Kamshina wa Uhamiaji Makakala, tafadhali kataza upesi mambo haya yanaofanyika Ofisi za Uhamiaji Kurasini

Kamshina wa Uhamiaji Makakala, tafadhali kataza upesi mambo haya yanaofanyika Ofisi za Uhamiaji Kurasini

Sitamani kurudi uhamiaji pale. Walininyima passport bila sababu za msingi.

Waliniuliza sababu ya kuomba passport, nikawaambia nataka kutalii. Wakaniambia nilete barua ya mwaliko.

Sasa watalii wanaalikwa?
Wazungu wakiingia nchini wanakua na barua za mwaliko?

Shenzi sana!
Wanatengeneza ulaji,
 
Uyo Uchira 1 ni mmiliki wa stationary atakuwa kwahy anajidefence
Mkuu hilo eneo si mkazi wala sina biashara wala sina ndugu au rafiki anayeuza ama kutoa huduma yoyote.

Issue ya biashara apeleke kwa walengwa ya uhamiaji iende kwa uhamiaji. Hivyo itafanya kilio kionekane kinamashiko tofaut na alivyounganisha
 
DP World watuendeshee pia ikulu na bunge. Wale wanawake wawili waliowekwa na Magufuli ni hovyoo.
 
watanzania ni watu wa ajabu sana wanapenda sana kutumia shida za watu kujiingizia kipato kisicho halali

mfano hapo kwenye kopi ya tsh 100 wao wanafanya tsh 500 na wanajua watawapata wengi,ujinga huo huo ulikuwepo Police pale ukienda kutafuta loss report

nchi imejaa laana hii watu wanawanyonya watu pesa isiyo halali na ndio mana shida haziishi 😎
Hii ya ndugu zangu watanzania kupenda kujinufaisha na shida za dharura za wenzao ni tatizo kubwa, eti utakuta watu pembeni mwa barabara mbovu sehemu yenye maji au matope wanasubiri ukwame wakusukume uwalipe wakati huo wanajua unapopita utakwama ila kuna upande hapo hapo ambao ni salama hawakwambii hii ni laana kubwa kwa Mwenyezi Mungu.
 
Sasa wewe lawama zako zielekeze sehemu husika kama ni biashara elekeza kwa walengwa wa biashara unadhan kamishna wa uhamiaji atafanya nn wafanyabiasharaaa.
Anyway ukweli unaweza usikufurahishe ila yale ya uhamiaji moja kwa moja nadhan ni wajbu wake kuyafanyia kazi
Huna Akili bila ya uwepo wa Ofisi hiyo ya UHAMIAJI hapo Kurasini kungeibuka Stationeries nyingi hizo hapo Jirani kama Uyoga?
 
Ukweli ni kuwa tu watanzania hatupendani ndiyo mana unafk mwingi na hilo ndilo viongozi wengi wanalo litumia kutunyoosha hasa!
 
Kwani akiingia na mizigo amevunja sheria gani ya nchi? Hiyo mizigo akiibeba mgongoni kwake inaathiri vipi utoaji wa huduma? Bila shaka wewe ni miongoni mwa wanaotaka barua ya kualikwa kutoka nje ya nchi ili kumpatia passport. Hoja za mtoa mada ziko nyeupe kabisa, fanyieni kazi.
Hayo ni mambo ya usalama ambayo hata Mimi siyajui
 
Jamaa kaandika Ujinga tupu eti inabidi uite sijui kamisheni jenerali, siyo jenerali kwani akiita ivyo kuna nini? Toa hoja kenge maji wewe
Kwani unajua tofautiya Brigadier Jenerali na Brigadier ni Moja?

Unajua tofauti ya Inspector Jenerali na Inspector?

Unafahamu Kuna makashna wangapi hapo uhamiaji?

Kenge ni wewe usiyeona mantiki ya hizo maana mbili, umbwa kabisa
 
Acheni kunilazimisha Niwadharau na Niwaite Wapumbavu halafu mkasirike sawa?

Hiyo Bei ya Copy ya Kawaida ya Tsh 500/= kwa Kurasa Moja imeandikwa na ipo Ukutani.

Kama una muda nenda Ukajiridhishe na nikisemacho na huwa sitoi Taarifa ya Uwongo.
Kiongozi kabla hujawahukumu watoa copy, umeshafanya utafiti kujua frame yale maeneo ni bei gani? Mkuu ndo madhara ya biashara huria. Nyerere aliwaambia hamkuelewa. Nenda pale mjini kuomba visa ya kwenda Ulaya utaniambia copy umetoa kwa bei gani.
 
Mwenyewe huna akili kaz kulialia sehemu zisizo sahihi
Eti mkuu wa uhamiaji atoe tamko la kupunguza gharama ya kopi kwenye biashara binafsi za Watanzania[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Hii ndio product ya Vyuo vya hovyo kama SAUT
 
Sitamani kurudi uhamiaji pale. Walininyima passport bila sababu za msingi.

Waliniuliza sababu ya kuomba passport, nikawaambia nataka kutalii. Wakaniambia nilete barua ya mwaliko.

Sasa watalii wanaalikwa?
Wazungu wakiingia nchini wanakua na barua za mwaliko?

Shenzi sana!
Hahaaaa
 
Halafu wakuu wote wa Ulinzi na Usalama wameondoka (kustaafu/kutenguliwa) lakini huyu YUMO tu. Huenda kinachombeba ni kwasababu yeye ni.........

Anyway ngoja ninyamaze tu
Jinsia
 
Back
Top Bottom