Kamwe usiolewe na mwanaume asiyeweza kukulipia mahari

Yupo aliyewahi kuolewa kwa ubeti wa shairi???
Atakuwa hajitambui haki ya nani
Unasemaje kwa aliyeolewa kwa mahari ya biblia. Yaani jamaa baada ya kulipa mahari baba mkwe akiachikua akaindaika majina ya mume na mke na kuwarudishia kama zawadi. Technically jamaa alioa bila mahari je hii ndoa ni batili kwa mawazo ya hili bandiko hapa?
 
Mbavu zangu πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Nakazia
 
Aisee hiii ni zaidi ya adhabu tosha mamaeee πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Kiranga baba.
Nilitaka tu kukusalimia.
Siku nyingi sana.
Nimefurahi uko mzima.
 
Wahindi mwanamke ndie anaetoa mahari! Imekaaje! Hakuna anaestahili kulipa mahari, wote wametunzwa na wazazi wao. Ni kiasi tu cha kuachana na wazazi na kuambatana na mpendwa wako. Shukrani zitoka kwa pande zote mbili
Well said ..inashangaza sana ati shukurani kwa wazazi kumtunza binti kwani mtoto wakiume alilelewa mtaani (chokoraa)mbona wazazi wao hawapewi shukurani !?? Hii mifumo mingine ya kipuuzi sijui ililetwa na nani duniani
 
Well said indeed kongole sana mkuu
 
Hahahaha sure indeed
 
Yupo aliyewahi kuolewa kwa ubeti wa shairi???
Atakuwa hajitambui haki ya nani
Saint hu mtazamo wako unaishia katika hizi nchi za mataifa ya africa mashariki ambazo zimeapply mafundisho ya waislam na wakristo na kuyageuza kuwa utaratibu wamaisha yao .hiki unachokiamini wewe na watu wengine wenye imani sawa na yako haimanishi kwamba ndio mtazamo sahihi kwa watu wote wa dunia nzima .. Kuna watu wengine wapo hapa hapa east africa lakini Imani zao hazifungamani katiKa yale ambayo unayaamini wewe na wenzako wanaamini katika desturi zao na mambo yao maisha yao yanasonga .... Itoshe tu kusema kwamba dunia ni pana na kila watu wana taratibu zao so tusilazimishe mitazamo yetu kuweza kufanana ....


Ila kwa upande wangu still ninaona kabisa kuwa hili suala la mtoto wakike kulipiwa mahari linazidi kumkandamiza nakumfanya awe mtumwa wa mtoto wa kiume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…