mfano range na bmw mana bongo magari hayo yapo bilioni +
kumbe ndionani Hawa wenye range na bmw wanavimba sana
Scania R 500 NTG ikiwa mpya ndio unafika mil 500 kwa unit peke yake ila hiz gari kwa tz haziuzwi znakuja zikiwa mtumba kusini mwa africa ndio wanazodah Mimi nimezoea magari haya madogo mfano range na bmw mana bongo magari hayo yapo bilioni +
kumbe ndionani Hawa wenye range na bmw wanavimba sana
Tz hakuna mwenye range wala bmw ya bilioni moja kwanza nyingi ni mitumba ambazo bei yake si zaidi ya mil 60dah Mimi nimezoea magari haya madogo mfano range na bmw mana bongo magari hayo yapo bilioni +
kumbe ndionani Hawa wenye range na bmw wanavimba sana
Sina uhakika sana na hilo siwez kubisha wala kukubali ila hizo gari km ni mtumba bei yake sio ya kutisha sanakuna bosi mmoja anayo mkuu.na kuna mwingine ana BM yabilioni naushee
Shida ya Watanzania wengi ni kuwa wanawaza sana kuziona faida za moja kwa moja, na hawajali kabisa faida za kupitia kwanza upande mwingine.Great Thinkers tujadili Kampuni iliyoleta mabasi mengi kweli??inamsaidia nini Bibi yangu kule KIJIJINI??
Great Thinkers tujadili Kampuni iliyoleta mabasi mengi kweli??inamsaidia nini Bibi yangu kule KIJIJINI??
Esther luxury ?Wakurugenzi walioleta mabasi mengi zaidi mpaka sasa kwa mwaka 2023
1. Abood kaleta basi 36
2. Shabiby 30
3. BM 22
4. Kimbinyiko 10
5. Kisire Luxury 6
6. ?
Zile Scania za asas shingapTz hakuna gari ya bilioni moja gari za bei mbaya kwa hiz truck ni scania volvo benz iveco mani Daf na hiz ziwe mpya zero km mfano scania NTG G 460 ni inafika mil 300 hapo ni unit peke yake ukichukua na trailer km ni doll ni mil 70 kwa flat na mil 100 kwa tanker so scania NTG mpk ipo barabarani inafika mil 400 na km scania ni mtumba wa UK kwa hiz R 400 ni mil 120 kwa unit peke yake na ukipata trailer la mtumba la UK ni mil 35