zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Nimekujibu km ulivyouliza nimesema mbwa jike burudani kwa woteHujajibu swali nililokuuliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekujibu km ulivyouliza nimesema mbwa jike burudani kwa woteHujajibu swali nililokuuliza
Utoto wako upo wazi kwenye kile uwazacho, unaandika mambo ya kitoto huku ikitumia lugha zisizo za kistaarabu so utoto wako unauweka wazi wewe mwenyewe.Mimi sio mtoto mkuu nakuheshimu usitake tuvunjiane heshima hakuna ulipoona nimekuvaa na kukuongelea mbovu sasa hapo ndio ujue mimi na wewe nani mtoto ukikua utaacha kuparamia wakubwa
Exactly 💯 Law abiding citizensMy sister dunia haitaki watu regevu kila kitu unakiacha tu et Mungu atanilipa. Rejea law of natural selection
Mwanangu naona Leo kosti kaaribu shughuli upo kimyaaa 🤣😁😁Utoto wako upo wazi kwenye kile uwazacho, unaandika mambo ya kitoto huku ikitumia lugha zisizo za kistaarabu so utoto wako unauweka wazi wewe mwenyewe.
Wewe ni hamnazo halafu huwa sipendi kufanya mjadala na wajinga wapuuzi punguani wapumbavu mazumbukuku vichwa panzi wasio jielewa wajuaji wajuaji yaan kujifanya wao kila kitu wanakijua yaan inafika hatua mtu natumia fake ID but unachukulia as if unanijua physically haya sasa pita hivi sipendi discussions na mazuzu zwazwa chapa rabaUtoto wako upo wazi kwenye kile uwazacho, unaandika mambo ya kitoto huku ikitumia lugha zisizo za kistaarabu so utoto wako unauweka wazi wewe mwenyewe.
Hakuna kilichoharibika mkuu ligi bado haijatamatikaMwanangu naona Leo kosti kaaribu shughuli upo kimyaaa 🤣😁😁
Unamzungumziaje pin pin Camara kaka 😂 😁Hakuna kilichoharibika mkuu ligi bado haijatamatika
Yote uliyoorodhesha ni mambo yako ya kitoto na yanafanana nawe ni ni chapa yako kabisa... siku Ukikua utaacha utoto.Wewe ni hamnazo halafu huwa sipendi kufanya mjadala na wajinga wapuuzi punguani wapumbavu mazumbukuku vichwa panzi wasio jielewa wajuaji wajuaji yaan kujifanya wao kila kitu wanakijua yaan inafika hatua mtu natumia fake ID but unachukulia as if unanijua physically haya sasa pita hivi sipendi discussions na mazuzu zwazwa chapa raba
Bwegenazi weweYote uliyoorodhesha ni mambo yako ya kitoto na yanafanana nawe ni ni chapa yako kabisa... siku Ukikua utaacha utoto.
Spider hana tatizo kabisaUnamzungumziaje pin pin Camara kaka 😂 😁
Ignore list yangu ipo empty haya ingia humo basi ukafurahie vizuri kula chuma hichoYote uliyoorodhesha ni mambo yako ya kitoto na yanafanana nawe ni ni chapa yako kabisa... siku Ukikua utaacha utoto.
Bwegenazi mwenyeweBwegenazi wewe
Ushakula ignore kiazi wewe haya tafuta wa kummalizia stress zako za maisha ya mkopoBwegenazi mwenyewe
Ukikua utaacha utotoUshakula ignore kiazi wewe haya tafuta wa kummalizia stress zako za maisha ya mkopo
Kutosamehe ni udhaifu ila aliyekumiza ndio Shujaaa? Toa ujinga hapa.Hao unaowaona werevu kwa kigezo cha kutosamehe ndiyo wajinga hasaa a! Kuweza kusamehe it mean Kuna nguvu kubwa ndani yako inayokuwezesha kuendesha hisia zako, kuwa na mipaka na mamlaka binafsi ya kutawala maamuzi ufanyayo.
Kutosamehe ni udhaifu mkubwa Sana.
HahahaKutosamehe ni udhaifu ila aliyekumiza ndio Shujaaa? Toa ujinga hapa.
Kutotii agizo la kusamehe !!! wakati huyo Mungu mwenyewe atashindwa kutusamehe ?Moja ya sababu ya kuwachoma moto itakuwa ni hiyohiyo ya kutotii agizo la kusamehe. Hivyo fuata kanuni na jitahidi tu kusamehe kama wewe unavyosamehewa.
ukweli ni kuwa duniani hatuna makao ya milele. "the world is not our home"My sister dunia haitaki watu regevu kila kitu unakiacha tu et Mungu atanilipa. Rejea law of natural selection
Kufurahi ukiwa umeumizwa vibaya ni ngumu sana, huwezi kujizuia kuumia Ila watu tunatofautiana endurance.Je umedhurumiwa mpenzi au umeibiwa hela au kudanganywa kwa lolote na mpenzi wako? Kama jibu ni ndiyo basi nakushauri ukae kwa kutulia na usipange kulipa kisasi.
Siku zote kulipiza kisasi kamwe sio jibu. Ikiwa huwezi kusamehe, basi sahau.
Ukikomaa kulipa kisasi basi kabla ya kulipiza kisasi, chimba makaburi mawili - moja lako mwenyewe na lingine la huyo uliyempania kwa kisasi.
Unapolipiza kisasi, jambo moja husababisha jingine hatimaye
Kukuletea majuto.
Mahatma Gandhi alisema.. “An eye for an eye will only make the whole world blind.”
Kisasi ni udhaifu mkubwa. Kusamehe kutakufanya uwe mwenye nguvu. Kulipiza kisasi ni kujiangamiza. Unachopanda kinarudi kwako mwenyewe.
When someone hurts you, move on. Don’t let them know they hurt you. Don’t react. Be happy. Hurt them by succeeding. Success is the best revenge. Living well is the best revenge.
Usilipe ubaya kwa ubaya.