Kamwe usilipize kisasi kwa mtu awaye yote

Kamwe usilipize kisasi kwa mtu awaye yote

Ukishindwa kusamehe lipa kisasi
mimi huwa nasamehe, ila kisasi kijiletaga automatically mtu anajaa mwenyewe 😅
ukipania kisasi hukipati
 
Je umedhurumiwa mpenzi au umeibiwa hela au kudanganywa kwa lolote na mpenzi wako? Kama jibu ni ndiyo basi nakushauri ukae kwa kutulia na usipange kulipa kisasi.

Siku zote kulipiza kisasi kamwe sio jibu. Ikiwa huwezi kusamehe, basi sahau.

Ukikomaa kulipa kisasi basi kabla ya kulipiza kisasi, chimba makaburi mawili - moja lako mwenyewe na lingine la huyo uliyempania kwa kisasi.

Unapolipiza kisasi, jambo moja husababisha jingine hatimaye
Kukuletea majuto.

Mahatma Gandhi alisema.. “An eye for an eye will only make the whole world blind.”

Kisasi ni udhaifu mkubwa. Kusamehe kutakufanya uwe mwenye nguvu. Kulipiza kisasi ni kujiangamiza. Unachopanda kinarudi kwako mwenyewe.

When someone hurts you, move on. Don’t let them know they hurt you. Don’t react. Be happy. Hurt them by succeeding. Success is the best revenge. Living well is the best revenge.

Usilipe ubaya kwa ubaya.
hata biblia imekataza kulipa kisasi
 
Nilishalipa kisasi mwisho nikapata amani ya moyo kabisa mpaka leo ni miaka mingi ishapita nipo amani kabsa
 
Mleta mada Amenukuu lile Andiko Akupigae shavu la kulia we Mgeuzie la kushoto.Wakiristo bwana,Imani yao imekuwa legevu legevu sana.
 
Mleta mada Amenukuu lile Andiko Akupigae shavu la kulia we Mgeuzie la kushoto.Wakiristo bwana,Imani yao imekuwa legevu legevu sana.
Kutokulipa kisasi sio imani legevu bali ni hekima iliyojaa tele kwa asiyelipa kisasi.
Screenshot_20241005-112141.png
 
Ni vizuri kuwasemehe watu waliokukosea ila Kuna Mambo hayasameheki kbsa.
Mfano Ni mke mzinifu,hii hata vitabu vya dini vinakataza kwamba kamwe mke anayetoka nje ya ndoa hastahili kusamehewa.

Afu pia Kuna waumini wa " Jino kwa Jino" Israel
 
Ubaya kwa Ubaya
Katika maisha epuka sana kushindana na mtu asiye na cha kupoteza, gharama ya matendo yake juu yako inaweza kuwa kubwa sana. Kuna Watu wapo wapo tu.

Hawana utu.
Hawana hofu ya Mungu.
Hawana hofu ya jamii.
Hawana familia wanazozisimamia wala kuzijengea misingi.Yaani wao kufanya jambo lolote ovu kwao ndiyo ushujaa.

Ukikutana na mtu wa hivi sijui kama utaendelea kusimamia hiyo dhana yako ya ubaya kwa ubaya🤣🤣
 
Ni vizuri kuwasemehe watu waliokukosea ila Kuna Mambo hayasameheki kbsa.
Mfano Ni mke mzinifu,hii hata vitabu vya dini vinakataza kwamba kamwe mke anayetoka nje ya ndoa hastahili kusamehewa.

Afu pia Kuna waumini wa " Jino kwa Jino" Israel
Unasamehe yes na kumuacha aende Zake, tatizo ni pale utakapoamua kulipa kisasi kwamba na wewe uwe mzinzi ili umkomoe.Na tunaona wengine wanafikia hatua ya kuwaua wenzi wao sababu ya mambo kama hayo.

Temana nae tu na kamwe ujinga wa mtu usikufanye nawe ukawa mjinga waheed.
 
Imeandikwa; “Yeye arudishaye mabaya badala ya mema, mabaya hayataondoka nyumbani mwake”

Soma Mithali: 17:13

Yani matatizo yatakuwa yanapandiana tu, likitoka hili linakuja hili.
Yani matatizo yanakuwa ni life style yake.

Visasi tumwachie Mungu kama unataka mabaya yakuepuke.
Hiyo ndio kanuni.
Na Mungu ana njia zake za kuwanyoosha wanaokufanyia mabaya ambapo anajua kuwabaruza vibaya sana.
Ni heri mwanadamu akulipize kisasi ila sio Mungu, Mungu akikunyoosha anakunyoosha haswa.
 
Hii ni kwa mujibu ya mavi yako kichwani.

😆😆😆
Kwani mavi yanakaaga kichwani kwa mtu?
Wewe itakuwa ni bonge la kiraza.
Hujasoma bailoji?
Pole sana inaonekana umejivuruga balaa 😆😆
Na haya matusi yako unayoandika humu wala hayatakupa ahueni napadała yake unazidi kujiongezea msongo wa mawazo.
Kuna namna za ku-vent out na sio kwa huku unakofanya.
I am innocent person, hayo unayopitia sijasababisha mimi.
Pole hebu jihurumie nafsi yako (self care) find a way to vent out yourself.
Unajiresha bure maana werevu wanajua jinsi unavyo reflect kile kilichoujaza moyo wako.
 
Unasamehe yes na kumuacha aende Zake, tatizo ni pale utakapoamua kulipa kisasi kwamba na wewe uwe mzinzi ili umkomoe.Na tunaona wengine wanafikia hatua ya kuwaua wenzi wao sababu ya mambo kama hayo.

Temana nae tu na kamwe ujinga wa mtu usikufanye nawe ukawa mjinga waheed.


Kweli kabisa,
Yaani mtu mwingine akosee yeye Halafu kukosea kwake yeye Eti kuje kusababisha mimo kukosea na kuingia kwenye matatizo(jera) au (dhambi) ambayo itaharibu uhusiano wangu na Mungu bana yangu?!
Nakataa.
 
Back
Top Bottom