Kamwe usiolewe na mwanaume asiyeweza kukulipia mahari

Kamwe usiolewe na mwanaume asiyeweza kukulipia mahari

Na wengi wanaojilipia mahari ndoa zimewatokea puani, wameishiwa kuuliwa tu, na kuteswa Hadi kuachwa walemavu, mwanaume asiyeweza kutoa mahari na asioe kabisa aisee mpaka awe vizuri
Wanawake wengine hawahitaji mahari ili waolewe ..ukionesha nia kwao inatosha
 
Mahari is overrated, mahari kwa dunia ya sasa haina maana yoyote. Kwani zamani walitoa mahari kwa sababu zipi, I thought ni asante kwa wazazi kimtunza binti yao hadi anaolewa akiwa kigori(kigoli).

Leo unaoa mke wa watu huko, walishajitwalia wengi kabla yako wewe unakuja kuhalalishwa tu na kujibebea, kuongeza laana katika uzao wako.

Mahari for the purity nakubali, Ila kwa sisi tuliojiharibu, sioni mantiki hata kidogo.
Ni kweli kabisa Mkuu, alieonja na kusepa na yule aliyejisalimisha kwa wazazi wa binti mikono mitupu yupi mwenye hekima?
Ukiona mzazi anamzuia binti ye kuolewa kisa hakuna mahari Mkuu huyo achana nae kimbia kabisa usirudi tena hapo, manake utakufa kabla ya wakati wako.
 
tulipe mahari kulingana na uwezo wetu wakuu
ukiitishwa mahari ya mbuzi au kuku usiweke sifa
 
Kwani hao Wazee ndiyo wanolewa mpaka wapange Mahari yako!? Je Kati ya wwe na Wazee wako nani anamjua vizuri huyo muowaji!?
Hiyo Akhsante wanapewa wazee wala hapewi mwali.
 
Ni kweli kabisa Mkuu, alieonja na kusepa na yule aliyejisalimisha kwa wazazi wa binti mikono mitupu yupi mwenye hekima?
Ukiona mzazi anamzuia binti ye kuolewa kisa hakuna mahari Mkuu huyo achana nae kimbia kabisa usirudi tena hapo, manake utakufa kabla ya wakati wako.
Endelea kujisalimisha mikono mitupu
 
Ili iweje?
Ataambiwa atakayekuja kutoa.
Mimi kama kaka yako wa hiari siungi mkono matendo yote yanayodhalilisha na kushusha thamani ya dada zangu ikiwa ni pamoja na mambo ya mahari.Nakushauri acha kuunga mkono matendo hayo na anza kuyapiga vita kwa nguvu zote
 
Endelea kujisalimisha mikono mitupu
Kwa mtazamo wangu swala la kuishi mke na mume ni swala pana sana kikubwa huwa ni upendo na furaha, kuna vijana hawana hizo mahari pia wametoka familia zisizo na plan nzuri(duni) lakini wana upeo wa Maisha, Pia wapo watakao kutolea mahari lakini ukishaingia kwenye ndoa utajuta.
Kikubwa Maisha hayana formula, wazazi wanaoona mahari ni big deal kijana kimbiaaaa utajuta.
 
Kwa mtazamo wangu swala la kuishi mke na mume ni swala pana sana kikubwa huwa ni upendo na furaha, kuna vijana hawana hizo mahari pia wametoka familia zisizo na plan nzuri(duni) lakini wana upeo wa Maisha, Pia wapo watakao kutolea mahari lakini ukishaingia kwenye ndoa utajuta.
Kikubwa Maisha hayana formula, wazazi wanaoona mahari ni big deal kijana kimbiaaaa utajuta.
Mahari iko palepale
Furaha na amani na mengine yote uliyoyasema yako palepale.
 
Mimi kama kaka yako wa hiari siungi mkono matendo yote yanayodhalilisha na kushusha thamani ya dada zangu ikiwa ni pamoja na mambo ya mahari.Nakushauri acha kuunga mkono matendo hayo na anza kuyapiga vita kwa nguvu zote
Pole sana

Au mnataka na nyie mtolewe mahari??
Mngezaliwa wanawake basi
 
Mahari iko palepale
Furaha na amani na mengine yote uliyoyasema yako palepale
Nakubaliana na wewe endapo tu pale binti anayekazaniwa iwe isiwe lazima atolewe mahari, naye lazima awe kigori hajaguswa kabisa na mabaharia hapo ni sawa hata wakisema ng`ombe mia ni sawa.
 
Back
Top Bottom