Kamshina wa Uhamiaji Makakala, tafadhali kataza upesi mambo haya yanaofanyika Ofisi za Uhamiaji Kurasini

Kamshina wa Uhamiaji Makakala, tafadhali kataza upesi mambo haya yanaofanyika Ofisi za Uhamiaji Kurasini

Daaah yani nisawa uende hospital y mwimbili kisha ukalalamikie yale maduka y DAWA kule nje mbona dawa bei kubwa.ss hao muhimbili wafanyeje?.Pia kwani lazima utolee pale copy?
Kamishina fanya kazi zako kwa umakini nakukubali mnooo.
Sawa Tajiri Zuzu.
 
Mi walinambia tupe laki 3 tukupatie passport ndani ya siku 3 nikawaambia sina hela wacha nisubirie kawaida tu nikapata japo kwa kuchelewa just imagine sehemu nyeti kama uhamiaji kuna kuwa na mambo hayo sehemu nyingine sijui zipoje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi walinambia tupe laki 3 tukupatie passport ndani ya siku 3 nikawaambia sina hela wacha nisubirie kawaida tu nikapata japo kwa kuchelewa just imagine sehemu nyeti kama uhamiaji kuna kuwa na mambo hayo sehemu nyingine sijui zipoje.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kisheria ukimaliza taratibu zote Pasipoti yako unatakiwa uipate ndani ya Siku Kumi ( 10 ) za Kazi.
 
Wengine tuna Damu ya Kunguni mbele ya hao Uliowataja kiasi cha Uzi wangu uwe Dokezo kama utakavyo.
Aisee
Basi Mungu akubariki kwenye huu uzi umewazungumzia wanyonge wanaoumizwa na hao jamaa hapo Uhamiaji.

Active Wakubwa hamuuoni kama huu uzi una vigezo vya kuwa DOKEZO?
 
Sitamani kurudi uhamiaji pale. Walininyima passport bila sababu za msingi.

Waliniuliza sababu ya kuomba passport, nikawaambia nataka kutalii. Wakaniambia nilete barua ya mwaliko.

Sasa watalii wanaalikwa?
Wazungu wakiingia nchini wanakua na barua za mwaliko?

Shenzi sana!
Pascal Mayalla
Hii kitu hii inafifisha haki ya kila mtanzania kupata hati ya kusafiria....



Kisheria hili limekaaje
 
Aisee
Basi Mungu akubariki kwenye huu uzi umewazungumzia wanyonge wanaoumizwa na hao jamaa hapo Uhamiaji.

Active Wakubwa hamuuoni kama huu uzi una vigezo vya kuwa DOKEZO?
Acha kulazimisha Damu ya Kunguni GENTAMYCINE nikubalike na uliyemtaja mwanzo na huyu wa sasa. Threads zangu hazina Hadhi hiyo ya kuwa Dokezo kama Unavyowalazimisha.
 
Kisheria ukimaliza taratibu zote Pasipoti yako unatakiwa uipate ndani ya Siku Kumi ( 10 ) za Kazi.
Almost one month na tulikuwa na safari ya haraka kazini nadhani waliliona hilo ndio maana ilikuwa wanachelewesha maksudi ili tuwape chochote hii nchi watu wanakula kwa urefu wa kamba zao.
 
Kama Wewe ni Mmoja wa UHAMIAJI Staff hapo Kurasini au pale Wizara ya Mambo ya Ndani Posta basi si tu ni Hasara Kubwa Kiutendaji hapo UHAMIAJI na kwa Taifa, bali pia utakuwa ni Juha ( Imbecile ) tukuka kabisa.
Sasa wewe lawama zako zielekeze sehemu husika kama ni biashara elekeza kwa walengwa wa biashara unadhan kamishna wa uhamiaji atafanya nn wafanyabiasharaaa.
Anyway ukweli unaweza usikufurahishe ila yale ya uhamiaji moja kwa moja nadhan ni wajbu wake kuyafanyia kazi
 
1. Mheshimiwa Kamishina kama kuna Askari pale getini tena wenye vifaa vya kukagua ili wajiridhishe nasi kwanini wakimaliza tukiingia ndani na mabegi yetu wanafulazimisha tuyabebe tu mkononi kwa kuyashika na kamwe tusiyaweke begani? Kamishina wa Uhamiaji nitaomba kujua logic behind hili tafadhali.

2. Mheshimiwa Kamishina, gharama ya kutoa copy katika Stationeries zinazoangaliana na Jengo la Uhamiaji Kurasini (ambazo nimeambiwa kuwa nyingi kama siyo zote) ni za Watendaji wa Uhamiaji si tu ni kubwa bali ni za ukatili na kukomoana.

