Kamwe usilipize kisasi kwa mtu awaye yote

Kamwe usilipize kisasi kwa mtu awaye yote

Naelewa kwanini China huwezi kuua mtu ikabaki unakula ugali.

Hapa kwetu nasikia Scorpoion yuko mtaani anaendelea na maisha.
Scorpion hakuua wala kuumiza mtu... walumwangishia jumba bovu tu kwa sababu wazozojua waja!
 
Ni ubaya ubwela ni mwendo wa kupakana mafuta ya Puffy Daddy
 
Kuna vitu unasamehe, easy tu hata ikuume kivipi, ila ikivukwa mipaka Hit them .
 
Je umedhurumiwa mpenzi au umeibiwa hela au kudanganywa kwa lolote na mpenzi wako? Kama jibu ni ndiyo basi nakushauri ukae kwa kutulia na usipange kulipa kisasi.

Siku zote kulipiza kisasi kamwe sio jibu. Ikiwa huwezi kusamehe, basi sahau.

Ukikomaa kulipa kisasi basi kabla ya kulipiza kisasi, chimba makaburi mawili - moja lako mwenyewe na lingine la huyo uliyempania kwa kisasi.

Unapolipiza kisasi, jambo moja husababisha jingine hatimaye
Kukuletea majuto.

Mahatma Gandhi alisema.. “An eye for an eye will only make the whole world blind.”

Kisasi ni udhaifu mkubwa. Kusamehe kutakufanya uwe mwenye nguvu. Kulipiza kisasi ni kujiangamiza. Unachopanda kinarudi kwako mwenyewe.

When someone hurts you, move on. Don’t let them know they hurt you. Don’t react. Be happy. Hurt them by succeeding. Success is the best revenge. Living well is the best revenge.

Usilipe ubaya kwa ubaya.
Elimu za wazungu ili waendelee kutuibia hatuzitaki. Ukinipiga shavu nakung'oa shingo ebooo!🤣🤣🤣🤣
 
Yani wale wahanga wa Pdidy uwaambie wamsamehe mwamba? Watakuelewa?

Kisasi huleta nafuu kwa aliyetendwa,

Akuanzae mmalize.


Kwani aliwabaka?
Labda kama aliwabaka.
Maana wengi wa mastar wa nchi mbalimbali hasa ngozi nyeusi nasikia alikuwa akiwaambia Siri ya kubaki kileleni kuwa Star maisha yako yote usishuke wala mwingine kują juu yako ni hiyo?!
Sasa hao wa hivyo watamshataki vipi?!
Maana ni tamaa zao wenyewe. Za kutaka kubaki kileleni na kutajirika.
Ndio maana Imeandikwa; usitamani chochote alichonacho jirani yako.
Wala usimhusudu. Maana Pengine nyuma yake kuna uovu mwingi wa kutisha.
 
Strong people ignore
Average People forgive
Weak people revenge

Tafakarini wale mnataka kufanya visasi.
 
Huu wa bila kuupanga unajulikana na unakuwaga wazi.

Mfano mtu anakuja kukupora Shamba lako na wala halijawahi kuw lake. Aka team na mashahidi wa uongo mwisho anafanikiwa kubeba Nyumba yako.

Huo ni bahati mbaya?


Bado ukitulia utakuja uipate haki yako.
Jipe muda.
 
Kwani aliwabaka?
Labda kama aliwabaka.
Maana wengi wa mastar wa nchi mbalimbali hasa ngozi nyeusi nasikia alikuwa akiwaambia Siri ya kubaki kileleni kuwa Star maisha yako yote usishuke wala mwingine kują juu yako ni hiyo?!
Sasa hao wa hivyo watamshataki vipi?!
Maana ni tamaa zao wenyewe. Za kutaka kubaki kileleni na kutajirika.
Ndio maana Imeandikwa; usitamani chochote alichonacho jirani yako.
Wala usimhusudu. Maana Pengine nyuma yake kuna uovu mwingi wa kutisha.
Hakika, Ipo njia ionekanayo kuwa SAHIHI machoni PA mtu lakini mwisho wake ni njia za mauti.
 
Wanaweza wakasamehe
Yani wale wahanga wa Pdidy uwaambie wamsamehe mwamba? Watakuelewa?

Kisasi huleta nafuu kwa aliyetendwa,

Akuanzae mmalize.
Wanaweza wakasamehe Yes ila kusamehe kwao haimuondolei P. Diddy hatia sababu kinachomkabili ni jinai. Hivyo ikiwa atakuwa proved guilty lazima ashughulikiwe kisheria ipasavyo hata kama victim watasamehe saba mara sabini.
 
Alisema kisasi gani? Mbona Wayahudi aliwatandika mikononi mwa Nebkadneza?

Enzi za Wayahudi Ilikuwa jino kwa jino.

Yanini wewe unikatw mkono kwa panga huku ukijua ila mimi nikikulima mkuki mguuni unione mbaya?
Mara ya mwisho kusoma biblia ni lini mkuu?
Wewe ni mwamini wa Kristo?
 
Wanaweza wakasamehe

Wanaweza wakasamehe Yes ila kusamehe kwao haimuondolei P. Diddy hatia sababu kinachomkabili ni jinai. Hivyo ikiwa atakuwa proved guilty lazima ashughulikiwe kisheria ipasavyo hata kama victim watasamehe saba mara sabini.
Nimekuelewa vizuri sana mummy
 
Back
Top Bottom