Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,774
- 13,566
mimi huwa nasamehe, ila kisasi kijiletaga automatically mtu anajaa mwenyewe 😅Ukishindwa kusamehe lipa kisasi
Ukishindwa kusamehe lipa kisasi
Hii ya leo ni tofauti kidogo na mada zetu zile, hii inahusika na kulipa kisasi. Katika maisha bila kujali unaamini nini hakuna jambo jema kama kusamehe! Msamaha hukusaidia mengi mpaka kifo na maisha yanayofuata baada ya kifo iwe reincarnation au rebirth nk !msamaha hukufanya uwe mwema mwenye...www.jamiiforums.com
ukipania kisasi hukipati