Mheshimiwa Kamishina wa Uhamiaji, sehemu zote nchini Tanzania gharama ya kutoa copy ni Tsh 100/= kwa page na kuna sehemu zingine ni Tsh. 50/= ila katika Stationeries za hapo nje ya Ofisi za Uhamiaji Kurasini ni Tsh. 500/= kwa kurasa (page) moja, kwanini? Nani kawaambia wamiliki wa hizo stationeries kuwa kila anayekuja kupata huduma ya passport hapo ni tajiri?

Hivi wenye hizo stationeries wana hofu na Mwenyezi Mungu kweli? Tafadhali Mheshimiwa Kamishina wa Uhamiaji na wa pale Uhamiaji Kurasini hebu liangalie hili na ulizuie ili huduma ya kutoa copy iwe ni rafiki hata kwa sisi Masikini akina GENTAMYCINE.

3. Mheshimiwa Kamishina wa Uhamiaji na wa hapo Kurasini kuna huu uhuni na upuuzi unafanywa na hao Askari wa JKT na Polisi tena wakiwa wakavu kabisa.

Mheshimiwa Kamishina ukienda tu Ofisi za Uhamiaji Kurasini pale ukiwa na begi ambalo unalimudu kuingia nalo ndani (baada ya k`usachiwa) na kukaa nalo hao Askari wa hapo getini kwa makusudi wanakukataza usiingie nalo ndani bali ukaliweke nje katika maduka (stationeries) kadhaa wenye kujuana nao kisha ukihifadhi hapo unatozwa Tsh. 1,000/=. kisha Jioni ofisi zikifungwa wanakimbilia katika stationeries baadhi (walizokula nao dili) na kuchukua mgao wao wa pesa.

Niliyoyaandika yarekebishwe upesi.
Hapo namba 3, unamaanisha Jeshi la Uhamiaji linalindwa na SUMA JKT na polisi wa kawaida. Does it make sense?
 
Sitamani kurudi uhamiaji pale. Walininyima passport bila sababu za msingi.

Waliniuliza sababu ya kuomba passport, nikawaambia nataka kutalii. Wakaniambia nilete barua ya mwaliko.

Sasa watalii wanaalikwa?
Wazungu wakiingia nchini wanakua na barua za mwaliko?

Shenzi sana!
Aisee hapa Tz tunafanya passport bonge la deal. Barua ya wanaokualika ukatalii.....
 
Yaani nikienda Uhamiaji yeyote naona Watanzania wakihangaika kupata passport kama vile sio Raia na akiipata anashuru Mungu kweli kama kapata kitu cha maana kumbe ni vitu ambavyo anatakiwa awe navyo kama kijana wa Tanzania...vitu vyote anavyo ataulizwa maswali kama vile wanampa maisha...
 
Yaani nikienda Uhamiaji yeyote naona Watanzania wakihangaika kupata passport kama vile sio Raia na akiipata anashuru Mungu kweli kama kapata kitu cha maana kumbe ni vitu ambavyo anatakiwa awe navyo kama kijana wa Tanzania...vitu vyote anavyo ataulizwa maswali kama vile wanampa maisha...
Ujinga mwingi sana kwenye hizi idara.
 
Shilingi 500 unalalamika ndio utaweza kwenda nje kweli huko ughaibuni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au ukawe destute person uitie aibu nchi yetu.

Stationary ni biashara binafsi ambazo zinamilikiwa na wjasiriamali wa nchi hii ambao huruhusiwa kupanga bei kutokana na nguvu ya soko au uliona zinamilikiwa na serikari?

Mbona chakula kinachouzwa Mwananyamara hakina bei sawa na kempisk na haulalamiki?

Unaposema ni Stationary zinamilikiwa na maafisa, je una ushahidi na malalamiko yako?
Je? Sheria haiwaruhusu?
Au wamevunja sheria gani?

Wale unawaona getini sio JKT Wala polisi ni maafisa uhamiaji ila wapo na uniform tofauti.
Au hujui uniform za majeshi ya nchi hii achilia mbali za uhamiaji?

Unaingia na mizigo kwani umesikia ni stendi pale?
Kuwa smart na fata kilichokupeleka.

N.B Mtambulishe kwa cheo chake KAMISHNA JENERALI na sio Kamishna.
Au hujui tofauti ya hayo maneno mawili?
Unajiona umeandika point kweli??
 
mm ni miongoni mwa watu wanaokubali aina yako ya uandishi fikirishi GENTAMYCINE , kongole sana, ujumbe unafika na unawasemea wengi[emoji1666]

Msalimie sana Matiku
 
Back
Top Bottom