Ndio maana nimesema Lugha ya" kimarangu" wametohoa kutoka maneno ya kimasai hao siii wachaggha. Wachaggha ni wa uru, wa machame na wakibosho ambao wote (1) maziwa = malela (2) maji = muda (3)pombe = wari
Sio manuaMaziwa unaweza ita malela au marua,maji = mringa, pombe =wari √
Makosa ni kusema wauru na kibosho ndio wachaga asili, ukweli wa chaga wamegawanyika katika sehemu nne kibosho, machame marangu na rombo, hao uru,oldmosh,mbokomu,kirua, sia, nk ni sehemu tu ya hao wanne. Kwa hio wauru sio wachaga asili bali wamegawnyika toka kibosho au marangu. Uchaga unaundwa na hao wanne.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kuna kundi (group) la wachaga naombeni tafadhalini mniunge nataka nijikumbushe kichaga mara kwa mara.Aichi—Anajua
iachikyia--Kujenga
Ichele—Kichaga
Ichondi- --- Kondoo
Iikyelyia—Kuogelea
Ikawilyia—Kupalilia
Ilyingoi---Jogoo
inyi—Mimi
Ipalipali- --Bahari
Ipore---Yai
Irikoso—Taji
Isewa—Kibuyu
Itukuo—Kushangaa
Iwuwu—Kuona makengeza
Iyesho---- Majaribu
Kiamba---Shamba
Kyasaka—Ugenini (Mswahili)
Kyiaatyi—nafasi
Kyo_kyimaryu—Ndiyo sababu
Kyuwere—Kumebakia nafasi ndugu
Lakucha—Usiku mwema
Linyala—Kuzarau
Maakulembecherye—Unafiki
Mapore—Makande
Mapuchi—Mawingu
Masaanga—Mataifa
Matu matu—Tafadhali
Mbuya---Rafiki
Mchola--Kichochoro
Mkuuchu—Kiburi
Mkuuma---Upepo
Mlenya—Mchanga
mmesa—Adui Mtiima—Giza nono
Mmmbaryi—Jua
Momrasa—Jirani
Momu- hori la ng’ombe
Msasariko—Masazo
Msotsa---Kushuka
Na-Ngoseraa—Na zaidi
Ndekye—Ndege
Nduwa-- Dimbwi
Ngambura--kipande cha nyama
Njoonyi—Ngozi
Nyi Kryirumi—Ni Utukufu
ote=hapana
Parapara—barabara
Pfinya—Nguvu
Rumbu—Mdomo
Sera’—Mgomba mchanga
Shira’—vita
Tao—Ng’ombe jike
Tikira- sogea
ukou=Jana
Ulakuso—Tafadhali
Ulowo—Habari
Unga—msoo
Unyamari’—Dhambi
Ushanguny—Usoni
Walutsa—Geuza
Wanda—chini
Siku ukipata hii meseji rekebisha..Aichi—Anajua
iachikyia--Kujenga
Ichele—Kichaga
Ichondi- --- Kondoo
Iikyelyia—Kuogelea
Ikawilyia—Kupalilia
Ilyingoi---Jogoo
inyi—Mimi
Ipalipali- --Bahari
Ipore---Yai
Irikoso—Taji
Isewa—Kibuyu
Itukuo—Kushangaa
Iwuwu—Kuona makengeza
Iyesho---- Majaribu
Kiamba---Shamba
Kyasaka—Ugenini (Mswahili)
Kyiaatyi—nafasi
Kyo_kyimaryu—Ndiyo sababu
Kyuwere—Kumebakia nafasi ndugu
Lakucha—Usiku mwema
Linyala—Kuzarau
Maakulembecherye—Unafiki
Mapore—Makande
Mapuchi—Mawingu
Masaanga—Mataifa
Matu matu—Tafadhali
Mbuya---Rafiki
Mchola--Kichochoro
Mkuuchu—Kiburi
Mkuuma---Upepo
Mlenya—Mchanga
mmesa—Adui Mtiima—Giza nono
Mmmbaryi—Jua
Momrasa—Jirani
Momu- hori la ng’ombe
Msasariko—Masazo
Msotsa---Kushuka
Na-Ngoseraa—Na zaidi
Ndekye—Ndege
Nduwa-- Dimbwi
Ngambura--kipande cha nyama
Njoonyi—Ngozi
Nyi Kryirumi—Ni Utukufu
ote=hapana
Parapara—barabara
Pfinya—Nguvu
Rumbu—Mdomo
Sera’—Mgomba mchanga
Shira’—vita
Tao—Ng’ombe jike
Tikira- sogea
ukou=Jana
Ulakuso—Tafadhali
Ulowo—Habari
Unga—msoo
Unyamari’—Dhambi
Ushanguny—Usoni
Walutsa—Geuza
Wanda—chini
Hakunaga Kichaga cha Marangu..Wamarangu na Warombo ndoo wameharibu kichaga . Sasa hicho ni kichagga au kimasai au kikikuyu?
