Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Mwanaume mwenye akili kama zako hawezi kuwa baba bora wa kuongoza familia, umejaza ujinga mwingi kwa kichwa chako.Sasa wewe si ndio mbwa jike niliekuoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume mwenye akili kama zako hawezi kuwa baba bora wa kuongoza familia, umejaza ujinga mwingi kwa kichwa chako.Sasa wewe si ndio mbwa jike niliekuoa
Scorpion hakuua wala kuumiza mtu... walumwangishia jumba bovu tu kwa sababu wazozojua waja!Naelewa kwanini China huwezi kuua mtu ikabaki unakula ugali.
Hapa kwetu nasikia Scorpoion yuko mtaani anaendelea na maisha.
Mbona mahakama ilimhukumu kifungo jela?Scorpion hakuua wala kuumiza mtu... walumwangishia jumba bovu tu kwa sababu wazozojua waja!
Case ameachiwa huru ,ilikuja gundulika kwamba alifungwa kimakosa.Mbona mahakama ilimhukumu kifungo jela?
Yes daddy tunasamehe kwa ajili ya uhusiano wetu mzuri na Mungu.Ujumbe mzuri kabisa huu.
Elimu za wazungu ili waendelee kutuibia hatuzitaki. Ukinipiga shavu nakung'oa shingo ebooo!🤣🤣🤣🤣Je umedhurumiwa mpenzi au umeibiwa hela au kudanganywa kwa lolote na mpenzi wako? Kama jibu ni ndiyo basi nakushauri ukae kwa kutulia na usipange kulipa kisasi.
Siku zote kulipiza kisasi kamwe sio jibu. Ikiwa huwezi kusamehe, basi sahau.
Ukikomaa kulipa kisasi basi kabla ya kulipiza kisasi, chimba makaburi mawili - moja lako mwenyewe na lingine la huyo uliyempania kwa kisasi.
Unapolipiza kisasi, jambo moja husababisha jingine hatimaye
Kukuletea majuto.
Mahatma Gandhi alisema.. “An eye for an eye will only make the whole world blind.”
Kisasi ni udhaifu mkubwa. Kusamehe kutakufanya uwe mwenye nguvu. Kulipiza kisasi ni kujiangamiza. Unachopanda kinarudi kwako mwenyewe.
When someone hurts you, move on. Don’t let them know they hurt you. Don’t react. Be happy. Hurt them by succeeding. Success is the best revenge. Living well is the best revenge.
Usilipe ubaya kwa ubaya.
Yani wale wahanga wa Pdidy uwaambie wamsamehe mwamba? Watakuelewa?
Kisasi huleta nafuu kwa aliyetendwa,
Akuanzae mmalize.
Huu wa bila kuupanga unajulikana na unakuwaga wazi.
Mfano mtu anakuja kukupora Shamba lako na wala halijawahi kuw lake. Aka team na mashahidi wa uongo mwisho anafanikiwa kubeba Nyumba yako.
Huo ni bahati mbaya?
🙏🙏 Amina mtumishi. Mjadala ufungweMungu mwenyewe alisema kisasi ni juu yake sasa wewe ni nani uingilie majukumu ya Mungu?
Lazima tuwasamehe waliotukosea ndipo na sisi tupokee msamaha kutoka kwa Mungu.Yes daddy tunasamehe kwa ajili ya uhusiano wetu mzuri na Mungu.
Hakika, Ipo njia ionekanayo kuwa SAHIHI machoni PA mtu lakini mwisho wake ni njia za mauti.Kwani aliwabaka?
Labda kama aliwabaka.
Maana wengi wa mastar wa nchi mbalimbali hasa ngozi nyeusi nasikia alikuwa akiwaambia Siri ya kubaki kileleni kuwa Star maisha yako yote usishuke wala mwingine kują juu yako ni hiyo?!
Sasa hao wa hivyo watamshataki vipi?!
Maana ni tamaa zao wenyewe. Za kutaka kubaki kileleni na kutajirika.
Ndio maana Imeandikwa; usitamani chochote alichonacho jirani yako.
Wala usimhusudu. Maana Pengine nyuma yake kuna uovu mwingi wa kutisha.
Unamjaza upepoHakika
Wanaweza wakasamehe Yes ila kusamehe kwao haimuondolei P. Diddy hatia sababu kinachomkabili ni jinai. Hivyo ikiwa atakuwa proved guilty lazima ashughulikiwe kisheria ipasavyo hata kama victim watasamehe saba mara sabini.Yani wale wahanga wa Pdidy uwaambie wamsamehe mwamba? Watakuelewa?
Kisasi huleta nafuu kwa aliyetendwa,
Akuanzae mmalize.
Mara ya mwisho kusoma biblia ni lini mkuu?Alisema kisasi gani? Mbona Wayahudi aliwatandika mikononi mwa Nebkadneza?
Enzi za Wayahudi Ilikuwa jino kwa jino.
Yanini wewe unikatw mkono kwa panga huku ukijua ila mimi nikikulima mkuki mguuni unione mbaya?
Nimekuelewa vizuri sana mummyWanaweza wakasamehe
Wanaweza wakasamehe Yes ila kusamehe kwao haimuondolei P. Diddy hatia sababu kinachomkabili ni jinai. Hivyo ikiwa atakuwa proved guilty lazima ashughulikiwe kisheria ipasavyo hata kama victim watasamehe saba mara sabini.
Moja ya sababu ya kuwachoma moto itakuwa ni hiyohiyo ya kutotii agizo la kusamehe. Hivyo fuata kanuni na jitahidi tu kusamehe kama wewe unavyosamehewa.Mbona Mungu hatosamehe watenda dhambi ila atawachoma imekaaje hiyo?