mimi huwa nasamehe, ila kisasi kijiletaga automatically mtu anajaa mwenyewe 😅Ukishindwa kusamehe lipa kisasi
Ukishindwa kusamehe lipa kisasi
Hii ya leo ni tofauti kidogo na mada zetu zile, hii inahusika na kulipa kisasi. Katika maisha bila kujali unaamini nini hakuna jambo jema kama kusamehe! Msamaha hukusaidia mengi mpaka kifo na maisha yanayofuata baada ya kifo iwe reincarnation au rebirth nk !msamaha hukufanya uwe mwema mwenye...www.jamiiforums.com
hata biblia imekataza kulipa kisasiJe umedhurumiwa mpenzi au umeibiwa hela au kudanganywa kwa lolote na mpenzi wako? Kama jibu ni ndiyo basi nakushauri ukae kwa kutulia na usipange kulipa kisasi.
Siku zote kulipiza kisasi kamwe sio jibu. Ikiwa huwezi kusamehe, basi sahau.
Ukikomaa kulipa kisasi basi kabla ya kulipiza kisasi, chimba makaburi mawili - moja lako mwenyewe na lingine la huyo uliyempania kwa kisasi.
Unapolipiza kisasi, jambo moja husababisha jingine hatimaye
Kukuletea majuto.
Mahatma Gandhi alisema.. “An eye for an eye will only make the whole world blind.”
Kisasi ni udhaifu mkubwa. Kusamehe kutakufanya uwe mwenye nguvu. Kulipiza kisasi ni kujiangamiza. Unachopanda kinarudi kwako mwenyewe.
When someone hurts you, move on. Don’t let them know they hurt you. Don’t react. Be happy. Hurt them by succeeding. Success is the best revenge. Living well is the best revenge.
Usilipe ubaya kwa ubaya.
Kwanza unajua maana ya kisasi tuanzie hapo kwanza.Kweli bhana, unakuta mkosaji wa kwanza alifanya ubaya bila kuupanga kihiivyo.
Ila anayelipa kisasi anapangilia kabisa nitafanya hivi na nitamuumiza na yeye kwa staili hii. Huyu ndiye mbaya kuliko mbaya wa mwanzo
Mungu gani unamzungumzia maana kwenye maandiko ya huyo mungu ameruhusu kisasi.Yes daddy tunasamehe kwa ajili ya uhusiano wetu mzuri na Mungu.
Hii ni kwa mujibu ya mavi yako kichwani.Strong people ignore
Average People forgive
Weak people revenge
Tafakarini wale mnataka kufanya visasi.
Wewe unaonaje?kwa hiyo sisi hapa israel tulivyopigwa makombora karibu 200 tusamehe?????
Mungu ✔️Mungu gani unamzungumzia maana kwenye maandiko ya huyo mungu ameruhusu kisasi.
Lipa ubaya kwa ubaya uliotendeka tayari.Kwanza unajua maana ya kisasi tuanzie hapo kwanza.
Kutokulipa kisasi sio imani legevu bali ni hekima iliyojaa tele kwa asiyelipa kisasi.Mleta mada Amenukuu lile Andiko Akupigae shavu la kulia we Mgeuzie la kushoto.Wakiristo bwana,Imani yao imekuwa legevu legevu sana.
Chunga Sana vitu ufanyayo vina matokeo gani kwako na kwa uzao wako!!Weeeh..kisasi muhimu weee
Katika maisha epuka sana kushindana na mtu asiye na cha kupoteza, gharama ya matendo yake juu yako inaweza kuwa kubwa sana. Kuna Watu wapo wapo tu.Ubaya kwa Ubaya
Unasamehe yes na kumuacha aende Zake, tatizo ni pale utakapoamua kulipa kisasi kwamba na wewe uwe mzinzi ili umkomoe.Na tunaona wengine wanafikia hatua ya kuwaua wenzi wao sababu ya mambo kama hayo.Ni vizuri kuwasemehe watu waliokukosea ila Kuna Mambo hayasameheki kbsa.
Mfano Ni mke mzinifu,hii hata vitabu vya dini vinakataza kwamba kamwe mke anayetoka nje ya ndoa hastahili kusamehewa.
Afu pia Kuna waumini wa " Jino kwa Jino" Israel
Ni heri mwanadamu akulipize kisasi ila sio Mungu, Mungu akikunyoosha anakunyoosha haswa.Imeandikwa; “Yeye arudishaye mabaya badala ya mema, mabaya hayataondoka nyumbani mwake”
Soma Mithali: 17:13
Yani matatizo yatakuwa yanapandiana tu, likitoka hili linakuja hili.
Yani matatizo yanakuwa ni life style yake.
Visasi tumwachie Mungu kama unataka mabaya yakuepuke.
Hiyo ndio kanuni.
Na Mungu ana njia zake za kuwanyoosha wanaokufanyia mabaya ambapo anajua kuwabaruza vibaya sana.
!Kama huyo Mungu wenu ni mlipa Visasi, Basi hastahili kuwa mwema wala mwenye upendo.
Hii ni kwa mujibu ya mavi yako kichwani.
Unasamehe yes na kumuacha aende Zake, tatizo ni pale utakapoamua kulipa kisasi kwamba na wewe uwe mzinzi ili umkomoe.Na tunaona wengine wanafikia hatua ya kuwaua wenzi wao sababu ya mambo kama hayo.
Temana nae tu na kamwe ujinga wa mtu usikufanye nawe ukawa mjinga waheed.