Ni hivi. Kuna wa chaga wa Moshi (Kibosho, Uru, Mbokomo,Old Moshi,na Vunjo ambayo ni Dola kubwa Kilimanjaro yan wa *Kirua,Kilema,Marangu,Mamba na Mwika) kuna chaga wa Sia, Hai na Rombo. Sasa kwa hao wa chaga wa Moshi kuna baadhi ya maeneno huingiliana kutokana na ukaribu. Mfano wa Vunjo na Old Mosh huingiliana kama ilivyo Uru na kibosho. ..........Ndio maana nimesema Lugha ya" kimarangu" wametohoa kutoka maneno ya kimasai hao siii wachaggha. Wachaggha ni wa uru, wa machame na wakibosho ambao wote (1) maziwa = malela (2) maji = muda (3)pombe = wari
Wa Uru na wa Marangu hawatofautiani asee.Ndio maana nimesema Lugha ya" kimarangu" wametohoa kutoka maneno ya kimasai hao siii wachaggha. Wachaggha ni wa uru, wa machame na wakibosho ambao wote (1) maziwa = malela (2) maji = muda (3)pombe = wari
Sema Kivunjo na Ki Uru. Wamarangu huongea Ki VunjoWa Uru na wa Marangu hawatofautiani asee.
Sawa mkuu, asante kwa kunielimisha.Sema Kivunjo na Ki Uru. Wamarangu huongea Ki Vunjo
kamsafoAichi—Anajua
iachikyia--Kujenga
Ichele—Kichaga
Ichondi- --- Kondoo
Iikyelyia—Kuogelea
Ikawilyia—Kupalilia
Ilyingoi---Jogoo
inyi—Mimi
Ipalipali- --Bahari
Ipore---Yai
Irikoso—Taji
Isewa—Kibuyu
Itukuo—Kushangaa
Iwuwu—Kuona makengeza
Iyesho---- Majaribu
Kiamba---Shamba
Kyasaka—Ugenini (Mswahili)
Kyiaatyi—nafasi
Kyo_kyimaryu—Ndiyo sababu
Kyuwere—Kumebakia nafasi ndugu
Lakucha—Usiku mwema
Linyala—Kuzarau
Maakulembecherye—Unafiki
Mapore—Makande
Mapuchi—Mawingu
Masaanga—Mataifa
Matu matu—Tafadhali
Mbuya---Rafiki
Mchola--Kichochoro
Mkuuchu—Kiburi
Mkuuma---Upepo
Mlenya—Mchanga
mmesa—Adui Mtiima—Giza nono
Mmmbaryi—Jua
Momrasa—Jirani
Momu- hori la ng’ombe
Msasariko—Masazo
Msotsa---Kushuka
Na-Ngoseraa—Na zaidi
Ndekye—Ndege
Nduwa-- Dimbwi
Ngambura--kipande cha nyama
Njoonyi—Ngozi
Nyi Kryirumi—Ni Utukufu
ote=hapana
Parapara—barabara
Pfinya—Nguvu
Rumbu—Mdomo
Sera’—Mgomba mchanga
Shira’—vita
Tao—Ng’ombe jike
Tikira- sogea
ukou=Jana
Ulakuso—Tafadhali
Ulowo—Habari
Unga—msoo
Unyamari’—Dhambi
Ushanguny—Usoni
Walutsa—Geuza
Wanda—chini
Hahaha. Itasaidia watoto wa Kichaga wanaokulia mijini...!SAWA ILA KAMUSI YAKO MBONA INA MANENO MACHACHE???HII ITAKUA KAMUSI NDOGO KULIKO ZOTE DUNIANI.
Shimbony mleu.Ni hivi. Kuna wa chaga wa Moshi (Kibosho, Uru, Mbokomo,Old Moshi,na Vunjo ambayo ni Dola kubwa Kilimanjaro yan wa *Kirua,Kilema,Marangu,Mamba na Mwika) kuna chaga wa Sia, Hai na Rombo. Sasa kwa hao wa chaga wa Moshi kuna baadhi ya maeneno huingiliana kutokana na ukaribu. Mfano wa Vunjo na Old Mosh huingiliana kama ilivyo Uru na kibosho. ..........
Kimasai pia magunzi yanaitwa etongoti na kichaga ni hivyo hivyo. Mshenga kimasai anaitwa mkaraa na kichagga pia hivyo.Ndio maana nimesema Lugha ya" kimarangu" wametohoa kutoka maneno ya kimasai hao siii wachaggha. Wachaggha ni wa uru, wa machame na wakibosho ambao wote (1) maziwa = malela (2) maji = muda (3)pombe = wari
wewe ndo upo sahihi hakuna mmarangu wala kimarangu! Hakuna kitu kama hichoSema Kivunjo na Ki Uru. Wamarangu huongea Ki Vunjo