Objective football
JF-Expert Member
- Oct 21, 2023
- 1,195
- 2,771
- Thread starter
- #161
endelea kulima mahindi tarime mkuuKwa hiyo kukwama nauli lazima utokee mkoani? Wewe hujawahi kukwama? Unamdhalilisha huyo mshikaji wako japo simfahamu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
endelea kulima mahindi tarime mkuuKwa hiyo kukwama nauli lazima utokee mkoani? Wewe hujawahi kukwama? Unamdhalilisha huyo mshikaji wako japo simfahamu!
mchambawima ni dar mkuu?Salimia wenzako hapo mchambawima,waambie wapunguze kupenda uji mweupe mzito.
Ni upongoji.mchambawima ni dar mkuu?
Ukikutana nao utasikia "Katoro pamekucha kinoma."hatuwezi kuwa sawa kifikra mkuu .
acha wabaki hukohuko katoro
ahahahahaha Sis, I miss you so much!! Dar pakichovu sana, pachafuuu bora Mkoani kwakweliBroooh, sawa tu. Nimekubali naishi mkoani... ila sisi wa mikoani ndio tutakuzika ujue?
Huko kwenu yamejaa majambazi acha niendelee kuishi hukuhuku.
Prakata Tumbaaa!!Halafu huko mkoani hakuna mademu wazuri wazuri kama Dar, yaani huko mkoani ngono ni adimu sana.
Me more Broh, siku hizi niponipo wewe ndio huonekani.ahahahahaha Sis, I miss you so much!! Dar pakichovu sana, pachafuuu bora Mkoani kwakweli
Dar kuna vijana wengi kazi zao kusifia mali za watu huku wao hela yao ikishia kwenye nauli na kula na kodi ya nyumba tuBora msema kweli kuliko kuwa mnafiki. Kijana unaye jitafuta usije jaribu kufungasha mizigo kwenda kutafuta maisha huko mikoani, watu wa mikoani ni wabinafsi, roho mbaya, majungu na fitna.
Kijana ukiwa Dar una 85% za kutoboa hapa town, kapuku muuza maji leo mtafute baada muda utamkuta mbali sana, kikubwa creativity na flexibility tu kwenye kazi.
Dar ni hub ya domestic and multilateral companies zote hapa nchini, so fursa yoyote iwe vibarua ajira inaanzia hapa.
Soko la mazao ya wakulima wote wa huko mikoani mwao lipo hapa Dar, infrastructure facilities zote zipo hapa town.
NB: Ukitaka ufubae na uchakae vibaya kajichanganye huko mikoani kwakina Mwakarobo, Mabula Mabele nk, uone utakavyo pigwa vimbola.
sawa wasalimu burigiDar kuna vijana wengi kazi zao kusifia mali za watu huku wao hela yao ikishia kwenye nauli na kula na kodi ya nyumba tu
wape hi tandahimbaMikoani hivi dar hampo mikoani ni jiji nilisahau aisee kama nao ni mkoa,,kwamba wasije mikoani[emoji1787][emoji16]
hapo katavi ulipoMikoani ndo wp?
kuna mahala anakosea mkuuWewe nasema wewe! Kila mtu anaupepo wake kuna mtu yupo hapo dar mwaka wa 11 hana mbele wala nyuma.