Kumbe haujui dhumuni na malengo ya mahari, unaisi mahari ipo ili kulipa fidia kwa wazazi wako et?Hakuna hela inayoweza kulipa gharama walizotumia wazazi wetu kutulea..haipo!!!
Na hiyo hela ya mahari na baadhi ya vitu ni Akhsante tu!
Kama vyombo wazazi wanavyo,mashati vitenge ndo usiseme.
Vijana kuto kuoa ni uoga wao tu na fikra potofu.
Hakuna familia inayopanga kumkomoa mtoto wa kiume anayeenda kuoa.
Haipo!.
Nimesema sio wote. Ebu soma kwa makiniWewe jisemee pekeyako,usisemee wanaume wote.
BTW wanaume gani hao walio serious???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi si mpangaji wa mahari.Naomba nikuulize swali bibie, kisha nitasema jambo.
Wewe ungependa mahari yako iwe pesa taslimu au kitu fulani ? Kama pesa Taslimu isiwe chini ya kiasi gani ? (Ukijibu maswali haya kuna udhia nitakwambia)
Kwani kwenye Biblia yenu, kuna sehemu iliyo kataza mume kusaidiwa kulipa mahari au kukopeshwa kwa ajili ya kulipia mahari ?
Je kwenye Biblia kumetajwa kiwango maalumu cha mahari ?
Kibwagizo
Kuna sehemu nyinyi wanawake mnakosea pindi mnapo taja mahari zenu,wengine huwa mnataka mlipiwe mahari kama mtu anaoa ukoo mzima (Samahani lakini huu mfano tu)
Namalizi "al Qasus" kisha narudi.
Wewe si ndo umeanza kusema wazazi wamefanya mitaji (wanawakomoa)Kumbe haujui dhumuni na malengo ya mahari, unaisi mahari ipo ili kulipa fidia kwa wazazi wako et?
Asilimia kubwa wasumbufu tuNimesema sio wote. Ebu soma kwa makini
Kama utatoza mahari isiyo endana na hali halis ya maisha ya muoaji utasema hapo kama sio kumkomoa?Wewe si ndo umeanza kusema wazazi wamefanya mitaji (wanawakomoa)
Ukishaanza kusema wazazi wanafanya mahari mtaji basi ujue hujui lengo la mahari.
Hizi tamaduni kandamizi sana, halafu hili bado mmelikalia kimya watetezi wa haki za Wanawake. Mwenye jukumu la kutaja Mahari na kupanga mahari ni muolewaji, sababu maana ya Mahari ni kama Zawadi tu.Mimi si mpangaji wa mahari.
Kwa tamaduni za Kwetu mahari hutolewa mchanganyiko yaani pesa pamoja na vitu na wala si vitu pekee wala pesa pekee.
Ndoa yenye baraka ni ile ambayo mahari yake ilikuwa ni ndogo. Mwanamke ndiyo mwenye haki ya kupanga mahari, na yeye anaweza kumfanyia wepesi yule anaye tarajia kumuoa kwa mapenzi na huruma akamtajia mahari nyepesi sana (Hapa kama ingekuwa una haki ya kupanga mahari, ila sisi huki kwetu suala la Mahari ni la muolewaji). Wapo watu walio oa kwa mahari ya Pete ya Chuma, namaanisha pete ya chuma.Mahari ya kawaida tu hutolewa.
Naweza nikataja kiwango hapa wewe ukakiona kikubwa na mwingine akakioba kidogo..kwahiyo ndogo kwa mwenzio yaweza kuwa kubwa kwako.
Huu utaratibu unaonaje ? Uko sawa au ? Kwanini isingekuwa wewe unae olewa ndiyo utaje mahari unayo itaka ?Mimi jinsi nilivyoona wanatoa
Kwa mfano wakisema ninyi ni wa kina nani??basi mshenga wa upande wa muoaji anaweka pale kiasi cha pesa...na halazimishwi kiasi,ni mfuko wake tu utakapoishia.
Kwenye Biblia kuna utaratibu gani juu ya Mahari, unaweza kutupa muongozo juu ya utolewaji wa mahari kwa mujibu wa Biblia ?Huo utaratibu wa kumchangia mwanaume mahari haupo kwenye Biblia,sijui labda huko kwenu.
Kwanini ? Kwa mujibu tamaduni zenu au kwa mujibu wa Biblia ? Kati ya Biblia na Tamaduni kipi unakiangalia sana na kukitanguliza dhidi ya kingine ?Mwanamke hawi responsible kupanga mahari.
Mnataka wawape bure au mnatakaje??Kama utatoza mahari isiyo endana na hali halis ya maisha ya muoaji utasema hapo kama sio kumkomoa?
Ww ni wa ukanda wa pwani inavyo onekana et? Ebu njoo kanda nyingne uone mahari zake ndio utajua uliyotolewa ww sio sawa na wanyo ambiwa wenzioMnataka wawape bure au mnatakaje??
Mahari zinazotozwa Mbona ni za kawaida au nyie mnataka mtoe kuku mmoja basi muopoe mke?
Yaani umeuliza maswali nimekujibu unaniambia tena kwanini??we vipi?Hizi tamaduni kandamizi sana, halafu hili bado mmelikalia kimya watetezi wa haki za Wanawake. Mwenye jukumu la kutaja Mahari na kupanga mahari ni muolewaji, sababu maana ya Mahari ni kama Zawadi tu.
