Wanawake wengine hawahitaji mahari ili waolewe ..ukionesha nia kwao inatoshaNa wengi wanaojilipia mahari ndoa zimewatokea puani, wameishiwa kuuliwa tu, na kuteswa Hadi kuachwa walemavu, mwanaume asiyeweza kutoa mahari na asioe kabisa aisee mpaka awe vizuri
Wewe bei yako unaitambua?[emoji6][emoji6][emoji6]Siijui kivipi??
Utabadilije msimamo wa Mtu??
Wenye kuelewa wameelewa.
Inapangwa na wazee walionileaWewe bei yako unaitambua?[emoji6][emoji6][emoji6]
Sasa si wakuambie tu ni sh ngapi hiyo bei![emoji1782]Inapangwa na wazee walionilea
Ni kweli kabisa Mkuu, alieonja na kusepa na yule aliyejisalimisha kwa wazazi wa binti mikono mitupu yupi mwenye hekima?Mahari is overrated, mahari kwa dunia ya sasa haina maana yoyote. Kwani zamani walitoa mahari kwa sababu zipi, I thought ni asante kwa wazazi kimtunza binti yao hadi anaolewa akiwa kigori(kigoli).
Leo unaoa mke wa watu huko, walishajitwalia wengi kabla yako wewe unakuja kuhalalishwa tu na kujibebea, kuongeza laana katika uzao wako.
Mahari for the purity nakubali, Ila kwa sisi tuliojiharibu, sioni mantiki hata kidogo.
Mimi sijaandika mtazamo.Kila mtu abaki na mtazamo wake.[emoji2772]
SawaMimi sijaandika mtazamo.
Mimi nimeandika fact.
Fact.
Mahari inamfanya mwanamke awe bidhaa yenye bei.
Ili iweje?Sasa si wakuambie tu ni sh ngapi hiyo bei![emoji1782]
Kwani hao Wazee ndiyo wanolewa mpaka wapange Mahari yako!? Je Kati ya wwe na Wazee wako nani anamjua vizuri huyo muowaji!?Inapangwa na wazee walionilea
Hiyo Akhsante wanapewa wazee wala hapewi mwali.Kwani hao Wazee ndiyo wanolewa mpaka wapange Mahari yako!? Je Kati ya wwe na Wazee wako nani anamjua vizuri huyo muowaji!?
Endelea kujisalimisha mikono mitupuNi kweli kabisa Mkuu, alieonja na kusepa na yule aliyejisalimisha kwa wazazi wa binti mikono mitupu yupi mwenye hekima?
Ukiona mzazi anamzuia binti ye kuolewa kisa hakuna mahari Mkuu huyo achana nae kimbia kabisa usirudi tena hapo, manake utakufa kabla ya wakati wako.
Mimi kama kaka yako wa hiari siungi mkono matendo yote yanayodhalilisha na kushusha thamani ya dada zangu ikiwa ni pamoja na mambo ya mahari.Nakushauri acha kuunga mkono matendo hayo na anza kuyapiga vita kwa nguvu zoteIli iweje?
Ataambiwa atakayekuja kutoa.
Kwa mtazamo wangu swala la kuishi mke na mume ni swala pana sana kikubwa huwa ni upendo na furaha, kuna vijana hawana hizo mahari pia wametoka familia zisizo na plan nzuri(duni) lakini wana upeo wa Maisha, Pia wapo watakao kutolea mahari lakini ukishaingia kwenye ndoa utajuta.Endelea kujisalimisha mikono mitupu
Mahari iko palepaleKwa mtazamo wangu swala la kuishi mke na mume ni swala pana sana kikubwa huwa ni upendo na furaha, kuna vijana hawana hizo mahari pia wametoka familia zisizo na plan nzuri(duni) lakini wana upeo wa Maisha, Pia wapo watakao kutolea mahari lakini ukishaingia kwenye ndoa utajuta.
Kikubwa Maisha hayana formula, wazazi wanaoona mahari ni big deal kijana kimbiaaaa utajuta.
Pole sanaMimi kama kaka yako wa hiari siungi mkono matendo yote yanayodhalilisha na kushusha thamani ya dada zangu ikiwa ni pamoja na mambo ya mahari.Nakushauri acha kuunga mkono matendo hayo na anza kuyapiga vita kwa nguvu zote
Sitaki kuwa na bei kama Kitimoto.Sipendi binadamu wa jinsia yeyote awekewe bei kama Kitimoto.Pole sana
Au mnataka na nyie mtolewe mahari??
Mngezaliwa wanawake basi
Kachukueni vya bureSitaki kuwa na bei kama Kitimoto.Sipendi binadamu wa jinsia yeyote awekewe bei kama Kitimoto.
Mimi kuoa mwanamke bila kutoa mahari haimaanishi kuwa hana thamani.Thamani ya binadamu ni kubwa sana kiasi kwamba hakuna bei inayoweza kumnunuaKachukueni vya bure
Nakubaliana na wewe endapo tu pale binti anayekazaniwa iwe isiwe lazima atolewe mahari, naye lazima awe kigori hajaguswa kabisa na mabaharia hapo ni sawa hata wakisema ng`ombe mia ni sawa.Mahari iko palepale
Furaha na amani na mengine yote uliyoyasema yako palepale