Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Kila jambo lina muda wake...Great Thinkers tujadili Kampuni iliyoleta mabasi mengi kweli??inamsaidia nini Bibi yangu kule KIJIJINI??
don't take it too serious.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila jambo lina muda wake...Great Thinkers tujadili Kampuni iliyoleta mabasi mengi kweli??inamsaidia nini Bibi yangu kule KIJIJINI??
Jamaa anafikiri haya yanajadiliwa na wakulimahuyu ambaye anajua haya ni sehenu yake ya ugali
pengine ni agent au kondkta au drev ambapo mtu wa nje hawwezi jua haya
so heshimu tu
Zile unit ni usd 125000 na trailer ni usd 45000Zile Scania za asas shingap
habari za tajiri muulize masikini, haya mambo yanakusaidia nini mtoto wangu junior?Wakurugenzi walioleta mabasi mengi zaidi mpaka sasa kwa mwaka 2023
1. Abood kaleta basi 36
2. Shabiby 30
3. BM 22
4. Kimbinyiko 10
5. Kisire Luxury 6
6. ?
Hapa hatupo kumsaidia bibi ako,Great Thinkers tujadili Kampuni iliyoleta mabasi mengi kweli??inamsaidia nini Bibi yangu kule KIJIJINI??
Kwani mtumba hauwezi kua namba E?siomtumba mkuu.kwamfano hio BM ninamba E
Kwa hiyo Ester hajaleta hata 7?
Milion mia Moja na arobaini hadi milioni mia Moja na sitini.Mwenye kujua zile cruiser za watalii moja mpya ni bei gani anijuze wazee nahitaji sana kujua naona kuna kitu kinanivuta huko kwenye utalii
Hiyo ni used....ukinunua zero km mpka ukate inafika 250mMilion mia Moja na arobaini hadi milioni mia Moja na sitini.
Umenena vyema sana.!huyu ambaye anajua haya ni sehenu yake ya ugali
pengine ni agent au kondkta au drev ambapo mtu wa nje hawwezi jua haya
so heshimu tu
Vijana wa Kenya na Uganda wanaweza kujadili ishu kama hizi?
Dar Express zimeingia ngapi?
1. Tozo Luxury 60!Wakurugenzi walioleta mabasi mengi zaidi mpaka sasa kwa mwaka 2023
1. Abood kaleta basi 36
2. Shabiby 30
3. BM 22
4. Kimbinyiko 10
5. Kisire Luxury 6
6. ?