Bi zandile
JF-Expert Member
- Sep 12, 2024
- 301
- 856
- Thread starter
- #61
Umeoa lini?haya sawa Mama watoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeoa lini?haya sawa Mama watoto
Hayajakukuta....hiii mindset utaiacha.Kisasi ni udhaifu mkubwa. Kusamehe kutakufanya uwe mwenye nguvu. Kulipiza kisasi ni kujiangamiza. Unachopanda kinarudi kwako mwenyewe.
Sahihi kabisa,Moja ya sababu ya umaskini ktk Nchi zetu ni kuhendekeza misamaha kwa Wala Rushwa na Mafisadi.
Mtu anakula hela ya umeme wa Mikoa mitatu. Na anaachwa
Kama kuna ushahidi hawezi kuachwa sheria itamhukumu mahakamaniMoja ya sababu ya umaskini ktk Nchi zetu ni kuhendekeza misamaha kwa Wala Rushwa na Mafisadi.
Mtu anakula hela ya umeme wa Mikoa mitatu. Na anaachwa
Leo hiiUmeoa lini?
Wizi unaoshughurikiwa kisheria hicho sio kisasi ndugu.Hayajakukuta....hiii mindset utaiacha.
Kamwibia Mo kazini kwake hata laki mbili tu uoen kama ofsini utabaki.
Then uje utwambie kisasi ni udhaifu
Pdidy km Pdidy au? Yaan unamaanisha nini kwa hapa bongo nani hawezi kumsamehe Pdidy?Yani wale wahanga wa Pdidy uwaambie wamsamehe mwamba? Watakuelewa?
Kisasi huleta nafuu kwa aliyetendwa,
Akuanzae mmalize.
Umeshapika lakini Mama watotoWizi unaoshughurikiwa kisheria hicho sio kisasi ndugu.
Harusi za hivyo hufanywa na mbwa tu, je wewe ni mbwa?Leo hii
Mtu akikupiga ukampeleka mahakamani ni kisasi sio kisasi?Wizi unaoshughurikiwa kisheria hicho sio kisasi ndugu.
Sasa wewe si ndio mbwa jike niliekuoaHarusi za hivyo hufanywa na mbwa tu, je wewe ni mbwa?
Hapana, na huyu akilipiwa kisasi anakuwa yeye ndio mbaya mkuu.Huu wa bila kuupanga unajulikana na unakuwaga wazi.
Mfano mtu anakuja kukupora Shamba lako na wala halijawahi kuw lake. Aka team na mashahidi wa uongo mwisho anafanikiwa kubeba Nyumba yako.
Huo ni bahati mbaya?
Nilikuwa najiuliza mshana jr hajaweka comment finally, jibu zuri inategemea na uzani, kama unaona ina reasonate na kisasi unalipa tu same na kusamehe.Ukishindwa kusamehe lipa kisasi
Ukishindwa kusamehe lipa kisasi
Hii ya leo ni tofauti kidogo na mada zetu zile, hii inahusika na kulipa kisasi. Katika maisha bila kujali unaamini nini hakuna jambo jema kama kusamehe! Msamaha hukusaidia mengi mpaka kifo na maisha yanayofuata baada ya kifo iwe reincarnation au rebirth nk !msamaha hukufanya uwe mwema mwenye...www.jamiiforums.com
Hujajibu swali nililokuulizaSasa wewe si ndio mbwa jike niliekuoa
Hahahaa.....ulishawahi kununua Kiwanja ukakuta muuzaji kakiuza kwa mtu mwingine tena? Yaani mtu mmoja anauzia watu wawili? Is that intentional or unfortune?Kwenye mfano wako wa shamba unaweza kukuta yeye anaamini bibi yake alidhulumiwa na yupo pale KURUDISHA na sio kudhulumu. Hapo itakuwaje?
Alisema kisasi gani? Mbona Wayahudi aliwatandika mikononi mwa Nebkadneza?Mungu mwenyewe alisema kisasi ni juu yake sasa wewe ni nani uingilie majukumu ya Mungu?
Uzuri ni kwamba Hadi binadamu anakulipa Kisasi ujue umefanya Extreme level.Sawa samehe 7 mara 70
Ila zingatia kuwa na KIASI