Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Na ukishindwa kulipa kisasi sameheNa ukishindwa kusamehe lipa kisasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukishindwa kulipa kisasi sameheNa ukishindwa kusamehe lipa kisasi
Samehe tuYoyote atakae ingia kwenye 18 zangu napambana nae. Huruma hadi lini? Na kwanini aje akuanze? Labda kuna kitu anakitaka
Usitutishe.....yaani mtu anateka watu, anawakata vichwa na kuwamwagia Tindikali....na kuwapoteza lakini watu wamwache tu aendelee na kazi hiyo?Ukikomaa kulipa kisasi basi kabla ya kulipiza kisasi, chimba makaburi mawili - moja lako mwenyewe na lingine la huyo uliyempania kwa kisasi.
Mbona Mungu hatosamehe watenda dhambi ila atawachoma imekaaje hiyo?Mungu mwenyewe alisema kisasi ni juu yake sasa wewe ni nani uingilie majukumu ya Mungu?
Hii mind set ndio imeifanya Israel imekuwa Super Power na China pia.Yoyote atakae ingia kwenye 18 zangu napambana nae. Huruma hadi lini? Na kwanini aje akuanze? Labda kuna kitu anakitaka
Usisahau Newton hana akili kama zako, tulia bro mambo ya kisasi mwachie Mungu.Sister kumbuka wahenga akina Isaac Newton, walishasema kwamba "To every action there is an equal and opposite reaction". Hivyo ubaya ubwela na ubwela ubaya
Ni mzuri kwa wanaohendekeza ujinga.Ujumbe mzuri kabisa huu.
SawaUsisahau Newton hana akili kama zako, tulia bro mambo ya kisasi mwachie Mungu.
Naelewa kwanini China huwezi kuua mtu ikabaki unakula ugali.Lipa kisasi
Huu wa bila kuupanga unajulikana na unakuwaga wazi.Kweli bhana, unakuta mkosaji wa kwanza alifanya ubaya bila kuupanga kihiivyo.
Kuna kitu kinaitwa karma, always unayoyafanya dunia hii yata kurudia. So kama imetokea mtu ame expierience hayo atulie, amuombe Mungu ampe neema ya kusamehe. After katika time yake hapa duniani, vilichokuliwa vitatudishwa, either vije vile vile au bora zaidiJe umedhurumiwa mpenzi au umeibiwa hela au kudanganywa kwa lolote na mpenzi wako? Kama jibu ni ndiyo basi nakushauri ukae kwa kutulia na usipange kulipa kisasi.
Siku zote kulipiza kisasi kamwe sio jibu. Ikiwa huwezi kusamehe, basi sahau.
Ukikomaa kulipa kisasi basi kabla ya kulipiza kisasi, chimba makaburi mawili - moja lako mwenyewe na lingine la huyo uliyempania kwa kisasi.
Unapolipiza kisasi, jambo moja husababisha jingine hatimaye
Kukuletea majuto.
Mahatma Gandhi alisema.. “An eye for an eye will only make the whole world blind.”
Kisasi ni udhaifu mkubwa. Kusamehe kutakufanya uwe mwenye nguvu. Kulipiza kisasi ni kujiangamiza. Unachopanda kinarudi kwako mwenyewe.
When someone hurts you, move on. Don’t let them know they hurt you. Don’t react. Be happy. Hurt them by succeeding. Success is the best revenge. Living well is the best revenge.
Usilipe ubaya kwa ubaya.
Msemo huo aliutumia Nyerere kulipa kisasi kwa nduli idi Amini, matokeo yake yaliharibu uchumi wa nchi hadi leo.Nia anayo, nguvu anazo na sababu anayo
Hizi nchi za dunia ya tatu zina laanaNaelewa kwanini China huwezi kuua mtu ikabaki unakula ugali.
Hapa kwetu nasikia Scorpoion yuko mtaani anaendelea na maisha.
Ndio hao hao wanatuhubiria maujinga eti ni kisasi.Hizi nchi za dunia ya tatu zina laana
Ukipanda mlima unarudi kwako mwenyewe ukipanda kichuguu ni the same, haya sawa Mama watotoUnachopanda kinarudi kwako mwenyewe.
Moja ya sababu ya umaskini ktk Nchi zetu ni kuhendekeza misamaha kwa Wala Rushwa na Mafisadi.Kama tungeishi kama utakavyo basi tusingekua na Mahakama,wala watu wasingekua wanawafungulia kesi watu waliowafanyia mabaya,
Imagine Dunia ingekuaje? Unamfanyia mtu jambo baya ukijua kua atakusamehe!
Jino kwa jino,ubaya ubaya,kisasi ni muhimu sana ili kuleta heshima kwenye jamii.