Ndoa yenye baraka ni ile ambayo mahari yake ilikuwa ni ndogo. Mwanamke ndiyo mwenye haki ya kupanga mahari, na yeye anaweza kumfanyia wepesi yule anaye tarajia kumuoa kwa mapenzi na huruma akamtajia mahari nyepesi sana (Hapa kama ingekuwa una haki ya kupanga mahari, ila sisi huki kwetu suala la Mahari ni la muolewaji). Wapo watu walio oa kwa mahari ya Pete ya Chuma, namaanisha pete ya chuma.
Wapo walio oa kwa mahari thamani ya chini ya laki moja na wengine kitanda au mkufu wa dhahabu. Ndoa jambo sahali sana.
Huu utaratibu unaonaje ? Uko sawa au ? Kwanini isingekuwa wewe unae olewa ndiyo utaje mahari unayo itaka ?
Kwenye Biblia kuna utaratibu gani juu ya Mahari, unaweza kutupa muongozo juu ya utolewaji wa mahari kwa mujibu wa Biblia ?
Kwanini ? Kwa mujibu tamaduni zenu au kwa mujibu wa Biblia ? Kati ya Biblia na Tamaduni kipi unakiangalia sana na kukitanguliza dhidi ya kingine ?
Si mtu wa pwani Mimi mkuu.Ww ni wa ukanda wa pwani inavyo onekana et? Ebu njoo kanda nyingne uone mahari zake ndio utajua uliyotolewa ww sio sawa na wanyo ambiwa wenzio
Tembea tu utayaonaSi mtu wa pwani Mimi mkuu.
Ukanda gani huo nije nione?
Nitajie huo ukanda mkuu nikaoneTembea tu utayaona
Maana najua sio huku tu maeneo mengi ya wafugaji magari huwa juuNitajie huo ukanda mkuu nikaone
Mbona waogopa kunitajia?
Ukielekezwa utapotea njia.Nielekeze nikaone
Oh sawaMaana najua sio huku tu maeneo mengi ya wafugaji magari huwa juu
Mf: kanda ya ziwa kwa makabira ya wafugaji
Mbona unanisemea?Ukielekezwa utapotea njia.
Akhsante[emoji122][emoji122][emoji122]Kulipiwa mahari na mwanamke huo ni upuuzi grade A. Ndo matokeo yake unaanza kupapaswa matter call kwenye mahusiano.... Hilo TUNAKUBALIANA
hilo la pili la mahari kutoka kwa wazazi ni mambo ya mila. Sisi kabila letu ng’ombe wa mahari lazima atole kwenye boma la baba sio la kwako
Vivyo hivyo na kuna maneno pale mshua anayasema anavyokukabidhi kwamba kama nilivyokuozesha wewe na wewe una jukumu la kuwalipia wanao mahari ukoo wetu ukue. So ni mambo ya taratibu tu. Ndomaana hata vikao vya kupanga mahari bwana harusi haihusiki, na pia kutokana na changamoto za kiuchumi unamkabidhi baba mahari ndo anayeenda kukutolea kama zake(Kama mshua apeche lolo)
NB: vyovyote iwavyo point yako bado inahold, kama mwanamke akiona mume/baba watoto mtarajiwa hana hata uwezo wa kujilipia mahari manaake ni kwamba huo uzao wenu watashindwa hata kuoa nao(Ni jukumu lake). na kikwetu unatengwa na wanaume wenzako hata pombe kilabuni unakunywa kwenye kibuyu cha kwako,sio cha wazee wote sumtym hata viboko utachapwa
Kwani maana halisi ya Mahari ni nini?Kamwe usiolewe na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Sikuwahi kuona kwenye Biblia mwanaume aliyepewa mke bure.
Tena wengine mnajifanya kupenda sana, unalazimisha kuolewa na mwanaume ambaye hawezi kukulipia mahari. Wengine mnaenda mbali zaidi na kuwasaidia kulipa hizo mahari.
Ukiona umemsaidia kulipa mahari usishangae na huko ndani akakuachia majukumu yote ya familia.
Kama unampenda msaidie mambo mengine lakini ikifika muda wa kulipa mahari hiyo ngoma mwache aicheze mwenyewe, ikimshinda basi huyo hakufai.
Kwanini hakufai??
Hakufai kwa sababu suala la kuoa siyo surprise ni suala la kujiandaa. Kama mchumba ameweza kununua mahitaji yake yote, atashindwaje kukulipia mahari!?!
Binti nakwambia usije thubutu kujifanya unamsaidia mwanaume kulipa mahari, hilo ni lake. Ukimpa mahari ujue umejioa mwenyewe dada.
Na wale vijana mnaolipiwa mahari na wazazi wenu pia siwaelewi jamani. Usije ukashangaa mke anakuwa wa ukoo, wao ndiyo wanamcontrol na hauwezi kufanya jambo bila wao.
Na
Winnie Kilemo
Jibu swali kwanza.Kama unaona mwanamke na mbuzi ni sawa basi kamlipie mbuzi mahari umuoe,uishi naye na uzae naye.
Uwe unalala naye kabisa.