Kamwe usilipize kisasi kwa mtu awaye yote

Kamwe usilipize kisasi kwa mtu awaye yote

Hapo kwenye kusema kwamba huyo Mungu wetu tayari nimekuelewa mkuušŸ¤”

Naona huyo mungu wako anahubiri visasi, Basi endelea utavuna ulichopanda na usisahau

Wewe wasema, lakini faida za kusamehe ni nyingi zaidi ya kutosamehe
Mimi sina Mungu wa aina yeyote ile.

Mungu ni wa kwenu nyie, waamini Mungu.

Nimekuuliza swali, Mungu wenu huyo analipiza kisasi, ilhali kila siku mnamuhubiri ni Mungu mwema, mwenye upendo kwa watu wake?
 
Ndio , ameagiza visasi na hukumu tumuachie yeye mwenyewe afanye.
Na inategemea anaweza akasamehe au akampiga fimbo mhusika.
Kama huyo Mungu wenu ni mlipa Visasi, Basi hastahili kuwa mwema wala mwenye upendo.
 
Back
Top Bottom