Kamwe usijaribu kumng’ang’ania mwanamke anayeonekana hakuhitaji tena, utaumia

Kamwe usijaribu kumng’ang’ania mwanamke anayeonekana hakuhitaji tena, utaumia

Mimi tukiachana memory zote nafta staki kukumbuka lolote hata tukikutana sishtuki, memories zote nzuri au mbaya na zi delete wallah
Mungu alimpa mwanaume jukumu lakupenda sababu anajua alimuwekea uwezo wa kupenda. Hivyo usijiangaishe kufahamu kwanini unaweza kufanya hayo
 
I second u, naumia zaidi sababu tuna mtt na nampenda kuliko kitu chochote na amekuwa so emotional baada ya kugundua baba yake sipo sawa, ukweli ni kwamba ameshindwa kubalance btn new love na mtt amemuweka pembeni am not oky with that as mtt anapata mateso ambayo hastahili,

I know hajafata chochote huku zaidi ya mapenz ambayo mm may be nimeshindwa kuonesha ila namuonea huruma kiumbe huyu wangu wa pekee as i have to move on with my life as am broke na nimeharibu mpaka kazi yangu
Pole sana mkuu nailewa hali yako kwenye maisha yangu sijawahi kuomba ushauri kwa wazee lakini ilibidi nifanye hivyo muda ni tiba lakini tambua na elewa thamani ya mwanaume ni umiliki pambana kutambua lengo lako hapa duniani kisha fanya kwa bidii zote kadri utanavyo fanikiwa ndivyo unavyokuwa na furaha utapata mwanamke yeyote unayemtaka
 
I second u, naumia zaidi sababu tuna mtt na nampenda kuliko kitu chochote na amekuwa so emotional baada ya kugundua baba yake sipo sawa, ukweli ni kwamba ameshindwa kubalance btn new love na mtt amemuweka pembeni am not oky with that as mtt anapata mateso ambayo hastahili,

I know hajafata chochote huku zaidi ya mapenz ambayo mm may be nimeshindwa kuonesha ila namuonea huruma kiumbe huyu wangu wa pekee as i have to move on with my life as am broke na nimeharibu mpaka kazi yangu
Pole sana chief,same situation hapa ila lazima usonge mbele. Tafuta pesa kwa nguvu zote kwa ajili ya mwanao.
 
Ishu sio mtu kupelekewa moto Ila ni hisia tu ambazo zinamfanya mtu amiss uwepo wake,company,vituko na nyakati zote za furaha. Uzuri/Ubaya wa maisha ni kwamba kuna nyakati nzuri/mbaya pia furaha/huzuni lazima tuzipitie.
Sawa,lkn Kwichikwichi nzuri inachukua nafasi kubwa ktk mahusiano.
 
Bora umekuwa muwazi mama, nimelipenda hilo maana mapenzi ni hisia sio pesa ama utajiri kama kizazi cha sasa kinavyojipambanua.
Tatizo dada zetu sikuizi wanataka kuishi maisha yalio mbali Sana na uhalisia wao wa maisha, afu uwezo wakufanya hivyo hawana,the only shortcut to use,Ni kujirahisisha kwa wanaume wenye Mali,hata kama hawawapendi,na hizi smartphone ndo zimeharibu kabisa kizazi chetu(Mostly in Africa).
 
Hata sio kweli, unaweza ukawa na mwanaume unampenda kwa dhati, na wala huna hata hisia za kumsaliti ila yeye akaanza kukufanyia vituko kumbe kaishakuchoka anakutafutia sababu, sasa kwa kuwa sisi ni watu wa hisia sana tunakuwa tumeshajua ukweli inabidi ujiondoe kimyakimya tu kuepusha malumbano.

Na hasa hasa hii hutokea pale mwanaume anapopata vijisenti mbuzi, anaona hee huyu wa kazi gani hanifai ngoja nitafute mpya, kasheshe ni pale vihela vilikiliwa na huyo mpya zikaisha halafu eti linarudi kwangu na mapumbuu tu, ndo siku hiyo utatamani ardhi ipasuke kitu nakufanyia siku hiyo[emoji57][emoji57]
Kwa nini mnapenda kuyatukana mapumbuu? Mnajua thamani yake ni kubwa sana!
 
Hit and run 🏃
Ukitumia hii principal uwezi kulia Lia
Afu demu huwa wanatupenda Sana vitombi
Afu sinaga time nao
 
Nawewe kama mtu wako unampenda inakuwaje mpaka ukumbushwe?mbona kuomba hela husubiri jamaa akukumbuke mwenyewe unaomba?ukijua una mpenzi jua una jukumu la kutoa hiyo huduma maana ndio jukumu lako mama usisubiri ukumbushwe wakat unapewa pesa uwe irritated,weka utaratibu wa kujipeleka mwenyewe weekend ukaliwe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mara moja moja kujipeleka sio mbaya ila sio kila siku
 
Hivi mbona tunaolalamika Sana kuachwa ni sisi me..?
Wanawake tumewakosea nini..?
Na hii hali itaisha lini..?

Mtafanya nimuamini moja ya mwanasaikolojia alienena kuwa wanaume tupo sensitive Sana na mapenzi japo tunajifanyaga makauzu ila hapo tumeshikika!
Hkn cha kushikika ke sisi ni wachawi sana ni usipime.huwezi mpenda mnuka kikwapa eti mpakaujiue mfyuu!

Nani kasema! wewe ukiona vipi mkule dadako uone hata binamu tu. Hautachanganyikiwa.sababu hawakufanyii dawa.

Kula jitu ke baki utalililia weee! Kisa kupenda.mfyuuuxc! Hata halina thamani km yako.

Unajikuna matako weeee! Kisa rose joshua zeee kwanza.Halina mvuto km dume!

Ukitaka nakupa dawa na unayo unatembea nayo.
 
Back
Top Bottom