Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #141
sio kweli chief, baki huko huko BariadiMtu wa Dar hawezi kutafuta maisha mikoani,maana wamezowea kula mihongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio kweli chief, baki huko huko BariadiMtu wa Dar hawezi kutafuta maisha mikoani,maana wamezowea kula mihongo
namiaka 27 chiefUkikua utajua hujui😀
😂😂😂😂😂Mnaogopa hadi mendesio kweli chief, baki huko huko Bariadi
mkiacha kufuga bundi tutaacha kuwakandia watu wa mikoani😂😂😂😂😂Mnaogopa hadi mende
Ndio maana nikasema subiri ukuenamiaka 27 chief
Yaani kwa Kigoma kuishi bangwe kandokando ya ziwa Tanganyika ni bora kuliko Mbagala kichemchemwasalimie kigoma ujiji
mliacha kuua wachawi huko mkuuYaani kwa Kigoma kuishi bangwe kandokando ya ziwa Tanganyika ni bora kuliko Mbagala kichemchem
mkuu habari ya ukerewe, mliacha kutumia mamba watu ?Nina uhakika mleta mada hujaanza kujitegemea bado upo kwa shemeji ukikua utaacha hayo mawazo ya kipuuzi, wajanja tunazitafuta mikoani tunakuja kuwekeza huko na kula bata.
bakini hukohuko Newala,hatutaki hirizi hukuSisi wa mikoani hii haituhusu
Sawa mkuubakini hukohuko Newala,hatutaki hirizi huku
Bado katoto Sana, Kwny umri huo kila kitu hua kinaonekana kinawezekana tu huku ambao hawajatoboa unawaona Ni Maboya tu.namiaka 27 chief
Huku poa tuu fainali uzeeni.mkuu habari ya ukerewe, mliacha kutumia mamba watu ?
Wasalimu huko gamboshi,wambie wapunguze vimbolaBado katoto Sana, Kwny umri huo kila kitu hua kinaonekana kinawezekana tu huku ambao hawajatoboa unawaona Ni Maboya tu.
Kwa hiyo kukwama nauli lazima utokee mkoani? Wewe hujawahi kukwama? Unamdhalilisha huyo mshikaji wako japo simfahamu!Juzi tu nimemtumia nauli mshikaji wangu alikuwa kakwama huko mikoani kwenye mashamba ya mpunga mbarali
Salimia wenzako hapo mchambawima,waambie wapunguze kupenda uji mweupe mzito.Wasalimu huko gamboshi,wambie wapunguze vimbola