Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Alikamwe akihojiwa kuhusu suala la ukiukwaji wa Sheria Baada ya kuweka bango la kichapo Cha 5 - 1 Baada ya Rage kusema wataenda mahakamani kudai Tsh. 100 million Kwa kosa la bango la Yanga
Haya ndiyo majibu ya semaji la final za CAF
"Nashangaa makolo wanalalamikia Kwamba tumetumia logo yao, mara ooh sijui Sheria itafanyaje ......nataka niwaambie kuwa pale vyote ni vyao logo na Ile 5 kubwa ....vyote ni vyao
Na bado hili suala la bango likiisha ....Kuna tukio lingine tutaleta mpaka pale watakapo kaa kimya
NB: huyu jamaa hizi ni sifa Sasa [emoji23]
Haya ndiyo majibu ya semaji la final za CAF
"Nashangaa makolo wanalalamikia Kwamba tumetumia logo yao, mara ooh sijui Sheria itafanyaje ......nataka niwaambie kuwa pale vyote ni vyao logo na Ile 5 kubwa ....vyote ni vyao
Na bado hili suala la bango likiisha ....Kuna tukio lingine tutaleta mpaka pale watakapo kaa kimya
NB: huyu jamaa hizi ni sifa Sasa [emoji23]